Kumbe Khalfan Bwire na wenzake ndio walikuwa Walinzi wa Tundu Lissu wakati anaingia Tanzania Julai 28, 2020?

Akili za kingono hizi. Nenda sua morogoro wako ex soldier wengi sana.
 
Usichanganye mafaili, Lissu kaja July 27, Walinzi wakakamatwa August 27. Inaonekana hata kesi huifatilii.
Siyo afatilii Mkuu ametimiza takwa la ccm kujua kusoma na kuandika tu. Hayo unayomwambia yanahitaji uwezo wa kufikili siyo kusoma na kuandika
 
Usichanganye mafaili, Lissu kaja July 27, Walinzi wakakamatwa August 27. Inaonekana hata kesi huifatilii.
Siyo afatilii Mkuu ametimiza takwa la ccm kujua kusoma na kuandika tu. Hayo unayomwambia yanahitaji uwezo wa kufikili siyo kusoma na kuandika
 
Nakuona siku hizi umerudi CCM kumbe ndiyo nyinyi mliokuwa CCM mkiiba mali za chama JPM akawanyoosha mkakimbilia upinzani na sasa mmerudi lakini tutaendelea kuwanyoosha tu huku huku CCM hamtarudi kuiba mali za Chama anymore!!
 
Bado uko na Magufuli? Mwaka sasa unakaribia toka afariki wala hakuwahi kusema popote uko nyuma kama Mbowe alikuwa anapanga ugaidi ila yule aliyekuwa BBC alisema live bila ata kupaoasa macho kwann humchukii?
 
Nakuona siku hizi umerudi CCM kumbe ndiyo nyinyi mliokuwa CCM mkiiba mali za chama JPM akawanyoosha mkakimbilia upinzani na sasa mmerudi lakini tutaendelea kuwanyoosha tu huku huku CCM hamtarudi kuiba mali za Chama anymore!!
Mwizi wa Mali ya umma ametajwa kwenye ripoti ya CAG 2016-18 ni Magufuli mwenyewe kwa kuto account Tsh 2.4 Trillion. Njoo na hoja nyingine
 
amina
 
Barikiwa sana Mtumishi wa Allah
 
We jamaa kha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…