Kumbe Hasidic Jews (Wayahudi wenye msimamo mkali) ni watu wa ovyo sana

Kumbe Hasidic Jews (Wayahudi wenye msimamo mkali) ni watu wa ovyo sana

Wakristo huwa wanajizima data.

Wayahudi wote wanawachukulia wakristo kuwa ni WAPAGANI (Polytheists).

Wayahudi hawaamini kuwa Yesu ndiye Masihi wa aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya Wana wa israel.

Wayahudi hawakubaliani na kauli kuwa Yesu ni mwana wa Mungu/Mungu..na humchukulia yeyote anayesema au kuamini maneno hayo kuwa ni Mpagani.

Wayahudi hawaamini katika msalaba, ukombozi kupitia damu ya Yesu,Utatu mtakatifu na vilevile hawali Nguruwe)

Wayahudi kiimani wapo karibu sana na Uislam kuliko ilivyo kwa Ukristo
Sio wayahudi tu kila waumini wa Dini waona waumini wa dini nyingine wamepotea.
 
Hii propaganda dhidi ya Wayahudi na kuficha ukatili waliofanyiwa watu weusi zama za utumwa na hadi leo huko wanapoenda kufanyishwa kazi za ndani, kuvunwa viungo n.k. haikubaliki.
Wayahudi hawapendi utumwa wala hawajishughulishi na biashara ya kuingizwa Waafrika kuwatumikisha kazi za ndani.
Waisraeli kuwatesa Wapalestina kama inavyofanya Serikali ya Netanyahu iliyopo madarakani wakati huu ni jambo la kulaaniwa na watu wote hasa watu weusi ambao wameteswa na kubaguliwa sana kwa karne nyingi hadi leo.
Lakini tusisahau Waisrael wana haki ya kulinda nchi yao kama walivyofanya Juni 1967-Israel yenye watu milioni 5 iliwapiga adui milioni 100 katika kipindi cha siku 6 na kuteka eneo la adui kubwa mara tatu na zaidi ya eneo la Israel.
 
Tuseme ni Judaism ni dini ya kibaguzi au Wayahudi ni wabaguzi. Kwa yeyote aliyewahi kuishi China au Japan ni kwamba hawamjui Yesu lakini hawabagui Mwafrika kwa dini wala rangi yake. Ukitaka tunda unatafuna Tu. Njoo Uarabuni wewe ngozi nyeusi uombe tunda kama hutanyongwa hadharani.
@FaizaFoxy anawahusudu sana Waarabu!
 
Back
Top Bottom