Kumbe kipaumbele ni kwenda kwa PK na Msafara wa Mabasi 800 na siyo Kujipanga Kumfunga Mwarabu?

Kumbe kipaumbele ni kwenda kwa PK na Msafara wa Mabasi 800 na siyo Kujipanga Kumfunga Mwarabu?

Ndio ulichokuwa unakitaka mkiambiwa mtulie hamtaki majibu ndo hayo na bado unaombwa kama una maswali mengine ulete[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maswali sina na pia nimekoma maana mimi kutukana siwezi[emoji23]
 
Maswali sina na pia nimekoma maana mimi kutukana siwezi[emoji23]
Kuna Watu normally We don't entertain Nonsense na 24/7 huwa tayari tunakuwa tumeshayaandaa majibu tukuka ya Wanafiki, Wakurupukaji na Wapumbavu hapa JamiiForums.

Huwa nampokea Mtu vile ajavyo Ok?
 
Taratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.

Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
Sudan hakuna muarabu pale, warabu wako misri, moroco kidogo algeria
 
Taratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.

Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
JamiiForums1287949853.jpg
 
Kuna vitu vya msingi nahitaji kujua kutoka kwako,

1.Umri wako sahihi

2.Elimu yako.

3.Kazi yako.

Hivi vitu vitatu hutoa taswira ya mtu alivyo.ujobless, utimamu na busara

Maandishi/uandishi wako usiozingatia staha ,wenye majivuno na overconfidence,siyo bure lazima umeme wako haujatimia.
Huyu hapa
FB_IMG_16944434495742694.jpg
 
Mgonjwa wa Akili mwenye Utajiri wa Followers 166 ( Great Thinkers ) hapa JamiiForums huku Wewe ukiwa huna hata Mmoja tu na Mshindi was Tuzo Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums kwa Msimu wa 2022 / 2023?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Kuwa na followers wengi tena wenye akili ndogo kama zako unalipwa tshs ngapi?
 
Nia ya Yanga ni kumtoa sio kumfunga,kama mfanyavyo nyinyi Kolo FC.Kolo FC mmewafunga Wydad,mewafunga Al Ahly ila hamkuwatoa.

So malengo yetu na nyinyi Kolo FC ni tofauti, Yanga malengo ni kumtoa mwarabu.
Aahaaaa,nimekuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom