Kumbe Khalfan Bwire na wenzake ndio walikuwa Walinzi wa Tundu Lissu wakati anaingia Tanzania Julai 28, 2020?

Kumbe Khalfan Bwire na wenzake ndio walikuwa Walinzi wa Tundu Lissu wakati anaingia Tanzania Julai 28, 2020?

Mbowe amewatumia laki tano ya nauli tarehe 20 July. Hiyo ni according to maelezo ya Urio.
Na Urio anasema hizo pesa ilikuwa ni refund ya nauli zao kutoka huko mikoani.

Kwahiyo kuna siku za kutosha hao watu kwenda Moshi na Kisha kurudi na Mbowe Dar kumpokea Lissu
Yaani wewe hizo msg ya laki 5, umekuja kuisikia kwa urio wakati tayari tigo na Airtel walishasema kuwa 20july, kwani refund ya ela si kutoka huko walikuwa kuja morogoro cause ndio centre kulingana na urio, ukuona mpaka tarehe 24July urio alisema ndio alikutana nao na kiwafanyia voting, usiongee km una facts boss, Kwa mawazo yako walienda moshi lini? Walienda dar lini? Walifanya mazungumzo lini na Mbowe uso uso? Waliaminika lini siku ya kwanza tuu kumwona unampa mtu kazi ya kukulinda? Then walirudi lin moshi? 5aug Walinzi walikuwa Rau na lissu wakimlinda?
 
Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?

Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..

Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
Unadhani watu wote ndani ya malamka wakiwemo hao makomandoo wala roho ya kishenzi?.Au unadhani aliyemwambia Tundu Lisu akimbiliea ubalozini ni raia wa kawaida?.Nchi imeharibiwa sana.Mwenyezi Mungu atusaidie.
 
Mimi siongei tuu kwa sababu ninaashume mambo km wewe, unaangalia na facts, je hicho ulichosema ni sawa kulingana na facts zilizopo? Sasa wewe unaniambia tarehe 27july alienda kumpokea lissu, wakati ukiangalia tarehe 24July urio alisema alikuwa nao anawafanyia vetting, kwa akili yako walitoka kwa urio moja kwa moja wakaenda dar kumlinda Lissue, kwa akili yako tarehe 5 august walikuwa Kazini Rau wakimlinda Lissue huku walipenda starehe, kwa akili yako mtu hata ujui historia yake vizuri, hujui misimamo yake kisiasa, hujui km ni shushu au laa! Ila siku hiyo hiyo unaletewa na unampa kazi ya kukulinda na kuhifadhi siri zako, muwe mnafikiria hata kidogo jaman siyo kwenda tuu kwa mihemko
Siko upande wowote ila bongo hii yote yanawezekana mkuu
 
Kweli yule maiti mwendazake aliamua kuua upinzani tanzania
 
Unadhani watu wote ndani ya malamka wakiwemo hao makomandoo wala roho ya kishenzi?.Au unadhani aliyemwambia Tundu Lisu akimbiliea ubalozini ni raia wa kawaida?.Nchi imeharibiwa sana.Mwenyezi Mungu atusaidie.
Mungu atusaidie sana ile siku hatma ya Lissu ingekuwa mbaya.
 
Yaani wewe hizo msg ya laki 5, umekuja kuisikia kwa urio wakati tayari tigo na Airtel walishasema kuwa 20july, kwani refund ya ela si kutoka huko walikuwa kuja morogoro cause ndio centre kulingana na urio, ukuona mpaka tarehe 24July urio alisema ndio alikutana nao na kiwafanyia voting, usiongee km una facts boss, Kwa mawazo yako walienda moshi lini? Walienda dar lini? Walifanya mazungumzo lini na Mbowe uso uso? Waliaminika lini siku ya kwanza tuu kumwona unampa mtu kazi ya kukulinda? Then walirudi lin moshi? 5aug Walinzi walikuwa Rau na lissu wakimlinda?
Duh! Anyway subiri wakati wa utetezi na ukweli wote utaujua maana Inaelekea unamwamini sana huyo Urio.
 
Ndio maana namchukia sana Magufuli, huyu jamaa ntamuombea dua mbaya maisha yangu yote, alikuwa na roho mbaya sana uyu mshenzi.

Mitoto inazaliwa kisha inanukishwa ugolo halafu gafla tu linaukwaa uraisi, wananchi wake hawawez kuwa salama katu.

