Kumbe Hasidic Jews (Wayahudi wenye msimamo mkali) ni watu wa ovyo sana

Kumbe Hasidic Jews (Wayahudi wenye msimamo mkali) ni watu wa ovyo sana

Kanye west aliwahi sema Hitler kuna baadhi ya mambo alikuwa sahihi.

Wakamsulubu kweli kweli.

Dunia haitaki kusikia ukweli. Ukisa ukweli unakuwa adui kwa Kila mtu. Dunia inapenda uongo na unafiki
 
Wakristo huwa wanajizima data.

Wayahudi wote wanawachukulia wakristo kuwa ni WAPAGANI (Polytheists).

Wayahudi hawaamini kuwa Yesu ndiye Masihi wa aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya Wana wa israel.

Wayahudi hawakubaliani na kauli kuwa Yesu ni mwana wa Mungu/Mungu..na humchukulia yeyote anayesema au kuamini maneno hayo kuwa ni Mpagani.

Wayahudi hawaamini katika msalaba, ukombozi kupitia damu ya Yesu,Utatu mtakatifu na vilevile hawali Nguruwe)

Wayahudi kiimani wapo karibu sana na Uislam kuliko ilivyo kwa Ukristo
Umeandika kweli tupu ila ndugu zetu wakristo hawafahamu hili.
 
Wanakubali
Nime Google hainipi majibu kama yako
Ngoja niendelee kusoma
Screenshot_20230507_085652_Google.jpg
 
Kwahiyo google ikisema gadafi ni gaidi wewe unakubali? Au ikisema waislamu ni magaidi utakubali?
Hapana siwezi kukubali ila ina vyanzo vingi pia kama wao wenyewe kusema hawakubali kuwa Jesus is God
Na kwao kuna dini zote 3
Kueleweshana ni elimu tosha
 
Kwahiyo sio kwamba kila unachokisoma google ni chakweli si ndio?
Mengine ni fake na mengi ni kweli
Jukumu letu ni kutafuta penye ukweli kwa kuangalia Habari kama ni kweli au uongo

Na ukijiridhisha unaamini
Kuna watu hawaamini kama holocaust ilitokea tena huwaambii kitu

Kuna wengine wanapinga vita vya kwanza havikutokea bali ni hadithi

Kila mmoja akili yake inakomtuma tu
Na mimi nachambua pia
Kama unavyoamini wewe Kuna wengine hawaamini
 
Lakini wewe ni mtu mzima mbona unakuwa mpumbavu?
Isitoshe una degree ya Tumaini university kabisa ila bado mjinga

Uyahudi ulianza lini na ulitokana na nini unafahamu?
Achana na maufala yao wako hivyo siku zote
Myahudi (Jew)? Je Abraham alikuwa jew au Hebrew (Habiru??) Acha ujinga wewe
 
Wakristo huwa wanajizima data.

Wayahudi wote wanawachukulia wakristo kuwa ni WAPAGANI (Polytheists).

Wayahudi hawaamini kuwa Yesu ndiye Masihi wa aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya Wana wa israel.

Wayahudi hawakubaliani na kauli kuwa Yesu ni mwana wa Mungu/Mungu..na humchukulia yeyote anayesema au kuamini maneno hayo kuwa ni Mpagani.

Wayahudi hawaamini katika msalaba, ukombozi kupitia damu ya Yesu,Utatu mtakatifu na vilevile hawali Nguruwe)

Wayahudi kiimani wapo karibu sana na Uislam kuliko ilivyo kwa Ukristo
Kuna wakati huwa inashindwa kuelewa vitu vidogo. Ukristu na dini ya Kiyahudi zina tofauti kubwa katika mafundisho na kile wanachokiamini. Ukristu unamtambua Yesu kama nafsi ya pili ya Mungu, na alizaliwa eneo hilo. Hata Israeli ingekuwa chini ya wabudha, bado Ukristo ungeendelea kuheshimu historia ya maeneo hayo kwamba ndipo Yesu alizaliwa na ni yeye aliweka misingi ya Ukristu .
Hata Waislam wanataka historia ya maeneo haya itunzwe kwa sababu wanaamini ndipo Muhammad alipaa, (ingewaje hili halina ushahidi wowote ).
Nje ya hapo ha

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
MESSIAH;

From Hebrew "Mashiah" , "Anointed"

Judaism, the expected KING of davidic line who will deliver Israel from foreign bondage.

