Kumbe dunia inaweza kuwa na njia fupi (shortcut) tukaachana na usafiri wa ndege

Kumbe dunia inaweza kuwa na njia fupi (shortcut) tukaachana na usafiri wa ndege

Samico Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2022
Posts
486
Reaction score
1,237
Ikiwa sasa unatumia saa 17 hadi 20 angani kwa ndege kusafiri umbali mrefu mataifa kwa mataifa!
Ipo siku wataalam watafanikisha kupata njia nyepesi ya kuitembelea dunia kwa muda mfupi sana wa dakika 20 hadi 25 tu
Nitaieleza dunia kwa mfano wa chungwa!
Kama tulivyowahi kujifunza huko zamani shule ya msingi kwamba dunia ina umbo la tufe (spherical shape)

Umbo hill ukiliweka kwa mfano wa chungwa na ukaamua kumenya baadhi ya maganda na mengine yakabakia! Ndivyo unaweza kusema kwamba, sehemu za maganda ya chungwa ambazo utaziacha kuzimenya kwa kufuata ramani ya dunia tuzifananishe na nchi kavu, sehemu zote ulizomenya tuziite bahari (maji)
IMG_20221226_151845_195.jpg

Takwimu zinadai ukiizunguka dunia (chungwa) yote (circumference) yaani kutoka tanzania non stop katika mstali mnyoofu hadi urudi tena tanzania ni takribani kilomita elfu 40 tu yaani 40075km

Umbali ambao unaweza kuufikia hata kwa gari dogo( hata magari ya kuagiza toka japani yatumika zaidi ya hizo kilomita)

Hivyo endapo utaamua kuishia nusu ya safari inamaanisha utakuwa umetembea 20037km tu katika mzunguko wa kuizunguka dunia kwa juu!

Mfano utokee Argentina upae kwa ndege hadi uchina tufanye iwe ni nusu ya safari, then ukiendelea mbele urusi upae kuizunguka dunia kama mlima hadi ufike tena Argentina utakuwa umefanya mzunguko wote!

Sasa basi kuepusha hayo yote! Tuamue kuitoboa dunia kama ambavyo tunaweza kulitoboa chungwa kutoka upande mmoja hadi mwingine patakiwa na umbali gani?

Ikumbukwe mfano wetu wa chungwa kuwa, palipo na maganda ndipo hapa ardhini tunapoishi, palipomenya ni maji na nyama ya chungwa iwe ni tabaka la ardhi

Hivyo basi tukitoboa dunia kwa mtindo huo inatulazimu tujue umbali huu wa tundu
IMG_20221226_152031_058.jpg
IMG_20221226_152123_761.jpg

Na kwasababu umbali wa wa mzunguko tunao tunaweza kuutumia kupata eneo na kipenyo cha dunia ambacho ndilo tobo (tundu) lenyewe!

Hivyo kama dunia ina eneo la kilomita za mraba million 510, basi Eneo la dunia =pai mara kipeuo cha pili cha kipenyo,

Ambapo kipenyo halisi itakuwa sawa na kilomita 12762km umbali ambao ni kama kutoka Dar to bukoba mara 5 tu (to & fro) ambao ni umbali mfupi sana!

Hivyo umbali huo kama ukichorongwa ili kupata shimo (tunnel) kwa ule mfano wetu wa kutoboa chungwa!

Mathalani tobo lianzie ardhi ya Argentina huko lije kutokeza katika ardhi ya China maana yake umbali utakuwa ni 12762km tu!
Umbali huu ni mfupi sana!
IMG_20221226_152238_676.jpg

Sasa swali umbali huo kwenye shimo tutaufikia kwa muda gani kupita?

Bila shaka kwenye shimo hilo hakutahitajika nguvu kubwa sana kusafiri, ni kitendo cha kujitupa tu kama shilingi shwaa kama jiwe kwa kutegemea nguvu ya gravitational!

Na kwakuwa wataalam wanasema speed hubadilika hewani kadri ya umbali kwa umbali huo ni takribani dakika 19 hadi 20 tu unakuwa umefika nusu ya dunia (katikati), na baada ya kufika nusu kipenyo cha shimo, speed itaongezeka zaidi hivyo hadi kufika upande wa pili itachukua jumla ya dakika 26 hadi 27 tu kuikatiza dunia katikati.

