Kumbe Hasidic Jews (Wayahudi wenye msimamo mkali) ni watu wa ovyo sana

Kumbe Hasidic Jews (Wayahudi wenye msimamo mkali) ni watu wa ovyo sana

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Hivi neno la Kiswahili hasidi lilitokana na hawa jamaa nini? Kuna hawa Wayahudi wenye misimamo mikali sana ya kidini. Wanaamini wao ndiyo wateule na kila mtu duniani yupo kwa ajili ya kuwatumikia wao. Kwa namna fulani naelewa kwa nini Wayahudi walikuwa Persecuted huko Ulaya.

Huwezi kuwa disrespectful namna hii kwa watu. Hawana kabisa uvumilivu wa kidini. Hii video hapa chini inaoonyesha wakiwapita watawa na kutema mate kwa dharau.

 
Hivi neno la Kiswahili hasidi lilitokana na hawa jamaa nini? Kuna hawa Wayahudi wenye misimamo mikali sana ya kidini. Wanaamini wao ndiyo wateule na kila mtu duniani yupo kwa ajili ya kuwatumikia wao. Kwa namna fulani naelewa kwa nini Wayahudi walikuwa Persecuted huko Ulaya.

Huwezi kuwa disrespectful namna hii kwa watu. Hawana kabisa uvumilivu wa kidini. Hii video hapa chini inaoonyesha wakiwapita watawa na kutema mate kwa dharau.


Mbona mapigo yao kama ndugu zetu wa kanda ya ziwa
 
Haya mambo ya dini tumeletewa tu, hata ubaguzi wa kule wanakoendaga ndugu zetu KUHIJI ni wa kiwango cha SGR, dada zetu hata wa Imani yao wamenyanyaswa sana na kubaguliwa wakienda huko kufanya kazi, hata Morocco ilipoingia nusu fainali ikadai ushindi wao unawakilisha nchi za kiarabu na sio Afrika. Watu weusi maskini kwa kujua au kutojua huwa wanajipendekeza sana kwa wayahudi na waarabu, wakati wenzao wanawaona kama wanyama pori tu. Ni vile watu wengi hawasafiri sana hivyo wengi hawajui kinachoendelea huko duniani.
 
Hivi neno la Kiswahili hasidi lilitokana na hawa jamaa nini? Kuna hawa Wayahudi wenye misimamo mikali sana ya kidini. Wanaamini wao ndiyo wateule na kila mtu duniani yupo kwa ajili ya kuwatumikia wao. Kwa namna fulani naelewa kwa nini Wayahudi walikuwa Persecuted huko Ulaya.

Huwezi kuwa disrespectful namna hii kwa watu. Hawana kabisa uvumilivu wa kidini. Hii video hapa chini inaoonyesha wakiwapita watawa na kutema mate kwa dharau.


Wakristo huwa wanajizima data.

Wayahudi wote wanawachukulia wakristo kuwa ni WAPAGANI (Polytheists).

Wayahudi hawaamini kuwa Yesu ndiye Masihi wa aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya Wana wa israel.

Wayahudi hawakubaliani na kauli kuwa Yesu ni mwana wa Mungu/Mungu..na humchukulia yeyote anayesema au kuamini maneno hayo kuwa ni Mpagani.

Wayahudi hawaamini katika msalaba, ukombozi kupitia damu ya Yesu,Utatu mtakatifu na vilevile hawali Nguruwe)

Wayahudi kiimani wapo karibu sana na Uislam kuliko ilivyo kwa Ukristo
 
Wakristo huwa wanajizima data.

Wayahudi wote wanawachukulia wakristo kuwa ni WAPAGANI (Polytheists).

Wayahudi hawaamini kuwa Yesu ndiye Masihi wa aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya Wana wa israel.

Wayahudi hawakubaliani na kauli kuwa Yesu ni mwana wa Mungu/Mungu..na humchukulia yeyote anayesema au kuamini maneno hayo kuwa ni Mpagani.

Wayahudi hawaamini katika msalaba, ukombozi kupitia damu ya Yesu,Utatu mtakatifu na vilevile hawali Nguruwe)

Wayahudi kiimani wapo karibu sana na Uislam kuliko ilivyo kwa Ukristo
Mpaka leo wao wanatambua sheria za Musa tu.
 
Tupo hapa mkuu wayahudi tulio zaliwa matombo morogoro
na tupo tayar kufa kwaajili ya Taifa letu TEULE
Wayahudi wa matombo msalabani tutampelekea ndugai mikungu ya ndizi ampelekee yesu na mke wake
images (29).jpeg
 
Wakristo huwa wanajizima data.

Wayahudi wote wanawachukulia wakristo kuwa ni WAPAGANI (Polytheists).

Wayahudi hawaamini kuwa Yesu ndiye Masihi wa aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya Wana wa israel.

Wayahudi hawakubaliani na kauli kuwa Yesu ni mwana wa Mungu/Mungu..na humchukulia yeyote anayesema au kuamini maneno hayo kuwa ni Mpagani.

Wayahudi hawaamini katika msalaba, ukombozi kupitia damu ya Yesu,Utatu mtakatifu na vilevile hawali Nguruwe)

Wayahudi kiimani wapo karibu sana na Uislam kuliko ilivyo kwa Ukristo
Umemaliza vibaya.

Waislamu na christians wanashabiiana ktk mengi kuliko Judaism na wayahudi.

Islam's na christians wanamtambua Yesu/ISSA kuwa ndiye MESSIAH.
 
Warumi 3

Basi Myahudi ana ziada gani? Na kutahiriwa kwafaa nini?
2 Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu.
3 Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?
4 Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na kila mtu mwongo; kama ilivyoandikwa, Ili ujulike kuwa una haki katika maneno yako, Ukashinde uingiapo katika hukumu
 
Ajabu kuna ndugu zako wamezaliwa kyela na Tandale wanaweka bendera za Israel kwenye nyumba za Ibada na magari...
Kiufupi watu wa dini nyingine zote mnajipendekeza tu kwao, wala hawana habari kabisa na ukristo wala uislam
 
Wote wajinga tu hapo.. ukiwauliza wanatokea kabila gani kati ya yale 12 wanabaki wanambwirambwira tu
 
Back
Top Bottom