Kumbe Khalfan Bwire na wenzake ndio walikuwa Walinzi wa Tundu Lissu wakati anaingia Tanzania Julai 28, 2020?

Kumbe Khalfan Bwire na wenzake ndio walikuwa Walinzi wa Tundu Lissu wakati anaingia Tanzania Julai 28, 2020?

Namkumbuka lisu alikuja nchini kipindi Cha msiba wa BWM sas Hawa walikamatqa lini hi kesi imekaaje kaaje
 
Unajua kuwa Urio alikutana tarehe kati tarehe 10 mpaka 15 july ndio akamwambia issue ya kumtafutia hao makomandoo,? Unajua mpaka tarehe 24july bado makomandoo walikuwa hawajaenda kuonana na na mbowe, rudi kwenye massage za akina Mbowe na urio utaona, ni lini walitumiwa nauli.
Mbowe amewatumia laki tano ya nauli tarehe 20 July. Hiyo ni according to maelezo ya Urio.
Na Urio anasema hizo pesa ilikuwa ni refund ya nauli zao kutoka huko mikoani.

Kwahiyo kuna siku za kutosha hao watu kwenda Moshi na Kisha kurudi na Mbowe Dar kumpokea Lissu
 
Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote

Mbona hushangai file kufunguliwa mwezi mmoja kabla ya watuhumiwa kukamatwa. Mbona inaajili ma ex soldiers kwenye chama chao, kwanini iwe nongwa kwa CHADEMA?. Halafu kuhusu kukamatwa Kuna Mambo mengi yatajitokeza baadae usiwe na wasiwasi.
 
Unajua kuwa Urio alikutana tarehe kati tarehe 10 mpaka 15 july ndio akamwambia issue ya kumtafutia hao makomandoo,? Unajua mpaka tarehe 24july bado makomandoo walikuwa hawajaenda kuonana na na mbowe, rudi kwenye massage za akina Mbowe na urio utaona, ni lini walitumiwa nauli.
Unajua kuwa kuna hacking? Then you can change everything, halafu uipokuwa makini unaji -contradict kama ulivyyona mahakamani
 
Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote

Halafu acha uongo, hakuna nchi inaruhusu kupiga risasi watuhumiwa mpaka pale ambapo Kuna retaliation.
 
Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?

Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..

Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
Kwani wavamizi dhidi ya lisu ni mamlaka? ulinzi wa lissu hauhusiani na mamlaka.
Ni ulinzi dhidi ya wahuni wasiojulikana.
 
Mbona hakukimbia kabla ya uchaguzi?
Baada ya kumaliza uchaguzi hakua na kazi ya kufanya tanzania hivyo akaona aondoke tu.

Hakua na kazi?. Makamu Mwenyekiti wa chama Hana kazi. Magufuri alionesha udhaifu kwa kutumia nguvu kwenye uchaguzi mkuu na kulazimisha CCM ishinde majimbo yote Kama kwenye uchaguzi wa wenyeviti wa Kijiji. Kwa vitendo vilivyooneshwa kwenye uchaguzi mkuu, ilikuwa risky Lissu kuendelea kubaki Tanzania.

Kumbuka kwa Mara ya kwanza tulifanya uchaguzi huku mitandao ya internet imezimwa, kitu ambacho tulikuwa tunakishuhudia Uganda kwa museveni kikatokea kwetu. Wewe unadhani mpaka watu wanazima mitandao kwa ajili yako, sembuse uhai wako. Kwa kipindi wangeweza kumuua.
 
Sasa km alirudi tarehe 27 july, mpaka tarehe 24july hawa makomandoo walikuwa bado hawajafika kwa Mbowe, rudi kwenye massage za Mbowe na urio utaona lini Urio aliwatafuta na walipotumiwa nauli,
Mbona unabisha tu? Sasa Mbowe alituma laki tano ya nini tarehe 20 July?

Unasema tarehe 24 walikuwa hawajakutana na Mbowe. Sasa tarehe 24 mpaka 27 ji siku tatu. Mtu anatoka Morogoro mpaka Moshi na kurudi Dar.

