m2mixh
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 614
- 391
Uongo.Wayahudi wanashabihiana sana na wakristo wa kisabato KULIKO waislam.Waislam ni wapinga amri za MUNGU,mfano;Wakristo huwa wanajizima data.
Wayahudi wote wanawachukulia wakristo kuwa ni WAPAGANI (Polytheists).
Wayahudi hawaamini kuwa Yesu ndiye Masihi wa aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya Wana wa israel.
Wayahudi hawakubaliani na kauli kuwa Yesu ni mwana wa Mungu/Mungu..na humchukulia yeyote anayesema au kuamini maneno hayo kuwa ni Mpagani.
Wayahudi hawaamini katika msalaba, ukombozi kupitia damu ya Yesu,Utatu mtakatifu na vilevile hawali Nguruwe)
Wayahudi kiimani wapo karibu sana na Uislam kuliko ilivyo kwa Ukristo
*Wanakula najisi(ngamia)
*Wanavunja sabato(jumamosi)
*Wanafanya ibada za wafu(kuwaombea wafu)
*Wana ibada za mwezi(hawafungi au kufungua wasipouona mwezi)
*Wana ibada ya sanamu(kusujudia jiwe jeusi huko makka,na tasbihi)
Kwa hayo machache utaona waislamu ni watoto wa katoliki.Wayahudi wanafanana Kwa ukaribu sana na wakristo wa kweli ambao ni wasabato(watu wa kitabu) kuliko waislamu.