Kumbe Hasidic Jews (Wayahudi wenye msimamo mkali) ni watu wa ovyo sana

Kumbe Hasidic Jews (Wayahudi wenye msimamo mkali) ni watu wa ovyo sana

Wote wajinga tu hapo.. ukiwauliza wanatokea kabila gani kati ya yale 12 wanabaki wanambwirambwira tu
Lakini wewe ni mtu mzima mbona unakuwa mpumbavu?
Isitoshe una degree ya Tumaini university kabisa ila bado mjinga

Uyahudi ulianza lini na ulitokana na nini unafahamu?
Achana na maufala yao wako hivyo siku zote
 
Tuseme ni Judaism ni dini ya kibaguzi au Wayahudi ni wabaguzi. Kwa yeyote aliyewahi kuishi China au Japan ni kwamba hawamjui Yesu lakini hawabagui Mwafrika kwa dini wala rangi yake. Ukitaka tunda unatafuna Tu. Njoo Uarabuni wewe ngozi nyeusi uombe tunda kama hutanyongwa hadharani.
Huo ni ushetni!
Kwamba Waarabu ni wabaguzi kwa sababu tu si warahisi kutoa tunda kama hao waovu wa dunia.
 
Ila waislam wanaunda vikundi kutuua hawa watu wabinafs kama wayaudi tu
Taja ndugu yako alieuwawa na waislam
Au hata kama kuna jirani yako alizabwa hata Kofi na Muislam

Acha chuki za kijinga wewe
Wanaouwa wana malengo yao na sio uislam

Haya makanisa yanayoibuka kila leo mara mchungaji anawaambia wavue chupi mbele ya waume zao
Wengine wakifunga mpaka kufa na wengine walipewa mpaka jiki wanywe ili wasafishe dhambi

Hao ni wakristo kama wewe?
 
Mkuu nasali kila jumapili kanisani lini ulituona tunasapoti ugaidi kwa kigezo cha dini? Inaonekana hujui chochote unakurupuka tu kucoment kiushabiki
Tanzania hakuna wayaudi , watu wanaunga mkono kama watu wengine dunian sio kwa imani yao , nyiny ndo mnasapoti ugaidi kwa kigezo cha dini
 
Sijawai isapoti israel kwa kigezo cha dini maana sio moja na sisi wakristo ila tuwaulize nyiny kwann mnawakumbatia hao waarab wanaofadhiri ugaidi baran afrika ? Tanzanite inauzwa Saudia Arabia imefikaj kule ? Mali zetu nying zinaibww kiharam hlf zinauzww huko Saudia Arabia , je zimerikaje kule , nini maslai yao kufadhiri ugaidi afrika , ukijibi ndo tuendelee wazungumzia ambao huenda hata hujawai waona
Soma uelewe na sio kwa ushabiki ili utambue nani anafadhili ugaidi.
Kwa kusikiliza tu yanayosemwa na vyombo vya habari utaamini kama ulivyo, lkn ukisoma na kuzingatia utajua ukweli
 
Soma uelewe na sio kwa ushabiki ili utambue nani anafadhili ugaidi.
Kwa kusikiliza tu yanayosemwa na vyombo vya habari utaamini kama ulivyo, lkn ukisoma na kuzingatia utajua ukweli
Nisome nini wakati mali zetu zinauzwa saudia arabia na uchina bila kujulikana zimetokaje africa au unataka kusema nini hapo? , tatizo lenu ni ushabiki mwingi hata kwa vitu mnaviona ,mme kuwa watu wa udaku zaid kuliko uhalisia , SIKU MKIACHA USHABIKI MAANDAZI NDO ITAKUWA KWANZO WENU WA KUPIGA HATUA KIUCHUMI NA KISIASA PIA
 
Ila waislam wanaunda vikundi kutuua wakristu halaf hapa wanataka waonekane wema kuliko hao wayaudi ambao wanayafanya hayo wakiwa kwao huko
Islam's walikuwa fixed. Now ndo wanaanza STUKA viongozi wao wa juu wanasalite Kwa Popee,

Ni suala la muda tu, tutaungana wote Waamini MESSIAH Yesu Kristo, Mungu mmoja na wa pekee.
 
