Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 6,383
- 9,337
wanaenda safisha macho ... kutoa tongo tongo eeeHio ndio tofauti ya timu kubwa na ndogo. Wanawaza mademu, SImba wanawaza kushinda mechi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanaenda safisha macho ... kutoa tongo tongo eeeHio ndio tofauti ya timu kubwa na ndogo. Wanawaza mademu, SImba wanawaza kushinda mechi
Cc: Jack DanielNdio ulichokuwa unakitaka mkiambiwa mtulie hamtaki majibu ndo hayo na bado unaombwa kama una maswali mengine ulete🤣🤣🤣🤣🤣
Huna Akili. Siku zingine uwe na Adabu.Basi samahani mkuu yaishe.
Maswali sina na pia nimekoma maana mimi kutukana siwezi[emoji23]Ndio ulichokuwa unakitaka mkiambiwa mtulie hamtaki majibu ndo hayo na bado unaombwa kama una maswali mengine ulete[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
NimekuelewaHuna Akili. Siku zingine uwe na Adabu.
Kuna Watu normally We don't entertain Nonsense na 24/7 huwa tayari tunakuwa tumeshayaandaa majibu tukuka ya Wanafiki, Wakurupukaji na Wapumbavu hapa JamiiForums.Maswali sina na pia nimekoma maana mimi kutukana siwezi[emoji23]
Tena unielewe Kweli Kweli sawa?Nimekuelewa
Nakazia hapo kwenye FALA [emoji16]Pure talent
Game changer
Fala[emoji3][emoji3]
Sudan hakuna muarabu pale, warabu wako misri, moroco kidogo algeriaTaratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
POPOMA huyoHalafu ukiitwa Kubwa Jinga, aka Bumunda! eti unakasirika! Kiumbe wa ajabu kabisa wewe.
Nauli ya zambia sh ngapi ndugu?Niliwashauri hapa laki mbili nauli tu ya kwenda Zambia ni wizi wa mchana hamkunielewa, haya tueleze mabasi ya Simba kwenda Zambia mpaka sasa hali ikoje?
Unaweza ukajaza na ukafungwa, na mwenye nusu ya washangiliaji akashinda
Kwahyo hayo magari mnayoshindana nayo ya kazi gani? Am sure wasudan hawana hata washangiliaji.. watu wako busy huko kwao na yanaoendelea kwny nchi yao..Unaweza ukajaza na ukafungwa, na mwenye nusu ya washangiliaji akashinda
Taratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
Huyu hapaKuna vitu vya msingi nahitaji kujua kutoka kwako,
1.Umri wako sahihi
2.Elimu yako.
3.Kazi yako.
Hivi vitu vitatu hutoa taswira ya mtu alivyo.ujobless, utimamu na busara
Maandishi/uandishi wako usiozingatia staha ,wenye majivuno na overconfidence,siyo bure lazima umeme wako haujatimia.
Kuwa na followers wengi tena wenye akili ndogo kama zako unalipwa tshs ngapi?Mgonjwa wa Akili mwenye Utajiri wa Followers 166 ( Great Thinkers ) hapa JamiiForums huku Wewe ukiwa huna hata Mmoja tu na Mshindi was Tuzo Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums kwa Msimu wa 2022 / 2023?
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Unamshabikia huyo mpuuzi?Ndio ulichokuwa unakitaka mkiambiwa mtulie hamtaki majibu ndo hayo na bado unaombwa kama una maswali mengine ulete[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We kiazi itakufa kwa wivuTaratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
Aahaaaa,nimekuelewa mkuuNia ya Yanga ni kumtoa sio kumfunga,kama mfanyavyo nyinyi Kolo FC.Kolo FC mmewafunga Wydad,mewafunga Al Ahly ila hamkuwatoa.
So malengo yetu na nyinyi Kolo FC ni tofauti, Yanga malengo ni kumtoa mwarabu.