Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,569
Haha konde girl titiriti titiritiiWale wapo mguu ndani mguu nje likitokea la kuwatokea kama manji au enzi za idd amin wanabeba vyao vinavyohamishika haaaaooo india
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha konde girl titiriti titiritiiWale wapo mguu ndani mguu nje likitokea la kuwatokea kama manji au enzi za idd amin wanabeba vyao vinavyohamishika haaaaooo india
Watu walioko nyuma ya billgate wanamuangalia kama boss wakati diamond hao watu ye ndio maboss zake. Hiyo inamaanisha kwamba swala la mgao linategemeana na mode ya boss siku hiyo boss kaamkajeNonsense Hata billgate kuna watu kibao nyuma yake sisi tunaangalia anapata ngapi
Hela yenyewe imetiwa nakshi na mashabiki naye kapagawa na promo kapaita mpaka kwao eti anataka anunue private jet...how?Huyu jamaa hela tunakubali anayo. Ila tatizo anawanywesha sana chai ya rangi mashabiki mashabiki.
Juzi kasema ukipata view one million YouTube bas unapata around 900K up to 1000K , video ya waah ina view 37Mil , IT wao karopoka imeingiza 90 Mil mpak sasa , jamaa wamekaa kiongo ongo sanaWatu walioko nyuma ya billgate wanamuangalia kama boss wakati diamond hao watu ye ndio maboss zake. Hiyo inamaanisha kwamba swala la mgao linategemeana na mode ya boss siku hiyo boss kaamkaje
Hili tumeliona kwa wengi wadananda hasa hawa wabongo fleva wazee wa kufake, eti ooh sijui "msanii hautakiwi kuonekana sana utapoteza brand"
brand au brandina? Mbona kina mawenge, dizasta tunaishi nao street kiaina
Kunawasaidia nini kufake maisha mseme mnapesa mingi wakati waleti inabisha? Sasa hao mamluki wake almost karibia wote wameshindwa kumudu kodi ya nyumba...ni aibu
Haha konde girl titiriti titiritii
Usalama ndomana wanaka kwenye nyumba hizoMbona haushangai wahindi kibao wana maviwanda na investments nyingi tu hapa bongo lakini wanaishi nyumba za kupanga za NHC?
Kwa biashara ipi kariakoo kulaza million 500 per dayKawaida tu, Mbona mzee wa Kariakoo analaza Mil 500 kwa siku
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
huoni kasoro hapo, kulingana na maelezo yako imeingiza 90M hajasema Kipitia YouTube hapo bali YouTube ipo ndani kama moja wapo ya njia.Juzi kasema ukipata view one million YouTube bas unapata around 900K up to 1000K , video ya waah ina view 37Mil , IT wao karopoka imeingiza 90 Mil mpak sasa , jamaa wamekaa kiongo ongo sana
una ushahidi wa kutuoneshaWatu walioko nyuma ya billgate wanamuangalia kama boss wakati diamond hao watu ye ndio maboss zake. Hiyo inamaanisha kwamba swala la mgao linategemeana na mode ya boss siku hiyo boss kaamkaje
Hili tumeliona kwa wengi wadananda hasa hawa wabongo fleva wazee wa kufake, eti ooh sijui "msanii hautakiwi kuonekana sana utapoteza brand"
brand au brandina? Mbona kina mawenge, dizasta tunaishi nao street kiaina
Kunawasaidia nini kufake maisha mseme mnapesa mingi wakati waleti inabisha? Sasa hao mamluki wake almost karibia wote wameshindwa kumudu kodi ya nyumba...ni aibu
Kasema kupitia youtubehuoni kasoro hapo, kulingana na maelezo yako imeingiza 90M hajasema Kipitia YouTube hapo bali YouTube ipo ndani kama moja wapo ya njia.
Yawezekana hizo pesa analipwa kweli ila itakuwa ni jumla ya pesa zake zote za endorsements pamoja na za airtime ya hayo hayo matangazo kuruka Wasafi fm na TV.HiHuyu huyu ambaye nyumba anayoishi / amepanga, mwenyewe kaamua kuiweka sokoni huku mpangaji akiwa ndani?
weka ushahidi maana unaongeza vimaneno utaposanuliwa udhaifu wa hoja zako.Kasema kupitia youtube
Haukosawa kwani endorsement sialikuwanazo kabla hakuna kitu kinaitwa Wasafifm sisi tunataka endorsement tu hizi hazihusiani na wasafi bali Brand yake binafsi zinapewa airtime TV yoyote ile na endapo airtime itakuwa wasafifm Diamond lazima atakuwa na asilimia yake before na amount ya wasafi haihusiani na hiyo amount binafsi Diamond si mpuuzi.Yawezekana hizo pesa analipwa kweli ila itakuwa ni jumla ya pesa zake zote za endorsements pamoja na za airtime ya hayo hayo matangazo kuruka Wasafi fm na TV.
Sasa kwa kuwa jamaa ni mtu wa sifa na kuvimba anasema analipwa yeye kwaajili ya endorsements.
[emoji28] [emoji28] [emoji28]kawaida tuu
mbona mimi naingiza laki tano na ushee kila heslb wanaponikumbuka maana nimeingia nao mkataba.
Wasanii wanaishi kisanii tuMsanii wa Bongofleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz amesema kila mwezi huingiza Sh200 milioni kutokana na kuingia mikataba na kampuni mbalimbali kuwa balozi wa bidhaa zao.
Akizungumza katika kipindi cha TheSwitch kinachorushwa na redio ya Wasafi leo Alhamisi Januari 28, 2021, Diamond amesema fedha hizo ni mbali na zile anazoingiza kupitia muziki.
Amebainisha kuwa anaingia mikataba na kampuni na amekuwa akifanya hivyo kwa kila kampuni inayohitaji huduma yake.
“Endosment zangu mimi mshahara wangu kwa mwezi si chini ya milioni 200, na tunasaini mikataba kila siku. Ninaingiza kwa wiki Sh55 milioni kwa siku Sh7 milioni kwa saa moja Sh300,000 na kwa sekunde Sh6,000.”
Amesema mwaka 2021 fedha anazozipata katika eneo hilo huenda zikaongezeka kwa kuwa anatarajia kuwa balozi wa vitu vingi zaidi kwa kuwa ameamua kufanya muziki kuwa kazi na biashara.
View attachment 1689019
=====
Ina maana hii ni kwa endorsement za matangazo tu