Kumbe BongoFleva inalipa!! Diamond Platnumz anaingiza Milioni 200 kwa mwezi kwa matangazo tu

Kumbe BongoFleva inalipa!! Diamond Platnumz anaingiza Milioni 200 kwa mwezi kwa matangazo tu

Yale Magari ni ya kwake. Kuna kampuni anakatia Insurance naijua kadi za gari zina umiliki wa kwake.

Dai kuna wakati huwa ananikasirisha ila kwenye hili nimtetee tu.

Sawa nilikuwa nauliza kupata uhakika maana wasanii wanamiliki magari bila kadi yaani mali kauli, ila kama umeona kadi zake basi sawa.
 
Nyumba ile hajapanga.. Na inayotangazwa kuuzwa siyo anayokaa Dai..

Nyumba anayoishi analipiwa kila kitu na Moja ya Kampuni anayoifanyia matangazo..ilikuwa moja ya offer aliyopewa.

Yule hadi mafuta ya gari zake analipiwa.

Sawa kwakuwa unajua mali zake basi ebu weka Block na plot namba ya hiyo nyumba.
 
Sasa wewe maskini ndio maana unaona ajabu, hizo hela hujawahi ht ziota then mwenzio anakunja kwa mwezi basi povu linakutoka hatari

Najua Thamani ya mil200 ndio maana nakataa kwa huyo Mpuuzi wenu kusema anaingiza 200m kwa mwezi labda za Zimbabwe.

Kuna watu wanaingiza mil 200 kwa mwezi ila si kwa Domokaya,yeye apambane na kamisheni zake kutoka kwa kusaga kwa kutumia brand ya Wasafi,apambane na malipo ya views za youtube na CRBT-[Caller Ring Back Tone] ,pesa za pespi zina mikono mingi.
 
Sawa kwakuwa unajua mali zake basi ebu weka Block na plot namba ya hiyo nyumba.
Nyumba anayoishi pale Mbezi si ya kwake, nalifahamu hili kutokana na asili ya kazi yangu nina access ya kujua wamiliki wa nyumba mbalimbali upande wa Mkoa wa Kinondoni. Tofauti na ile ya Madale ambayo ni maarufu kwa watu Ila ananyumba yake aliyonunua Kunduchi jiwe gumu walishawahi kuishi Harmonize na Jackline Wolper kwa nyakati tofauti. Pia ana nyumba pale Salasala machimbo ya mawe.
 
Nyumba anayoishi pale Mbezi si ya kwake, nalifahamu hili kutokana na asili ya kazi yangu nina access ya kujua wamiliki wa nyumba mbalimbali upande wa Mkoa wa Kinondoni. Tofauti na ile ya Madale ambayo ni maarufu kwa watu Ila ananyumba yake aliyonunua Kunduchi jiwe gumu walishawahi kuishi Harmonize na Jackline Wolper kwa nyakati tofauti. Pia ana nyumba pale Salasala machimbo ya mawe.

Hiyo ya kunduchi ipo maeneo gani mkuu? Maana Kunduchi ushuani ni maeneo ya kwa Mwamnyange au Kwa Lipumba ,huko Jiwe Gumu ni wapi? Mimi pia napiga kazi za udalali ukinitajia tu kunduchi gani nitajua kama ni ya daimondi kweli au anaimiliki kwenye facebook au insta!!
 
Mimi kwa mwezi naingiza 500,000 kwa wiki 125,000


uwongo zambi
 
Hiyo ya kunduchi ipo maeneo gani mkuu? Maana Kunduchi ushuani ni maeneo ya kwa Mwamnyange au Kwa Lipumba ,huko Jiwe Gumu ni wapi? Mimi pia napiga kazi za udalali ukinitajia tu kunduchi gani nitajua kama ni ya daimondi kweli au anaimiliki kwenye facebook au insta!!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] duh we ni dalali halafu hujui Kunduchi jiwe gumu? Tuachane na hayo jiwe gumu unaingilia pale zebra na tuta mtongani karibu na msikiti mpya hivi kuna road inaingia kushoto .
 
Tuendelee Tu kumuonea wivu , jamaa pesa anayo...!!! Hawez shindwa kujenga nyumba hata ya mil 1000, tupambaneni Tu wadau...hata kama anadanganya still pesa anayo mshikaji
 
Mkwe wangu alistaafu mwaka jana na alikua senior officer serikalini akaramba mafao ya mil 500
Hii ni sawa na miezi miwili tu ya huyu chizi
Kweli maisha hayajawahi kuwa fair
Story za kwenyee kahawa hakuna mstaafu tz anayeweza kupata iyo pesa
 
Nyumba anayoishi pale Mbezi si ya kwake, nalifahamu hili kutokana na asili ya kazi yangu nina access ya kujua wamiliki wa nyumba mbalimbali upande wa Mkoa wa Kinondoni. Tofauti na ile ya Madale ambayo ni maarufu kwa watu Ila ananyumba yake aliyonunua Kunduchi jiwe gumu walishawahi kuishi Harmonize na Jackline Wolper kwa nyakati tofauti. Pia ana nyumba pale Salasala machimbo ya mawe.
Ile ya jiwe gumu pale panapojaa maji ndugu ambayo fensi ya mbele iliondoka na maji ndio unaweza sema nyumba ya msanii mkubwa ile kweli na hata hivyo ile sio yake acha tu tumfichie siri mana hata pale salasala unaposema kwake unazungumzia maeneo ya Lugalo ambapo napo nyumba ile sio yake japo wakati inanunuliwa walisema yeye ndio ananunua ila baadae kulitokea mkanganyiko kwa yule dada aliyeuza ndio ikajulikana nani mwenye nyumba
 
Mkwe wangu alistaafu mwaka jana na alikua senior officer serikalini akaramba mafao ya mil 500
Hii ni sawa na miezi miwili tu ya huyu chizi
Kweli maisha hayajawahi kuwa fair
Alipata hiyo baada ya kufanya kazi kwa miaka 30 na zaid diamond hiyo ni miez miwili tu
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] duh we ni dalali halafu hujui Kunduchi jiwe gumu? Tuachane na hayo jiwe gumu unaingilia pale zebra na tuta mtongani karibu na msikiti mpya hivi kuna road inaingia kushoto .

Naweza nikawa napajua ila sema jina ndio nisiwe nalijua,Msikitini njia mpya iliyopigwa lami napajua mtaa wa kutelemka kota za askari polisi?
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu hongera sana.
Asante mkuu japo kuna siku zinapitaga na mikosi, unakuta hata hiyo 2k sijapata ko inabidi nibadili bajet ya kula haraka sanaaaaa, yan mara moja per day. But mungu mwema bado napumua.
 
Najua Thamani ya mil200 ndio maana nakataa kwa huyo Mpuuzi wenu kusema anaingiza 200m kwa mwezi labda za Zimbabwe.

Kuna watu wanaingiza mil 200 kwa mwezi ila si kwa Domokaya,yeye apambane na kamisheni zake kutoka kwa kusaga kwa kutumia brand ya Wasafi,apambane na malipo ya views za youtube na CRBT-[Caller Ring Back Tone] ,pesa za pespi zina mikono mingi.
Mond akutolee mahari tu hatimae
 
Halafu Edo kumwembe na baba Levo wanalipwa laki mbili pale wasafj
 
Asante mkuu japo kuna siku zinapitaga na mikosi, unakuta hata hiyo 2k sijapata ko inabidi nibadili bajet ya kula haraka sanaaaaa, yan mara moja per day. But mungu mwema bado napumua.
Maisha ndo yanaenda ivo zidi tu kupamban.
 
Back
Top Bottom