Bahati mbaya sana gravitational itakurudisha tena na tena kinyume chake (vice versa)

Uzuri wake tu ni kwamba umbali huu unafikika BURE pasipo kutumia ndege, Bali ni mseleleko wa nguvu ya dunia! (Hii ni kutokana na formula ya umbali ni sawa na nusu ya gravitational zidisha kwa kipeuo cha pili cha muda)

Lakini mawazo hayo ya kuitoboa dunia kupata njia fupi ya kutumia muda mfupi wa dakika 20 tu hayawezi kufanikiwa kwa sasa hadi pale teknolojia na vifaa vitavyoweza tumika kutobolea vitapatikana!

Kwa sasa haiwezekani kwasababu!

Tabaka la ardhi hii ukifanikiwa kuchoronga umbali wa 100km utakutana na joto la ajabu takribani sentigrade 280℅ na ukizidisha kuchoronga joto ardhi linasadikika linaweza kupanda hadi sentigrade 600% na zaidi, ukifanikiwa kuchoronga hadi katikati ya dunia utakutana na madini chuma ya moto zaidi ya sentigrade elf 10 na zaidi joto ambalo linaweza kuyeyusha hadi mtambo wako na wewe mwenyewe ukageuka uji! Hivyo hilo wazo la kuitoboa dunia litabakia kuwa kipengele!

Dunia ina mengi ya kuendelea kujifunza! Fundi samico tunajifunza mengi muda wa ziada tusipokuwa na kazi!

Fundi ujenzi na umeme Samico Tanzania ni jopo la mafundi wazoefu pia hatuchoki kujifunza mambo ya duniani

Tunajifunza namna mpya tofauti za kuondoa kero kwa wateja wetu kiufundi!
Namshukuru Mungu wateja wetu wengi tumewatatulia shida zao kwa gharama nafuu kabisa!

Ukitaka ramani za ujenzi tunachora pia kwa elfu 50 tu kwa chumba (hii ni bei ya nyumba zote ambazo siyo za ghorofa)

Matatizo ya ujenzi,wiring mbovu, upotevu wa umeme na umeme wa akiba sasa imekuwa historia kwa wateja wetu hususani kipindi cha mgao!

Unaweza kutupigia kwa +255711756341 au tembelea ukurasa wetu huko instagram @samico_tanzania
 
Maswali ni mengi na hitimisho ni kwamba ulichokiwaza hakiwezekani, hakipo

Lakini unamawazo angalau ambayo siku moja unaweza kuwaza kitu chanya ambacho kinaweza kuja kubadili maisha ya wanadamu ni vizuri kuwaza kwa upana kiasi hicho
 
Ikiwa sasa unatumia saa 17 hadi 20 angani kwa ndege kusafiri umbali mrefu mataifa kwa mataifa!
Ipo siku wataalam watafanikisha kupata njia nyepesi ya kuitembelea dunia kwa muda mfupi sana wa dakika 20 hadi 25 tu
Nitaieleza dunia kwa mfano wa chungwa!
Kama tulivyowahi kujifunza huko zamani shule ya msingi kwamba dunia ina umbo la tufe (spherical shape)

Umbo hill ukiliweka kwa mfano wa chungwa na ukaamua kumenya baadhi ya maganda na mengine yakabakia! Ndivyo unaweza kusema kwamba, sehemu za maganda ya chungwa ambazo utaziacha kuzimenya kwa kufuata ramani ya dunia tuzifananishe na nchi kavu, sehemu zote ulizomenya tuziite bahari (maji)
View attachment 2458763
Takwimu zinadai ukiizunguka dunia (chungwa) yote (circumference) yaani kutoka tanzania non stop katika mstali mnyoofu hadi urudi tena tanzania ni takribani kilomita elfu 40 tu yaani 40075km

Umbali ambao unaweza kuufikia hata kwa gari dogo( hata magari ya kuagiza toka japani yatumika zaidi ya hizo kilomita)

Hivyo endapo utaamua kuishia nusu ya safari inamaanisha utakuwa umetembea 20037km tu katika mzunguko wa kuizunguka dunia kwa juu!

Mfano utokee Argentina upae kwa ndege hadi uchina tufanye iwe ni nusu ya safari, then ukiendelea mbele urusi upae kuizunguka dunia kama mlima hadi ufike tena Argentina utakuwa umefanya mzunguko wote!

Sasa basi kuepusha hayo yote! Tuamue kuitoboa dunia kama ambavyo tunaweza kulitoboa chungwa kutoka upande mmoja hadi mwingine patakiwa na umbali gani?

