Idiot Embicile
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 1,037
- 1,974
Hivi mkuu huo mjengo wa Madale ni mjengo wa maana sana au ya kawaida tu.Sawa Mkuu nakubaliana na wewe ila hii ipo tofauti kwa Bilionea Dayamondi....Uwezo wa Kujenga Mansion la hatari anao lakini nashangaa hajajenga bado!! Ukiachana na nyumba za kuwavua watu za mil 20 au 25 au Nyumba ya Mama yake Madale ya kukaa yeye naona hana,nina amini uwezo wa Kujenga anao labda anajenga kimya kimya.
Maana hata picha yake sijawahi iona. Kuna ule mjengo alimnunulia Zari South, uko vizuri.