Mwaga vitu Aisee......!Siku ukiwaelewa wasanii hutakaa uamini mtu yoyote duniani.
Kuna wasanii tunawajua a-z ngoj atukae kimya kuwatunzia heshima.
Ila usiamini kila ukionacho mtandaoni
Propaganda zingine hata kwenye siasa huzikuti ila WCB zimejaa teleJuzi kasema ukipata view one million YouTube bas unapata around 900K up to 1000K , video ya waah ina view 37Mil , IT wao karopoka imeingiza 90 Mil mpak sasa , jamaa wamekaa kiongo ongo sana
Nimekuqekea hapo unauonaje?una ushahidi wa kutuonesha
Imani huwa ni kazi bure, kama amejenga ukaamini hajajenga, imani yako haimfanyi kuwa hajajenga. Kama hajajenga ukaamini amejenga, imani yako haimfanyi kuwa na nyumba 5.We una amini hajajenga? Vii kuhusu madale? Hotel aliyonunua? Nk
Coment ya kinyonge sana na kukata tamaaHaya bhana,cha muhimu uhai tu...
Yupo wapi Mr Nice na Q-ChiefMsanii wa Bongofleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz amesema kila mwezi huingiza Sh200 milioni kutokana na kuingia mikataba na kampuni mbalimbali kuwa balozi wa bidhaa zao.
Akizungumza katika kipindi cha TheSwitch kinachorushwa na redio ya Wasafi leo Alhamisi Januari 28, 2021, Diamond amesema fedha hizo ni mbali na zile anazoingiza kupitia muziki.
Amebainisha kuwa anaingia mikataba na kampuni na amekuwa akifanya hivyo kwa kila kampuni inayohitaji huduma yake.
“Endosment zangu mimi mshahara wangu kwa mwezi si chini ya milioni 200, na tunasaini mikataba kila siku. Ninaingiza kwa wiki Sh55 milioni kwa siku Sh7 milioni kwa saa moja Sh300,000 na kwa sekunde Sh6,000.”
Amesema mwaka 2021 fedha anazozipata katika eneo hilo huenda zikaongezeka kwa kuwa anatarajia kuwa balozi wa vitu vingi zaidi kwa kuwa ameamua kufanya muziki kuwa kazi na biashara.
View attachment 1689019
=====
Ina maana hii ni kwa endorsement za matangazo tu
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Wote tunaishi lakini vitu vingine sio mpaka muweke ligi, rizika na unachopataMkwe wangu alistaafu mwaka jana na alikua senior officer serikalini akaramba mafao ya mil 500
Hii ni sawa na miezi miwili tu ya huyu chizi
Kweli maisha hayajawahi kuwa fair
Ukiufanya ki local local sahau huoni kingkiba anakua kama amestuck, Diamond anavuka boda sana mtu anafanya corabo hadi na Alicia keys, juzi juzi tu hapa nasikia kuna nyimbo yake inataka kuingizwa kwenye come into america part2 sio mchezo diamond ni kibokoMzik bongo unalipa ukiufanya biashara
Una mdhihaki Mungu sasa, sasa ndugu akili za kutafuta si zinatofautiana na uthubutu,pesa anayoingiza kwa sekunde naipata baada ya siku 5.kuna mahala mungu hakufikiria wakat wa uumbaj ,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyo anaethihakiwa yuko wapi?Una mdhihaki Mungu sasa, sasa ndugu akili za kutafuta si zinatofautiana na uthubutu
Si yule mzeeMzee yupi?
Huyo ni kada mtiifu hawezi kushtakiwa kizembe we subiri uone sakata la tv ya wasafi kufungiwa litakavyoyeyuka kiaina soon utawaona hewaniHapo sawa, hawakawiii kufungua kesi ya uhujumu uchumi
Jamani.. ile nyumba unayotangazwa kuUzwa zaidi ya mwaka siyo anayoishi Daimond.Huyu huyu ambaye nyumba anayoishi / amepanga, mwenyewe kaamua kuiweka sokoni huku mpangaji akiwa ndani?
Yale Magari ni ya kwake. Kuna kampuni anakatia Insurance naijua kadi za gari zina umiliki wa kwake.Mkuu kweli wewe haujui kitu ,una uhakika magari ni yake? Hivi unawajua wasaniii kweli wewe? Achana na tantalila za wasanii.
Nyumba ile hajapanga.. Na inayotangazwa kuuzwa siyo anayokaa Dai..Hahaa atimize ahadi ya rozi rozi naona tangia 2016 ipo kwenye maji,kisha ajenge mansion lake aache kupanga!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣pesa anayoingiza k itwa sekunde naipata baada ya siku 5.kuna mahala mungu hakufikiria wakat wa uumbaj ,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe maskini ndio maana unaona ajabu, hizo hela hujawahi ht ziota then mwenzio anakunja kwa mwezi basi povu linakutoka hatariMwenye pesa hana tantalila au longo longo ,Mwenye pesa unaona tu actions zake! Tunachosema hapa ni kuwa huyo bwana mdogo kutufanya sie mapoyoyo na uongo uongo wake,kama pesa anazo atulie ni zake sio kupayuka payuka tu anaingiza sijui mili 220 kwa mwezi,hivi anajua mili 200 kwa mwezi?