barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Jux bado anapewa hela ya kununua boxer (chupi) na wazazi wake, bado sana huyo...View attachment 1834572
Juma jux kwenye ukurasa wake wa instagram katupia picha ya mjengo wake pamoja na ndinga zake ikiwemo Mercedes Benz mpya na bmw.
Kwa mtizamo wangu naona jux ana maisha mazuri kuliko msanii yeyote bongo akiwemo mondi na kiba. Mondi anatumia toyota na kiba anatumia x5 la kizamani.
View attachment 1834573
Unavyotetea...Hv anakupaga nn??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyo Jux hamjaomba hati angekuwa Diamond mngeomba aweke hati ya nyumba na kadi ya gari.TCRA wenyewe wanakwambia Diamond Wasafi Media ana miliki 45%,watu bado wanabisha. Kanunua Cadilac ya kwanza mkasema ya Yusuph Bakheresa kamuuzia, wakati Yusuph ana miliki garage ya kupimp magari, kanunua Cadilac ya pili mnaponda Uber Marekani.
Sometimes inabidi tufanye bother Sadala hana kitu ili kuwarizisha haters ila ukweli mioyoni mnaujua.
Nimemtetea wapi, ina maana na TCRA nao wame mtetea.Unavyotetea...Hv anakupaga nn??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kiba pia benz anayo.View attachment 1834572
Juma jux kwenye ukurasa wake wa instagram katupia picha ya mjengo wake pamoja na ndinga zake ikiwemo Mercedes Benz mpya na bmw.
Kwa mtizamo wangu naona jux ana maisha mazuri kuliko msanii yeyote bongo akiwemo mondi na kiba. Mondi anatumia toyota na kiba anatumia x5 la kizamani.
View attachment 1834573
Mbona una hama hama mada, Mimi sijaongelea habari za media wala Tcra, rejea coment zangu, mi nipo kwenye mandinga na mijumba na kutoa misaada kwa watu jamaa ni muongo sana kwenye nyanja hizoKwa hiyo ndio sababu yako, kwa hiyo hata PNC au K2ga akisema ana miliki Maybach utaamini sababu hawajawahi kusema uongo?
Haya basi tufanye Sadala muongo (ngoja nikurizishe) vipi na TCRA kusema Sadala ana miliki 45% Wasafi Media nayo ni uongo...........?
View attachment 1834634
HahaaDomo mwongo Sana [emoji23][emoji23][emoji23]haaminiki ndomana hata baba yke hajulikani[emoji23]
Sasa hayo mandinga na magari si ananunua kupitia faida ya hisa zake ,bado show, deals mauzo huko digital platforms.Mbona una hama hama mada, Mimi sijaongelea habari za media wala Tcra, rejea coment zangu, mi nipo kwenye mandinga na mijumba na kutoa misaada kwa watu jamaa ni muongo sana kwenye nyanja hizo
Ila sikushangai uwa unatafuta kakicha kakujificha, Swala la umiliki wa wasafi linajulikana na hizo mada tulishamalizana nazo sa sijui kwanin wew umelikomalia hilo
Aisee kuna kipindi kuna jamaa humu alisema alikuwa anaileta car wash ilikuwa inagonga chini kelele za kila aina π€£Jamaa ana 7 series yake imechoka kishenzi.
Maisha ya kwny mitandao ni shida Sana.
Hapo wame ichapa 360β° nini πππJamaa ana 7 series yake imechoka kishenzi.
Maisha ya kwny mitandao ni shida Sana.
Hata mie nimemshangaa, kumbe haya mambo ya Uteam kuna watu wapo deep sana eeh,Mkuu umeongea kwa hisia kali saaaana π π
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hata mie nimemshangaa, kumbe haya mambo ya Uteam kuna watu wapo deep sana eeh,
Mtu anaumia kwa ajili ya mtu ambaye hata hamjui maskini.
Not neccessarily.. Wakati mwingine upenzi hupelekea mtu kuomba au kutokuomba ushahidi... Na wakati mwingine imani yako ndo au kukosa kwako taarifa hukufanya uone kila kitu ni uongoUkiona unaombwa uthibitisho wa kitu jua watu hawakuamini yani unaishi kiuongo uongo ndo maana unakua uhaminiki,.
Jux hajaombwa hivyo kwa sababu anaishi maisha yake harisi si ya uongo uongo
Tulieni dawa iwaingie
Au ngadaHawa watoto wanafanya biasharaa gani kumiliki hizi mali??
isijekuwa wanapakatwa hebu warumi njoo utie neno hapaππ
Kweli aiseeAu ngada
Mbona hii nyumba kapanga yeye na Kamikaze πView attachment 1834572
Juma jux kwenye ukurasa wake wa instagram katupia picha ya mjengo wake pamoja na ndinga zake ikiwemo Mercedes Benz mpya na bmw.
Kwa mtizamo wangu naona jux ana maisha mazuri kuliko msanii yeyote bongo akiwemo mondi na kiba. Mondi anatumia toyota na kiba anatumia x5 la kizamani.
View attachment 1834573