JPM moto wa milele umuangazie na kumchoma rest of his life uko alipo
Magufuli ni tafsiri halisi ya DIKTETA na historia itamuandika kwenye ukurasa mmoja na akina Hitler, Mussolini, Iddi Amini, Mobutu, Bokassa, Kagàme, Museveni etc.

Vitendo alivyotenda vya kudhibiti bunge, kuipangia Mahakama maamuzi, kukandamiza uhuru wa maoni ndiyo vinamfanya awe DIKTETA
 
Uongo mwingine bwana, hawa jamaa walikamatwa hata kabla kampeni hazijaanza, sasa inakuwa aje unasema kuwa ndio walikuwa wanamlinda lissu, Alafu Uwe ukawa unachukua Ex soldier ukawa unawatumia hata km ni Amerika watakuhis vibaya sana kwanza especially Wale waliofukuzwa jeshini maana itaonekana unatengeneza kikundi cha uasi. Nchi nyingine hata kesi hamna ni inapigwa risas pamoja na ex soldier wako woote
Ila we jamaa huna exposure kabisa, pole sana. Ongeza elimu kidogo ya uraia
 
Alichokisahau tu mfu yule upinzani ni kama mti ulio kando kando ya mto ukiukata wakati wa kiangazi utachipuka tena
Ndio maana akawahishwa mbele za haki. Ingefika mahali hata sisi tungeuwawa asee
 
Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?

Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..

Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
Ishara ya Kunyanganywa ulinzi ni mbaya sana, hata kama hauna mpango wa kuondoka kesho yakupasa kuchukua tahadhali uondoke leo, ukizingatia TL alishakoswa koswa kuuawa
 
Ila we jamaa huna exposure kabisa, pole sana. Ongeza elimu kidogo ya uraia
Wewe na mm nan ana exposure sasa. Exposure yako iko wapi au ni ya kutuletea assumptions bila facts km huu uzi ulivyo
 
Magufuli ni tafsiri halisi ya DIKTETA na historia itamuandika kwenye ukurasa mmoja na akina Hitler, Mussolini, Iddi Amini, Mobutu, Bokassa, Kagàme, Museveni etc.

Vitendo alivyotenda vya kudhibiti bunge, kuipangia Mahakama maamuzi, kukandamiza uhuru wa maoni ndiyo vinamfanya awe DIKTETA
Pitia hata hiyo video clip youtube ya Aljazeera ime m-describe hivyo.
 
Ishara ya Kunyanganywa ulinzi ni mbaya sana, hata kama hauna mpango wa kuondoka kesho yakupasa kuchukua tahadhali uondoke leo, ukizingatia TL alishakoswa koswa kuuawa
Yes it was High Risk Alert. It required him rapid response. Angechelewa kidogo tu hatujui kingetokea nini
 
Tufikirie tu kidogo nje ya siasa, hivi mamlaka zikikutaka ndani ya ardhi ya Tanzania kweli zinaweza kukushindwa hata kama unalindwa na Commandoz?

Kumbuka hizo mamlaka ndio zinamiliki maelfu ya makomando na silaha zote..

Si kweli eti TL aliamua kukimbia baada ya hao makomando kuacha kumlinda.
Nyie ndio hua mnawaona wanadamu wenzenu miungu hivi. Unadhani hata mtu akiwa na mamlaka anaamua tu kujifanyia mambo? Unafikiri yule mshindani wa Lisu alipenda Lisu kufanya kampeni? Ni hakua na namna tu ya kumzuia maana na yeye angeshughulikiwa na mamlaka. Mamlaka ni chain sio show ya mtu mmoja.
 
Mbona unaangaika sana..binadamu ni binadamu na moyo wa mtu ni kichaka.mtu akiamua kukufanyia uhuni ata kama umelala naye kitanda kimoja miaka 100 siku akiamua kubadilika anabadilika tu haijalishi umeishije naye au umemfundisha miaka mingapi.Mambo mengine yaache jinsi yalivyo maana maisha hayana kanuni.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo sasa km ndio hivyo precaution lazima. Hata ukiangalia pamoja na kwamba urio alikuwa rafiki yake Mbowe mda mrefu, tahadhari zilikuwa zinachukuliwa sana na Mbowe ndio maana hata wakati wanaenda kuonana urio alisema Kuna watu walikuwa wanamwangalia kabla hajamfikia Mbowe sehemu aliko. Kwa maana hiyo kumbe hata Urio alikuwa aamini 100%, sembuse hao makomandoo wake
 
Back
Top Bottom