Kumbe Hasidic Jews (Wayahudi wenye msimamo mkali) ni watu wa ovyo sana

Sio wayahudi tu kila waumini wa Dini waona waumini wa dini nyingine wamepotea.
 
Hii propaganda dhidi ya Wayahudi na kuficha ukatili waliofanyiwa watu weusi zama za utumwa na hadi leo huko wanapoenda kufanyishwa kazi za ndani, kuvunwa viungo n.k. haikubaliki.
Wayahudi hawapendi utumwa wala hawajishughulishi na biashara ya kuingizwa Waafrika kuwatumikisha kazi za ndani.
Waisraeli kuwatesa Wapalestina kama inavyofanya Serikali ya Netanyahu iliyopo madarakani wakati huu ni jambo la kulaaniwa na watu wote hasa watu weusi ambao wameteswa na kubaguliwa sana kwa karne nyingi hadi leo.
Lakini tusisahau Waisrael wana haki ya kulinda nchi yao kama walivyofanya Juni 1967-Israel yenye watu milioni 5 iliwapiga adui milioni 100 katika kipindi cha siku 6 na kuteka eneo la adui kubwa mara tatu na zaidi ya eneo la Israel.
 
@FaizaFoxy anawahusudu sana Waarabu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…