Kumbukumbu yangu kama Iko sahihi Urio Ali kutana na hao Makomandoo tarehe 20 July kule Morogoro. Akawapa nauli zao ili waende Moshi kuonana na Mbowe.

Tarehe 27 Mbowe alikuwepo AirPort Dar. Mbona hakuna utata kabisa hapo?
 
Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote

Usichanganye mafaili, Lissu kaja July 27, Walinzi wakakamatwa August 27. Inaonekana hata kesi huifatilii.
 
Aisee kumbe usione vyaelea vimeundwa. Hii inatupa picha gani nyie wataalam

Mgombea wa Chama kikuu cha Upinzani Mh Tundu Lissu alikuwa akilindwa na hawa ma x commandos yaani Khalfani Bwire, Adamu Kusekwa, Mohamed Ligwenya na wenzake.

Baada ya matishio makubwa ya usalama dhidi ya viongozi hawa wa upinzani Kamati kuu ya chama ikiongozwa na Kurugenzi ya intelijensia na Usalama ndani ya chama waliamua kutafuta ulinzi mkali na usio na doa kuhakikisha usalama wa Viongozi wao.

Hayo yamebainika wakati wa mahojiano mahakamani kutoka kwa Msomi Wakili Peter Kibatala Jana katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Imeelezwa kuwa baada ya walinzi hawa kukamatwa na kutiwa ndani hali ya usalama wa Tundu Lissu ilikuwa hati hati na ndio sababu ya Tundu Lissu kukimbilia Ulaya tena kuokoa uhai wake.

Wenzangu nyie mnaelewa sasa kinachoendelea huko?


Halafu utasikia misikule inamsifia dikteta muuaji Magufuli kuwa ni shujaa!
 
Ndio maana namchukia sana Magufuli, huyu jamaa ntamuombea dua mbaya maisha yangu yote, alikuwa na roho mbaya sana uyu mshenzi.

Mitoto inazaliwa kisha inanukishwa ugolo halafu gafla tu linaukwaa uraisi, wananchi wake hawawez kuwa salama katu.

JPM moto wa milele umuangazie na kumchoma rest of his life uko alipo
Ameeeen.
 
Ohooo kwa hiyo sasa nimepata jibu la hii kesi. Kumbe ni ya kukomoa makomandoo na Mbowe. Kumbe walifanya KAZI nzuri Sana kulinda viongozi wa wapinzani. Ukweli walijitoa mhanga Sana. Mungu awatetee kwa hakika.
Mungu wetu wa Mbinguni ni Mungu anayesikia na kutenda. Sifa na utukufu viwe kwake
 
Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote
Punguza ushamba, toka ujielimishe.
 
Mbona unabisha tu? Sasa Mbowe alituma laki tano ya nini tarehe 20 July?

Unasema tarehe 24 walikuwa hawajakutana na Mbowe. Sasa tarehe 24 mpaka 27 ji siku tatu. Mtu anatoka Morogoro mpaka Moshi na kurudi Dar.

Kumbukumbu yangu kama Iko sahihi Urio Ali kutana na hao Makomandoo tarehe 20 July kule Morogoro. Akawapa nauli zao ili waende Moshi kuonana na Mbowe.

Tarehe 27 Mbowe alikuwepo AirPort Dar. Mbona hakuna utata kabisa hapo?
Yaani wewe ni kizibo Kweli hata km ni house girl, kwamba unakuja Siku hiyo na nakupa kazi ya kunilinda, usifanye lila mtu Taira km wewe bwana, hata Mbowe mwenyewe anakushangaa unatetea na mtu mwenye uelewa mdogo km wewe, yaani unajua maana ya Ulinzi wewe, kwanza yule anayekulinda lazima kuhakikisha trust person, sio shushu, Ni Msiri, unafaham profile yake kwa undani, yuko katika maeneo gani, aungalii tuu nimeletewa komandoo wa Jeshi,
 
Back
Top Bottom