Kumbe hata Ulaya hakuna Uhuru wa kutoa Maoni, Wanaounga mkono Hamas na kuikosoa Israel wanapigwa rungu

Kumbe hata Ulaya hakuna Uhuru wa kutoa Maoni, Wanaounga mkono Hamas na kuikosoa Israel wanapigwa rungu

Yes, hao Wafisiliti waliuza wenyewe eneo Kwa waisraeli (ambao walikuwa watoto wa yakobo). Na eneo alilonunua Ibrahim ndo sehemu alipomzika mke wake na ndugu zake. Hivo waisraeli hapo ni kama kwao tuu. ( Patamu hapa[emoji23]). Ni kama wazaramo kuuza maeneo Kwa wachaga na wakinga harafu wazaramo waanze kulilia eneo walilo uza hapo ndo kimbembe...

Wafelistiin hawakuuza eneo Kwa WAISRAEL,Bali Kwa Ibrahim..na Ibrahim Alinunua eneo baadhi tuh kama shamba afanye makazi na sehemu ya kuzika kizazi chake,even though yakobo aliacha vizazi vyake ila haiondoi ukweli kwamba wafelistiin ndio walikuwa wazawa wa eneo Hilo,na hapo ndipo watu waliposhauri wazo la two states solution, besides hao Jews walikuwa wapi before 1948?
 
Mahmoud Abbas ndiye freedom fighter wa Wapalestina

Hamas Wana majukumu zaidi ya hayo Ndio hata Rafiki zake utawaona akina Taleban, Al.qaida, ISIS, Al shabab nk nk

HAMAS Hana Affiliations na Alqaeda,IsIs au Alshabab,soma vitu uelewe...

Hamas ana affiliation na Hizbollah,Iran,Turkey,Qatar...

Kama vile IDF inavyochukua Silaha kutoka USA,UE na kadhalika...

HAMAS tambua kuwa ana uwakilishi hata wa viti bungeni na taasisi inayotambulika kitaifa na kimataifa.
 
Ndipo ushangae wamekimbia uarabuni wanaenda kuandamana Ulaya [emoji3][emoji3][emoji3] wangepigwa kama Kenya .

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Inaonekana duniani bila Ulaya pasingekuwa sehemu salama kabisa kuishi, kwanini popote pale duniani vita ikitokea tu Wakimbizi wote hukimbilia Ulaya?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Unalinganisha vitu tofauti kabisa.

Akina Mkwawa walikuwa wanapambana na Wajerumani waliotoka kwao huko Ujerumani na kuja kuikalia Tanganyika, wakichuma rasilimali na kuzipeleka kwao Ujerumani.

Swali:
Waisrael walitoka kwenye nchi yao ipi wakaenda kuikalia Palestina?

Hivi ikitokea wazazi wako walikuwa wanamiliki ardhi Tarime, ambako ni asili yenu. Lakini katika kutafuta maisha, wakaondoka wakaenda kuishi Dar kwa miaka mingi. Baadaye kiongozi mmoja mhuni akaanza kuwaua wahamiaji wote waliopo Dar, kisha wewe na ndugu zako ili kuokoa maisha yenu mkaamua kurudi kwenu Tarime, mkafika mkaona watu wamegawana maeneo yenu na kuyafanya yao, nanyi kwa hekima mkaamua kuongea nao ili kuyapata maeneo yenu ya asili, na maeneo mengine mpaka mkaamua kuwalipa pesa hao wavamizi. Mkakaa kwa amani. Wakatokea majirani shetani wakaanza kuwachochea hao watu mliowakuta kwenye maeneo yenu, eti wawafukuze ninyi kwa maana hamstahili kuwepo Duniani. Na baadaye majirani hao wakaunda vikundi vya kigaidi ili viawaue ninyi, utafanya nini?

Nimejaribu kuweka kwa lugha nyepesi ili uweze kuelewa.
Sikio la kufa hilo, utapata njaa bure maana kuna vipaji vya ubishi hata penye ukweli = UPUMBAVU

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
HAMAS Hana Affiliations na Alqaeda,IsIs au Alshabab,soma vitu uelewe...

Hamas ana affiliation na Hizbollah,Iran,Turkey,Qatar...

Kama vile IDF inavyochukua Silaha kutoka USA,UE na kadhalika...

HAMAS tambua kuwa ana uwakilishi hata wa viti bungeni na taasisi inayotambulika kitaifa na kimataifa.
Mbona Taleban wanaongoza serikali kabisa!

Ndio hao hao
 
Nchi yao walipewa na nani? Tutakaa kutatua mgogoro huu kwa mlengo wa dini tunatoa lawama kwa mlengo wa dini basi mvamizi atajulikana, ili dunia pawe mahali salama pa kuishi basi watu na wakae pamoja washaurine na wamalize tofauti zao kwa amani. Yaani wewe unau watu maelfu wako wakishambuliwa na kuuliwa inalalamika! Muuaji naye upanga uumpitie hakuna namna

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wacha uongo. Kabla ya 1948 hakukuwa na nchi inaitwa Israel. Soma historia vizuri uielewe. Eneo lote lile liliitwa Palestine.
Na hiyo baada ya kupewa hifadhi akaanza kuchukua maenwo kwa nguvu akisaidiwa na Waingereza na marekani kijeshi.
Mbona kwenye biblia hakuna neno Palestine Kuna neno Israel

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom