Kwenye siasa za tanzania chini ya ccm hoja kwa hoja hiyo kitu ilishazikwa kitamboBulembo angeweza kuwa na hoja kama angetoa kadi ya uanachama ya Bashiru inayo onesha alijiunga na CUF lini, nje ya hapo ni mmoja ya wanasiasa wanaooiga kelele bila kuwa na facts.
Tupo kwenye dunia ambayo hoja inajibiwa kwa hoja bora zaidi na sio kelele za propaganda nyepesi.
Juzi, Rev. Peter Msigwa katoa changamoto nzuri, kwanini wanashindwa kujibu hoja za Polepole, cha ajabu Bulembo nae anarejea/kutumbukia kwenye genge la .... ambao wanapungukiwa na facts kwenye kujibu hoja.
Mkuu kutokana na shughuli zangu za kila siku nilijikuta nafika nyumbani kwa Bulembo .Lakini Mkuu Bulembo ni wa Kyaka(karibu na Uganda) na Bashiru ni wa Katerero yaani Kapigio ahahahah!
Bulembo kaongea utoto sana pale aliposema 'Polepole hana hela na mimi na mzidi kwa hela'
Nikajisemea moyoni, yaleee yaliyotabiliwa yametimia..CHAMA HIKI KISHAKUWA CHA MATAJIRI.
Kwaheri Ukoloni kwaheri Uhuru!
Bashiru ni moja ya mapandikizi toka nchi jirani yaliyoingizwa kwenye mfumo wetu ili Tanzania iende chini ya empire ya wale watu!Kiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU?
Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazee wa CCM, ambayo iliwahi kushutumiwa na Kamati ya kuchunguza mali za CCM kwamba imetafuna hela na kuua shule za jumuiya hiyo.
Haya kwangu ni maajabu ya hatari sana !
Unajua gharama za kuendesha serikali 3 wewe? Hao kabudi na polepole wanatoa hela zao mfukoni kuendesha iyo serikali ya 3??Siku Tanganyika itakapo jitambua na kupata serikali na Rais wake ndipo zimwi hili litakapofikia ukomo wake. Ni jambo la kutumainisha kusikia Prof Kabudi na Polepole walitaka serikali tatu. Kiongozi mstafu mwandamizi anaomba mdahalo wa kitaarabu na Polepole.
Mnabisha tu lakini hamna mnachokijua. Hukusoma ripoti ya CAG 2019/20?Ni lini kakoko amekutwa na kashfa za uizi .tuache kushabia vitu
Umewahi kusikia tena au mahali popote paleKwani ile kesi yake iliisha?
Jibu swali wacha kuruka ruka kama maharagwe chunguniUmewahi kusikia tena au mahali popote pale
Alisimamishwa kwa kashifa ya upigaji pale bandariUmewahi kusikia tena au mahali popote pale
Kama nyie mlivyozoa Lowasa, mtu mliyemwita Fisadi kwa miaka 10!!
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Kiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU?
Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazee wa CCM, ambayo iliwahi kushutumiwa na Kamati ya kuchunguza mali za CCM kwamba imetafuna hela na kuua shule za jumuiya hiyo.
Haya kwangu ni maajabu ya hatari sana !
hata Magufuli alisema Bashiru ni kutoka CufKiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU?
Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazee wa CCM, ambayo iliwahi kushutumiwa na Kamati ya kuchunguza mali za CCM kwamba imetafuna hela na kuua shule za jumuiya hiyo.
Haya kwangu ni maajabu ya hatari sana !
Kifo cha dikteta kimesaidia sn kujua maovu mengiKiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU?
Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazee wa CCM, ambayo iliwahi kushutumiwa na Kamati ya kuchunguza mali za CCM kwamba imetafuna hela na kuua shule za jumuiya hiyo.
Haya kwangu ni maajabu ya hatari sana !
Alikuwa juu ya kila kitu mazeeKwenye Utawala Wa Meko Chochote Kiliwezekana
Waswahili Wanamkingia Kifua Oops Marehemu HasemwiKifo cha dikteta kimesaidia sn kujua maovu mengi
Lazima asemwe alikuwa mtu wa hovyo kabisaWaswahili Wanamkingia Kifua Oops Marehemu Hasemwi