Kumbe CAF super league wanachukua hadi timu mbovu

Kumbe CAF super league wanachukua hadi timu mbovu

Tafuteni hela Vijana! Too much talking of kubishana Simba na Yanga!

Simba ni timu mbovu Haina kombe lolote hata kama imeibahatisha kuifunga Yanga ikienda kwa Wydad safari imeishia hapo, huko Super cup ni aibu tupu inakuja maana nguvu za Giza zimeisha baada ya kushinda derby ya mchongo kona Si Kona halali mpira umeanzishwa bila filimbi ya Refa aliekuwa kageukia kwingine akitoa maelekezo lengo kuvizia Yanga hawajajipanga na ni hakuna VAR goli lingefutwa na mechi ingekuwa tofauti hata huyo kibu asingefunga mnamsifia hata robo ya Mayele Bado , Yanga walipoteana tu kwa goli la mchongo liliwachanganya!

Kelele kibaooo tu wakati ni kipofu kaona mwezi, masikini akipata bwana m... Hulia mbwata and every dog 🐶 has his day!! Tangu 2019 ni kipigo tu kwa Mnyama hadi vijana wa Yanga wakaiona Simba kama Majimaji ndicho kiliwacost sio ubora wa Simba Bali uzembe na dharai za Yanga, wenye akili tunajua !!

Huko super cup na CAF champions league Simba ni kenge tu that is the fact!! Hakuna record yoyote kubwa ya Simba

Ushindi WA derby ya mchongo vijana hata kazi hawafanyi Tena wengi wamepata ajali kibao za magari na bodaboda kusherehekea kupata kombe la kuifunga Yanga! Stupid
Unajua kona sio kona leo!. Ile penalti ya nje ya Box ya Kisinda mmeisahau mara hii. Ile penalti dhidi ya Geita, kwa nini hamkukataa kupiga na mkaja kushangilia ushindi!? By the way, mabeki wako walikuwa wapi kukaba mpaka mkafungwa!? Au beki yako ni takataka.

Ila msilie sana, maana mume wenu Wydad si yupo! Atawapambania tu. Naamini Manara hakukosea alivyosema "wenye akili hapo utopolo ni wawili tu". Stupid.
 
Tafuteni hela Vijana! Too much talking of kubishana Simba na Yanga!

Simba ni timu mbovu Haina kombe lolote hata kama imeibahatisha kuifunga Yanga ikienda kwa Wydad safari imeishia hapo, huko Super cup ni aibu tupu inakuja maana nguvu za Giza zimeisha baada ya kushinda derby ya mchongo kona Si Kona halali mpira umeanzishwa bila filimbi ya Refa aliekuwa kageukia kwingine akitoa maelekezo lengo kuvizia Yanga hawajajipanga na ni hakuna VAR goli lingefutwa na mechi ingekuwa tofauti hata huyo kibu asingefunga mnamsifia hata robo ya Mayele Bado , Yanga walipoteana tu kwa goli la mchongo liliwachanganya!

Kelele kibaooo tu wakati ni kipofu kaona mwezi, masikini akipata bwana m... Hulia mbwata and every dog [emoji190] has his day!! Tangu 2019 ni kipigo tu kwa Mnyama hadi vijana wa Yanga wakaiona Simba kama Majimaji ndicho kiliwacost sio ubora wa Simba Bali uzembe na dharai za Yanga, wenye akili tunajua !!

Huko super cup na CAF champions league Simba ni kenge tu that is the fact!! Hakuna record yoyote kubwa ya Simba

Ushindi WA derby ya mchongo vijana hata kazi hawafanyi Tena wengi wamepata ajali kibao za magari na bodaboda kusherehekea kupata kombe la kuifunga Yanga! Stupid
Uotopolo kweli akili hamna. Yaani ulivoanza kuwaponda watu waache kubishana mpira watafute ela, nikajua utaongelea siasa kumbe na wewe unaongelea hayo hayo ya mpira.

Ila sio siri kufungwa na mtani kunauma sana
 
Tafuteni hela Vijana! Too much talking of kubishana Simba na Yanga!

Simba ni timu mbovu Haina kombe lolote hata kama imeibahatisha kuifunga Yanga ikienda kwa Wydad safari imeishia hapo, huko Super cup ni aibu tupu inakuja maana nguvu za Giza zimeisha baada ya kushinda derby ya mchongo kona Si Kona halali mpira umeanzishwa bila filimbi ya Refa aliekuwa kageukia kwingine akitoa maelekezo lengo kuvizia Yanga hawajajipanga na ni hakuna VAR goli lingefutwa na mechi ingekuwa tofauti hata huyo kibu asingefunga mnamsifia hata robo ya Mayele Bado , Yanga walipoteana tu kwa goli la mchongo liliwachanganya!

Kelele kibaooo tu wakati ni kipofu kaona mwezi, masikini akipata bwana m... Hulia mbwata and every dog 🐶 has his day!! Tangu 2019 ni kipigo tu kwa Mnyama hadi vijana wa Yanga wakaiona Simba kama Majimaji ndicho kiliwacost sio ubora wa Simba Bali uzembe na dharai za Yanga, wenye akili tunajua !!

