chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,209
- 817
Nyie ndo mumechemka. Leo mliokua mnayaita makombo ndo mnaanza kuyaomba msamaha kiujanja? Hahaaaa you better guys take a chill pill loh.Endeleeni kuhangaika na Kiba kwa sababu mnafanya mashindano eeeeh.
Hatuombi msamaha aiseee haiwezekani nlichokiona ni wema anajutia alichofanya yaaan kaumia afu ukizinhatia Kiba haku show any recommendations kwake too bad ajifunze kusema asante