Ikumbukwe mfano wetu wa chungwa kuwa, palipo na maganda ndipo hapa ardhini tunapoishi, palipomenya ni maji na nyama ya chungwa iwe ni tabaka la ardhi

Hivyo basi tukitoboa dunia kwa mtindo huo inatulazimu tujue umbali huu wa tundu
View attachment 2458788View attachment 2458790
Na kwasababu umbali wa wa mzunguko tunao tunaweza kuutumia kupata eneo na kipenyo cha dunia ambacho ndilo tobo (tundu) lenyewe!

Hivyo kama dunia ina eneo la kilomita za mraba million 510, basi Eneo la dunia =pai mara kipeuo cha pili cha kipenyo,

Ambapo kipenyo halisi itakuwa sawa na kilomita 12762km umbali ambao ni kama kutoka Dar to bukoba mara 5 tu (to & fro) ambao ni umbali mfupi sana!

Hivyo umbali huo kama ukichorongwa ili kupata shimo (tunnel) kwa ule mfano wetu wa kutoboa chungwa!

Mathalani tobo lianzie ardhi ya Argentina huko lije kutokeza katika ardhi ya China maana yake umbali utakuwa ni 12762km tu!
Umbali huu ni mfupi sana!
View attachment 2458806
Sasa swali umbali huo kwenye shimo tutaufikia kwa muda gani kupita?

Bila shaka kwenye shimo hilo hakutahitajika nguvu kubwa sana kusafiri, ni kitendo cha kujitupa tu kama shilingi shwaa kama jiwe kwa kutegemea nguvu ya gravitational!

Na kwakuwa wataalam wanasema speed hubadilika hewani kadri ya umbali kwa umbali huo ni takribani dakika 19 hadi 20 tu unakuwa umefika nusu ya dunia (katikati), na baada ya kufika nusu kipenyo cha shimo, speed itaongezeka zaidi hivyo hadi kufika upande wa pili itachukua jumla ya dakika 26 hadi 27 tu kuikatiza dunia katikati.

Bahati mbaya sana gravitational itakurudisha tena na tena kinyume chake (vice versa)

Uzuri wake tu ni kwamba umbali huu unafikika BURE pasipo kutumia ndege, Bali ni mseleleko wa nguvu ya dunia! (Hii ni kutokana na formula ya umbali ni sawa na nusu ya gravitational zidisha kwa kipeuo cha pili cha muda)

Lakini mawazo hayo ya kuitoboa dunia kupata njia fupi ya kutumia muda mfupi wa dakika 20 tu hayawezi kufanikiwa kwa sasa hadi pale teknolojia na vifaa vitavyoweza tumika kutobolea vitapatikana!

Kwa sasa haiwezekani kwasababu!

Tabaka la ardhi hii ukifanikiwa kuchoronga umbali wa 100km utakutana na joto la ajabu takribani sentigrade 280℅ na ukizidisha kuchoronga joto ardhi linasadikika linaweza kupanda hadi sentigrade 600% na zaidi, ukifanikiwa kuchoronga hadi katikati ya dunia utakutana na madini chuma ya moto zaidi ya sentigrade elf 10 na zaidi joto ambalo linaweza kuyeyusha hadi mtambo wako na wewe mwenyewe ukageuka uji! Hivyo hilo wazo la kuitoboa dunia litabakia kuwa kipengele!

Dunia ina mengi ya kuendelea kujifunza! Fundi samico tunajifunza mengi muda wa ziada tusipokuwa na kazi!

Fundi ujenzi na umeme Samico Tanzania ni jopo la mafundi wazoefu pia hatuchoki kujifunza mambo ya duniani

Tunajifunza namna mpya tofauti za kuondoa kero kwa wateja wetu kiufundi!
Namshukuru Mungu wateja wetu wengi tumewatatulia shida zao kwa gharama nafuu kabisa!

Ukitaka ramani za ujenzi tunachora pia kwa elfu 50 tu kwa chumba (hii ni bei ya nyumba zote ambazo siyo za ghorofa)

Matatizo ya ujenzi,wiring mbovu, upotevu wa umeme na umeme wa akiba sasa imekuwa historia kwa wateja wetu hususani kipindi cha mgao!

Unaweza kutupigia kwa +255711756341 au tembelea ukurasa wetu huko instagram @samico_tanzania
Dogo shemeji yako kakazana kupiga honi huko kamfungulie geti.

Kammoon get up!
 
Back
Top Bottom