Kumbe Juma Jux kimaisha kamzidi Diamond Platnumz?

Weka nyumba yako na gari zako hapa[emoji41]
 
Kwa sababu hajawai kuuongopea uma na hana shutuma za uongo uongo naamini kua mali ni zake,.

Ila kwa Sadala ni lazima wakimwengu waombe uthibitisho, yero masai ni muongo muongo sana mzee wa kik
Sawa.
Jux ana mkwanja kumzidi Sadala.
 
Hongera zake endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...

Ila navyofahamu hayo ni mambo ya Huddah...
 
Una miriki mjengo?
 
Mke wa Kusaga ana hisa ngapi pale WCB?

Joseph Kusaga naye vipi hapo WCB?

Juma "Jux" anaishi maisha halisi.
 
Hivi wewe unamjua Diamond au unamsikia kwenye simu ya torch?
Lakini muhimu zaidi, Usijihangaishe kufuatilia maisha ya watu hasa hawa wanaojiita ma celebrate
Wana mambo mengi ya kujibrand wewe unadakia kuwa ni utajiri wa muhusika
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km unaumia iv
 
Ukiona unaombwa uthibitisho wa kitu jua watu hawakuamini yani unaishi kiuongo uongo ndo maana unakua uhaminiki,.

Jux hajaombwa hivyo kwa sababu anaishi maisha yake harisi si ya uongo uongo

Tulieni dawa iwaingie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…