MESSIAH came from this Prophecy;

(Isaiah 9:6-7) which says :In swahili,

Maana Kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto Mwanaume, na Uweza wa kifalme utakuwa begani mwake,

Naye ataitwa Jina lake, MSHAURI WA AJABU, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE, MFALME WA AMANI.

7, Maongeo ya enzi yake na Amani, hayatakuwa na mwisho kamwe, katika KITI Cha enzi Cha Daudi, na ufalme wake, kuuthibitisha na kutengeneza HUKUMU na HAKI, tangu sasa na hata Milele.

ISLAM'S na Waliookoka ni ndugu.

Yesu/ ISSA ametambuliwa kama Messiah ktk vitabu vyao.

Messiah Ni mfalme wa WAFALME, Mungu mwenye nguvu, baba wa milele, ufalme wake hauna mwisho. Yesu ni Mungu.

Wayahudi walimsulubisha na sababu alijitambulisha kwao kama Messiah ambaye ni Mfalme wa WAFALME Mungu mwenye nguvu. Bt Islam's wamemtambua kama Messiah.

Messiah Yesu,aliposulubishwa na wayahudi ,aliitoa Roho yake,cakashuka kuzimu, akamnyanganya Shetani funguo za MAUTI na kuzimu na akaihuisha tena ROHO yake ktk mwili siku ya TATU, akapaa Mbinguni na Ameketi mkono wa kuume wa Enzi Mbinguni, na ndiye atakayekuja kuuhukumu Ulimwengu juu ya DHAMBI.

ISLAM'S bila YESU hakuna Ukombozi, mkimwamini ndiye njia ya Kweli na Uzima.

Mungu ni MMOJA, na YESU ndilo JINA lake.

Amen.
Mungu anamuomba Mungu mbona jamaa unanichanganya maana Yesu alikuwa anaomba

Mungu jina lake ni Jehovah

Mungu haombi na hana wa kumuomba sisi ndio tunamuomba
 
Mungu anamuomba Mungu mbona jamaa unanichanganya maana Yesu alikuwa anaomba

Mungu jina lake ni Jehovah

Mungu haombi na hana wa kumuomba sisi ndio tunamuomba
Jina la Mungu ni YESU.

Ndilo JINA lipitalo majina yote. Alilazimika kusema baba sababu alikuwa duniani katk mwili, hata wayahudi walijua ni mwana wa Yusufu seremala.

Hivi Leo tunavyoongea ndiye aketiye kwenye KITI Cha enzi, ndiye Mungu mkuu.

Mungu akufunulie Siri hii upate Amani.

Amen
 
Wakristo huwa wanajizima data.

Wayahudi wote wanawachukulia wakristo kuwa ni WAPAGANI (Polytheists).

Wayahudi hawaamini kuwa Yesu ndiye Masihi wa aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya Wana wa israel.

Wayahudi hawakubaliani na kauli kuwa Yesu ni mwana wa Mungu/Mungu..na humchukulia yeyote anayesema au kuamini maneno hayo kuwa ni Mpagani.

Wayahudi hawaamini katika msalaba, ukombozi kupitia damu ya Yesu,Utatu mtakatifu na vilevile hawali Nguruwe)

Wayahudi kiimani wapo karibu sana na Uislam kuliko ilivyo kwa Ukristo
Kama Imani yao ipo karibu sn na uislam iweje ss kila siku inawauwa hao ndugu zao wapalestina ambao wapo karibu nao kiimani?
 
Sasa mungu wanaye mwabudu Kama amewa ruhusu wafanye hivi huyo mungu so atakuwa ndiyo shetani mwenyewe au🤔🤔
 
Haya mambo ya dini tumeletewa tu, hata ubaguzi wa kule wanakoendaga ndugu zetu KUHIJI ni wa kiwango cha SGR, dada zetu hata wa Imani yao wamenyanyaswa sana na kubaguliwa wakienda huko kufanya kazi, hata Morocco ilipoingia nusu fainali ikadai ushindi wao unawakilisha nchi za kiarabu na sio Afrika. Watu weusi maskini kwa kujua au kutojua huwa wanajipendekeza sana kwa wayahudi na waarabu, wakati wenzao wanawaona kama wanyama pori tu. Ni vile watu wengi hawasafiri sana hivyo wengi hawajui kinachoendelea huko duniani.
Na ndiyo ukweli. Tunastahili.
 
Back
Top Bottom