Kumbe Khalfan Bwire na wenzake ndio walikuwa Walinzi wa Tundu Lissu wakati anaingia Tanzania Julai 28, 2020?

Kumbe Khalfan Bwire na wenzake ndio walikuwa Walinzi wa Tundu Lissu wakati anaingia Tanzania Julai 28, 2020?

Huko Chato wanasema mpaka màgufool anapatwa na umauti alikuwa akipokea mafunzo ya ukomandoo
 
Ndio maana namchukia sana Magufuli, huyu jamaa ntamuombea dua mbaya maisha yangu yote, alikuwa na roho mbaya sana uyu mshenzi.

Mitoto inazaliwa kisha inanukishwa ugolo halafu gafla tu linaukwaa uraisi, wananchi wake hawawez kuwa salama katu.

JPM moto wa milele umuangazie na kumchoma rest of his life uko alipo
Too late JPM yupo pazuri peponi
 
Sasa subiri wakati mashahidi wa utetezi watakapoanza kuhojiwa, hii nchi inaenda kuvuliwa nguo ya mwisho.
Watafuta kesi au kuzuia waandishi wa habari kabla haijafika huko, kesi la ovyo kila mtu anajua fake, Siro na wenzake wamekuwa kama chawa tuu wamekubali kutumika kipumbavu
 
Aisee kumbe usione vyaelea vimeundwa. Hii inatupa picha gani nyie wataalam

Mgombea wa Chama kikuu cha Upinzani Mh Tundu Lissu alikuwa akilindwa na hawa ma x commandos yaani Khalfani Bwire, Adamu Kusekwa, Mohamed Ligwenya na wenzake.

Baada ya matishio makubwa ya usalama dhidi ya viongozi hawa wa upinzani Kamati kuu ya chama ikiongozwa na Kurugenzi ya intelijensia na Usalama ndani ya chama waliamua kutafuta ulinzi mkali na usio na doa kuhakikisha usalama wa Viongozi wao.

Hayo yamebainika wakati wa mahojiano mahakamani kutoka kwa Msomi Wakili Peter Kibatala Jana katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Imeelezwa kuwa baada ya walinzi hawa kukamatwa na kutiwa ndani hali ya usalama wa Tundu Lissu ilikuwa hati hati na ndio sababu ya Tundu Lissu kukimbilia Ulaya tena kuokoa uhai wake.

Wenzangu nyie mnaelewa sasa kinachoendelea huko?


Hawa walitakiwa kuuwawa kimyakimya
 
Huko gerezani wawekewe sumu iwaondoe taratibu
 
Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?

Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..

Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
Makomandoo kuacha kumlinda kunaweza kuwa na indirect impact.

Kulituma signal kwa Lissu kwamba hata kama alikua anahisi yupo kwenye hatari kwa some percentages, amedhibitishiwa hilo pasipo na shaka.

Wewe ukiwa na bastola kwaajili ya kujilinda katika eneo la hatari, ghafla ukanyang'anywa ile bastola, usipochukua measure yoyote.....utakua na tatizo
 
Yaani wewe ni kizibo Kweli hata km ni house girl, kwamba unakuja Siku hiyo na nakupa kazi ya kunilinda, usifanye lila mtu Taira km wewe bwana, hata Mbowe mwenyewe anakushangaa unatetea na mtu mwenye uelewa mdogo km wewe, yaani unajua maana ya Ulinzi wewe, kwanza yule anayekulinda lazima kuhakikisha trust person, sio shushu, Ni Msiri, unafaham profile yake kwa undani, yuko katika maeneo gani, aungalii tuu nimeletewa komandoo wa Jeshi,
Kumbe tatizo lako ni ubishi?

Vetting ya hao watu alifanya Urio. Mbowe alimwamini Urio.

Watu wangapi wanaagiza wafanyakazi kupitia ndugu/marafiki zao?