Huko super cup na CAF champions league Simba ni kenge tu that is the fact!! Hakuna record yoyote kubwa ya Simba

Ushindi WA derby ya mchongo vijana hata kazi hawafanyi Tena wengi wamepata ajali kibao za magari na bodaboda kusherehekea kupata kombe la kuifunga Yanga! Stupid
Ulivyoanza nilikuelewa kumalizia sasa.
 
Hizi ni timu nane ambazo zimepewa nafasi ya kushiriki super league.

1) Tp Mazembe
2) Es Tunis
3) Petro Luanda
4)Horoya
5)Simba
6) Wydad
7) Mamelod
8) Al Ahly

Wakati mashindano haya yanazinduliwa, Simba waliinasibu kuwa ni mashindano ya timu bora tupu ndio zinazoshiriki hayo mashindano, lakini Mazembe alivyofungwa na Yanga nje ndani mkaidharau Mazembe kuwa ni timu mbovu. Kumbe super league zinachukuliwa hadi timu mbovu.

Bongo songo mbingo kila mmoja mjuaji
 
Hizi ni timu nane ambazo zimepewa nafasi ya kushiriki super league.

1) Tp Mazembe
2) Es Tunis
3) Petro Luanda
4)Horoya
5)Simba
6) Wydad
7) Mamelod
8) Al Ahly

Wakati mashindano haya yanazinduliwa, Simba waliinasibu kuwa ni mashindano ya timu bora tupu ndio zinazoshiriki hayo mashindano, lakini Mazembe alivyofungwa na Yanga nje ndani mkaidharau Mazembe kuwa ni timu mbovu. Kumbe super league zinachukuliwa hadi timu mbovu.
zinachukuliw timu zilizo fanya vizur misima miwilii mitatu nyumaaa
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
Tafuteni hela Vijana! Too much talking of kubishana Simba na Yanga!

Simba ni timu mbovu Haina kombe lolote hata kama imeibahatisha kuifunga Yanga ikienda kwa Wydad safari imeishia hapo, huko Super cup ni aibu tupu inakuja maana nguvu za Giza zimeisha baada ya kushinda derby ya mchongo kona Si Kona halali mpira umeanzishwa bila filimbi ya Refa aliekuwa kageukia kwingine akitoa maelekezo lengo kuvizia Yanga hawajajipanga na ni hakuna VAR goli lingefutwa na mechi ingekuwa tofauti hata huyo kibu asingefunga mnamsifia hata robo ya Mayele Bado , Yanga walipoteana tu kwa goli la mchongo liliwachanganya!

Kelele kibaooo tu wakati ni kipofu kaona mwezi, masikini akipata bwana m... Hulia mbwata and every dog [emoji190] has his day!! Tangu 2019 ni kipigo tu kwa Mnyama hadi vijana wa Yanga wakaiona Simba kama Majimaji ndicho kiliwacost sio ubora wa Simba Bali uzembe na dharai za Yanga, wenye akili tunajua !!

Huko super cup na CAF champions league Simba ni kenge tu that is the fact!! Hakuna record yoyote kubwa ya Simba

Ushindi WA derby ya mchongo vijana hata kazi hawafanyi Tena wengi wamepata ajali kibao za magari na bodaboda kusherehekea kupata kombe la kuifunga Yanga! Stupid
 
Timu mbovu ni ipi kati ya hizo,ingekuepo utopolo labda,ila hao wote ni vigogo wa soka africa,USIDANGANYIKE NA FORM ZINGATIA CLASS.
 
Ushiriki hapa kwa baadhi ya timu hakuna cha ubora wala ndugu yake, bali ni mipango tu
Hiyo mipango mbona kwa yanga afirika imegonga mwamba,ndo ujue sio mipango ni uzito wa timu husika kwenye kuipa hadhi kombe husika,kama ingekuwa kuna timu kama yanga,vipers,sjui malumo,rivers na timu zingine za second class sidhani kama kungekuwa na mvuto kwenye hilo kombe.
 
Lete record ya mazembe kwa hiyo miaka mitano wamevuna kipi? Kati ya Mazembe na Al Hilal ni timu ipi imeonesha performance nzuri kwa misimu mitano?
Huyo Horoya ndio kabisa ameishia group stage tu kwa record ya hivi kariibuni
Haya kwenye rank za caf nani yuko juu?mazembe hana form tu msimu huu huwezi mdharau mazembe over hilal utakuwa hujui soka mkuu,watu wa yanga kumuotea mazembe mnajiona mshakuwa mamelodi sasa,mna shida sana nyie watu.
 
Tafuteni hela Vijana! Too much talking of kubishana Simba na Yanga!

Simba ni timu mbovu Haina kombe lolote hata kama imeibahatisha kuifunga Yanga ikienda kwa Wydad safari imeishia hapo, huko Super cup ni aibu tupu inakuja maana nguvu za Giza zimeisha baada ya kushinda derby ya mchongo kona Si Kona halali mpira umeanzishwa bila filimbi ya Refa aliekuwa kageukia kwingine akitoa maelekezo lengo kuvizia Yanga hawajajipanga na ni hakuna VAR goli lingefutwa na mechi ingekuwa tofauti hata huyo kibu asingefunga mnamsifia hata robo ya Mayele Bado , Yanga walipoteana tu kwa goli la mchongo liliwachanganya!

