chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,209
- 817
Nakwambia tulichambwa ndani humu kwamba Naseeb anasafiria nyota ya Wema!kumbe na wao wanapita humo humo!
Watu wanamambo wallah tena!!khaa!yaani mpaka umuombe Wema akupe promo ndio ushinde???kwa maana nyingine ni kwamba Kiba Hajiamini licha ya kujaaliwa kipaji!!.
Nyie kapigeni kura acheni longo longo ndo ishakuwa ivyo sasa hamtaki mnaacha....kiba ndo kiboko ya domo nani asiyejua...
Kiba anamfanya domo analala akiwa amesimama chezeiyaaaaaa
Nakwambia tulichambwa ndani humu kwamba Naseeb anasafiria nyota ya Wema!kumbe na wao wanapita humo humo!
Watu wanamambo wallah tena!!khaa!yaani mpaka umuombe Wema akupe promo ndio ushinde???kwa maana nyingine ni kwamba Kiba Hajiamini licha ya kujaaliwa kipaji!!.
Asinge mblast ivo aisee mbona alikua tu kimya mdada wa watu mpaka hapo alipogundua Kiba hana shukrani.
Tuambie nani mshindani wa Kiba au yeye anaenda tu bila dira maana dira ya mafanikio ni waliokuzidi.
Acha upofu Diva Kiba ndio anayeyatafuta mafanikio ya Diamond. Labda umuulize hana wasanii wengine wa kujipimia zaidi ya Diamond.
Tuonyeshe kushuka kwa Diamond, au unatumia tuzo za juzi za wanaoonewa huruma.?
Sawa Diamond atashuka ila sio kwa matakwa yenu.
Subirini ashuke kwa wakati wake sio kwa kampeni zenu.
Nyota ya mademe ni kali ngoja nae atumia labda atatoka nje ya darslam
Hapo sasa wanapita kabisa na kutaka kumshusha bora wangepita kimya kimya
Na kumbe na kwa mwanamke huyo nyota anayo aliyefungishiwa virago na mwenyewe kaamua kukubali sasa akiwa na majuto yamemjaaa kama kawa.
Tusubirie labda watasema karibuni lilioko nyuma ya pazia...labda walikua wana chati chati kama wale wa kuwa wapenzi mara tarehe ya kupiga kura sijui ndio imeyoyoma mtu akaacha kumsaka aliyemuomba msaada....hakuna chezea tapeli maishani....
kila kitu kinawezekana kwa binadamu kama hao full kutojielewa full drama.
Nakwambia pale kwa kiba watu walibeba wakashindwa!!kama unakumbuka zamani kuna gazeti liliandika kuhusu dharau za ANAYEPENDWA!(te!teh!teh)
Hicho ndicho kikwazo kikubwa sana kwa Ally,dharau hata kwa aliyemsaidia kumpigia kampeni??
Wacha tuongee kwa kweli mpaka tuchoke!!
waapi!!yeye zake dar tu.
Huyu Ali Kiba na Diamond wanaweza kufanya hata uchaguzi wa raisi uhairishwe mwaka huu..
Hongera yako kwa ushabiki unaokufanya usione hata kile alichokifanya unayemshabikia ambacho ni KUOMBA MSAADA au unajitoa akili kuwa pia mtu anayeomba msaada anamaanisha nini hujui ???????idawa unaandika mno hisia na ushabiki umejuaje kiba anashindana na huyo domo wenu. Acheni kuwa vipofu kwani mwanamziki na Ali kiba tu anaimba.
Hahaaaa mnachekesha kweli msitafte mchawi wa mtu kushuka ni yeye mwenyewe. Mwacheni afanye yake kijana. Domo atashuka tu kwa wakati wake. Tatizo hamtaki kukubali daily visingizio mtu anataka kushushwa. Kama dola ya Rumi ilipotea Uingereza kupoteza uwezo wake kama nchi iliyowahi kuongoza uchumi duniani sembuse mtu. Mpeni mwenzenu mda afanye yake sio kumtaftia visingizio. Jifunzeni kukubali japo ukweli unauma loh!
teh teh teh boda atasikilizia kwa jirani
ahahaaa binti kiziwi njoo huku
Mbna bado wanazilamba tena kwa spid ya hatari wanatia huruma aiseee imebidi ajikoshe et ataesema mondi hajui mziki anamshangaaa
Pamenuka mweeeeeeh!
Nyie kapigeni kura acheni longo longo ndo ishakuwa ivyo sasa hamtaki mnaacha....kiba ndo kiboko ya domo nani asiyejua...
Kiba anamfanya domo analala akiwa amesimama chezeiyaaaaaa
Nyota ya mademe ni kali ngoja nae atumia labda atatoka nje ya darslam
Hongera yako kwa ushabiki unaokufanya usione hata kile alichokifanya unayemshabikia ambacho ni KUOMBA MSAADA au unajitoa akili kuwa pia mtu anayeomba msaada anamaanisha nini hujui ???????
Hahahahahah Kiba atajutra kufanya deal na chizi.