Umeacha kuongelea utata kwenye tarehe sasa umehamia kwingine? Nyie wauaji na mwenzenu Mwendazake ni hovyoooo
 
Walikamatwa August 5, pale RAU Madukani.
Ni sahihi Lakini walienda Moshi kabla ya Lissu kurejea TZ.

Na inavyoelekea kulingana na wakili wa Mbowe, walienda na Mbowe Dar kumpokea Lissu tarehe 27 July.
 
Aisee kumbe usione vyaelea vimeundwa. Hii inatupa picha gani nyie wataalam

Mgombea wa Chama kikuu cha Upinzani Mh Tundu Lissu alikuwa akilindwa na hawa ma x commandos yaani Khalfani Bwire, Adamu Kusekwa, Mohamed Ligwenya na wenzake.

Baada ya matishio makubwa ya usalama dhidi ya viongozi hawa wa upinzani Kamati kuu ya chama ikiongozwa na Kurugenzi ya intelijensia na Usalama ndani ya chama waliamua kutafuta ulinzi mkali na usio na doa kuhakikisha usalama wa Viongozi wao.

Hayo yamebainika wakati wa mahojiano mahakamani kutoka kwa Msomi Wakili Peter Kibatala Jana katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Imeelezwa kuwa baada ya walinzi hawa kukamatwa na kutiwa ndani hali ya usalama wa Tundu Lissu ilikuwa hati hati na ndio sababu ya Tundu Lissu kukimbilia Ulaya tena kuokoa uhai wake.

Wenzangu nyie mnaelewa sasa kinachoendelea huko?


Sasa hapo walikuwa walinzi wa Lissu au Mbowe maana wote wapo
 
Ni sahihi Lakini walienda Moshi kabla ya Lissu kurejea TZ.

Na inavyoelekea kulingana na wakili wa Mbowe, walienda na Mbowe Dar kumpokea Lissu tarehe 27 July.

Hizo zibaki kuwa ni hisia/dhana zako tu, kwa sasa ibaki hivyo.
 
Ndio maana namchukia sana Magufuli, huyu jamaa ntamuombea dua mbaya maisha yangu yote, alikuwa na roho mbaya sana uyu mshenzi.

Mitoto inazaliwa kisha inanukishwa ugolo halafu gafla tu linaukwaa uraisi, wananchi wake hawawez kuwa salama katu.

JPM moto wa milele umuangazie na kumchoma rest of his life uko alipo
Mpumbavu sana wewe, you're mother's rotten cunt!!

Kwani wewe hautakufa? Hautaoza wewe?acha upambavu mbwa wewe!!

Endelea kumuombea dua mbaya mavi wewe ila ujue na wewe utakufa na kuoza tu!!

Shameless !!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe tatizo lako ni ubishi?

Vetting ya hao watu alifanya Urio. Mbowe alimwamini Urio.

Watu wangapi wanaagiza wafanyakazi kupitia ndugu/marafiki zao?

Umeacha kuongelea utata kwenye tarehe sasa umehamia kwingine? Nyie wauaji na mwenzenu Mwendazake ni hovyoooo
Ila nenda rudi, ukwel unaujua, Mbowe mwenyewe anajua ukweli, Sabaya na Mbowe wanajuana wenyewe, ninachooamin mm mpaka nitakapoenda kaburini mbowe, urio mwenyewe, makomandoo walikuwa na arufu ya uchafu walikuwa wanataka kufanya, sasa issue ikabumbuluka,, kwa hiyo kila Mmoja anapambana kujinasua kwa njia anayoona inafaa,
 
Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?

Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..

Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
Mambo yanapofanywa na wenye mamlaka gizani hayo sio mamlaka bali ni wahuni wenye madaraka.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?

Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..

Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
mamlaka inawinda kumuua mtu bila ushahidi wala kukamatwa na ndohapo wanaposhindwa kwakuwakuna walinzi wakali.
Kwan unafikiri pia wapinzani hawawez kumuua rais? Kinachowazuia ni kuficha ushahdi
 
Back
Top Bottom