Haya mambo ya dini tumeletewa tu, hata ubaguzi wa kule wanakoendaga ndugu zetu KUHIJI ni wa kiwango cha SGR, dada zetu hata wa Imani yao wamenyanyaswa sana na kubaguliwa wakienda huko kufanya kazi, hata Morocco ilipoingia nusu fainali ikadai ushindi wao unawakilisha nchi za kiarabu na sio Afrika. Watu weusi maskini kwa kujua au kutojua huwa wanajipendekeza sana kwa wayahudi na waarabu, wakati wenzao wanawaona kama wanyama pori tu. Ni vile watu wengi hawasafiri sana hivyo wengi hawajui kinachoendelea huko duniani.
Hata simu na magari tumeletewa,tuunde vyeti tusinyanyasike
 
Wakristo ktk Imani tunaamini Mungu ni MMOJA hivyo tunashabiiana, utatu ni wacatokicano,

Masihi maana yake ni Mwana wa Mungu na ni Mungu hivyo Islam na waliookoka tupo pamoja.

Amen.
Wakristo gani wasioamini Utatu wakati Utatu upo kwenye Biblia
 
Umemaliza vibaya.

Waislamu na christians wanashabiiana ktk mengi kuliko Judaism na wayahudi.

Islam's na christians wanamtambua Yesu/ISSA kuwa ndiye MESSIAH.
Issa na Yesu ni watu wawili tofauti kabisa
 
Wakristo gani wasioamini Utatu wakati Utatu upo kwenye Biblia
(1 Yohana 5:8)Wapo watatu washuhudiao Mbinguni, Baba, Neno na Roho mtakatifu, na hao watatu ni UMOJA.

Wapo pia watatu washuhudiao duniani, Maji, Damu na Roho. Na hao watatu ni UMOJA.

Hivyo, BIBLIA imesema watatu Si Utatu.

Maji, Damu na Roho ndo mtu na havitenganishiki. Ni UMOJA.

Walioleta habari za utatu walifanya makusudi Ili kuingiza mfanano wa miungu Yao, muungu mke, mama wa Makahaba wa kuzimu ambaye wanazuga ni Mary wakati deep down ni huyo jezebeli, mungu mke. Zamani catolicano ktk utatu wao walimweka Mary aabudiwe, BAADAYE ndo wakaweka Roho mtakatifu.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 
Hao ni wazungu sio wayahudi huoni yalivyo meupe kupitiliza, kuikalia ardhi ya uyahudi kimabavu hakuwafanyi wao kwa Wayahudi.
Wayahudi wa kweli walishakimbia na hawajulikani walipo japo tunaishi na.
The lost tribes of Israel.
 
(1 Yohana 5:8)Wapo watatu washuhudiao Mbinguni, Baba, Neno na Roho mtakatifu, na hao watatu ni UMOJA.

Wapo pia watatu washuhudiao duniani, Maji, Damu na Roho. Na hao watatu ni UMOJA.

Hivyo, BIBLIA imesema watatu Si Utatu.

Maji, Damu na Roho ndo mtu na havitenganishiki. Ni UMOJA.

Walioleta habari za utatu walifanya makusudi Ili kuingiza mfanano wa miungu Yao, muungu mke, mama wa Makahaba wa kuzimu ambaye wanazuga ni Mary wakati deep down ni huyo jezebeli, mungu mke. Zamani catolicano ktk utatu wao walimweka Mary aabudiwe, BAADAYE ndo wakaweka Roho mtakatifu.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
Hawaaminishi Mungu ni watatu wao wanamaanisha kani au nguvu au mamlaka ya utendaji lakini Mungu ni Mmoja.
Mfano John anafanya Kazi tatu ni Mwalimu ni mkulima ni mfanyabiashara hii haimaanishi kwamba John ni watatu anabakia John yule yule.
Wakulima umtambua John kama mkulima, wafanyabiashara hivyo hivyo na walimu wenzake umtambua kama Mwalimu.
 
Taja ndugu yako alieuwawa na waislam
Au hata kama kuna jirani yako alizabwa hata Kofi na Muislam

Acha chuki za kijinga wewe
Wanaouwa wana malengo yao na sio uislam

Haya makanisa yanayoibuka kila leo mara mchungaji anawaambia wavue chupi mbele ya waume zao
Wengine wakifunga mpaka kufa na wengine walipewa mpaka jiki wanywe ili wasafishe dhambi

Hao ni wakristo kama wewe?
Akikujibu nitag
 
Back
Top Bottom