Kelele kibaooo tu wakati ni kipofu kaona mwezi, masikini akipata bwana m... Hulia mbwata and every dog [emoji190] has his day!! Tangu 2019 ni kipigo tu kwa Mnyama hadi vijana wa Yanga wakaiona Simba kama Majimaji ndicho kiliwacost sio ubora wa Simba Bali uzembe na dharai za Yanga, wenye akili tunajua !!

Huko super cup na CAF champions league Simba ni kenge tu that is the fact!! Hakuna record yoyote kubwa ya Simba

Ushindi WA derby ya mchongo vijana hata kazi hawafanyi Tena wengi wamepata ajali kibao za magari na bodaboda kusherehekea kupata kombe la kuifunga Yanga! Stupid
Umeandika kwa hasira sana mkuu,take it easy,relax and enjoy the game.
 
Hili kombe ni kama bonanza tuu liloanzishwa na caf kwakuwa hakuna utaratibu mzuri wenye kueleweka hasa vgezo kwa washiriki.
Ni hisani tuu ya caf wanaamua nani ashiriki na nani asishiriki.
 
Kigezo cha kushiriki ni timu kufanya vizuri mfululizo kwa kipindi fulani kama sikosei ni miaka mitatu. Ubovu au uimara wa timu zitakazoshiriki itategemea uongozi wa timu husika kwani kila timu itapewa takribani billioni sita za maandalizi na usajili. Na Mazembe inayozungumziwa hapa kuwa mbovu itawashangaza wengi kwa jinsi inavyosukwa kwani imeshafumua benchi la ufundi na imeshaanza usajili muda mrefu na imeleta wachezaji kutoka mpaka Lebanon wanafanya majaribio.

Simba wao wanasubiri ligi iishe wawape wachezaji wao mapumziko ya miezi miwili halafu bodi ikae ichambue wachezaji wa kuwasajili na kuwaacha, wengine ianze kunyangányana na Yanga na Azam, wakistuka mwezi wa saba ndio unaisha. Utasikia timu inapelekwa kambi nje ya nchi wiki tatu wakirudi Simba Day hii hapa siku mbili tatu hivi unasikia ligi ya ndani imeanza. Timu ikifanya vibaya benchi la ufundi linalaumiwa wakati uongozi unashindwa kutimiza wajibu na kuendana na muda. Mpaka sasa Simba haina inachopambania badala yake wangejikita kwenye usajili wa maana hata kwa pesa ya kukopa ili pesa za CAF zikija hata kwa kuchelewa iwakute tayari timu ipo kwenye maandalizi kama wenzao Mazembe wanavyofanya kazi usiku na mchana kuirudisha timu yao kwenye njia sahihi.
 
Nawashauri viongozi wa Yanga ayo mashindano ni kama majaribio msije mkaomba kupeleka timu.
Wachezaji wapewe mapumziko baada ya msimu huu wa mashindano kwisha, wachezaji wakakae na familia zao na ku enjoy baada ya kazi ngumu.
Wakirudi wanakuwa wapya na wenye nguvu.
 
Nawashauri viongozi wa Yanga ayo mashindano ni kama majaribio msije mkaomba kupeleka timu.
Wachezaji wapewe mapumziko baada ya msimu huu wa mashindano kwisha, wachezaji wakakae na familia zao na ku enjoy baada ya kazi ngumu.
Wakirudi wanakuwa wapya na wenye nguvu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Akili
Akili
Akili


Yangekuwa majaribio mngeenda kupiga goti kwa naibu waziri akawaombee CAF???????


HII NCHI INA VIJANA HOPELESS KABISA,NA WANAOHARIBU NCHI HII NI MAMTU YA UTOPOLO
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Akili
Akili
Akili


Yangekuwa majaribio mngeenda kupiga goti kwa naibu waziri akawaombee CAF???????


HII NCHI INA VIJANA HOPELESS KABISA,NA WANAOHARIBU NCHI HII NI MAMTU YA UTOPOLO
Kacheze na Ruvu mmerudi kwenye level zenu
 
hao yanga wanaojinasibu walipiga na simba mbili kwa bila hata sisi tunashangaa wamefikaje labda kwa sababu wanacheza na kwnye kombe la looser
 
Hizi ni timu nane ambazo zimepewa nafasi ya kushiriki super league.

1) Tp Mazembe
2) Es Tunis
3) Petro Luanda
4)Horoya
5)Simba
6) Wydad
7) Mamelod
8) Al Ahly

Wakati mashindano haya yanazinduliwa, Simba waliinasibu kuwa ni mashindano ya timu bora tupu ndio zinazoshiriki hayo mashindano, lakini Mazembe alivyofungwa na Yanga nje ndani mkaidharau Mazembe kuwa ni timu mbovu. Kumbe super league zinachukuliwa hadi timu mbovu.
Duhh yaan...
 
Back
Top Bottom