chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,209
- 817
Nakwambia tulichambwa ndani humu kwamba Naseeb anasafiria nyota ya Wema!kumbe na wao wanapita humo humo!
Watu wanamambo wallah tena!!khaa!yaani mpaka umuombe Wema akupe promo ndio ushinde???kwa maana nyingine ni kwamba Kiba Hajiamini licha ya kujaaliwa kipaji!!.
Amuulize Dimpoz hyo nyota imemsaidiaje mpaka leo