TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Msalimie maza ako mwambie baba yako wiki ijayo nakuja,ajiandaeKama alivyo / alivyokuwa Babu yako Mzaa Baba yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msalimie maza ako mwambie baba yako wiki ijayo nakuja,ajiandaeKama alivyo / alivyokuwa Babu yako Mzaa Baba yako.
Nia ya Yanga ni kumtoa sio kumfunga,kama mfanyavyo nyinyi Kolo FC.Kolo FC mmewafunga Wydad,mewafunga Al Ahly ila hamkuwatoa.
So malengo yetu na nyinyi Kolo FC ni tofauti, Yanga malengo ni kumtoa mwarabu.
Tuache na yanga yetu tumeipenda wenyewe aise usituharibie furaha yetu ijayo nanda kashauriane na makolo wenzioTaratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
Taratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
Siyo Fala 2 pia ni Bua Bua iki kijamaaPure talent
Game changer
Fala[emoji3][emoji3]
Na kweli mlimfunga USM tena kwao na kikombe mkachukua!Ukiwa muongo hakikisha una kumbukumbu nzuri.Mwiko nyuma.Nia ya Yanga ni kumtoa sio kumfunga,kama mfanyavyo nyinyi Kolo FC.Kolo FC mmewafunga Wydad,mewafunga Al Ahly ila hamkuwatoa.
So malengo yetu na nyinyi Kolo FC ni tofauti, Yanga malengo ni kumtoa mwarabu.
Sasa ww lini uliwahi kufikia fainali ya CAF Confederation Cup?Nimeingia makundi msimu uliopita kwa kumfunga mwarabu kwenye ardhi yake.Na kweli mlimfunga USM tena kwao na kikombe mkachukua!Ukiwa muongo hakikisha una kumbukumbu nzuri.Mwiko nyuma.
Makundi ya kombe gani?Losers Cup.Simba ni timu ya kwanza na ya pekee mpaka sasa kuingia nusu fainali ya Champions League CAF.Simba waliwatoa mabingwa wa Afrika tena kwao Zamalek wacha hizi timu mbuzi.Sasa ww lini uliwahi kufikia fainali ya CAF Confederation Cup?Nimeingia makundi msimu uliopita kwa kumfunga mwarabu kwenye ardhi yake.
Miaka yote unaishia robo.
Lini mbona unapayuka, ulimtoa ulimfunga kwake?Makundi ya kombe gani?Losers Cup.Simba ni timu ya kwanza na ya pekee mpaka sasa kuingia nusu fainali ya Champions League CAF.Simba waliwatoa mabingwa wa Afrika tena kwao Zamalek wacha hizi timu mbuzi.
Ndio maana hata bingwa wa Losers Cup hayupo kwenye Africa League inayojumuisha timu 8.
Sasa wenye mashindano yao wenyewe CAF hawa kufahamu.Kama lugha inapamda basi utaielewa hii post iliyo postiwa kwenye page ya twitter ya CAF. Zingatia neno first ever unaweza kufanya hata refer kwenye dictionary ukapata maana kamili. Ila kwa ufupi ww hujawahi kugusa hata nusu fainali ya michuano yoyote ya CAF ,kwa mujibu wa database ya CAF ww hujawahi kuingia fainali.Wewe ni mtoto usiyejua hata historia ya mpira wa Tanzania.Simba walimtoa Hearts of Oak ya Ghana mwaka 1974 mechi ya kwanza Simba alishinda goli 2 kwa moja.Wafungaji Adamu Sabu na Abdala Kibadeni.Mechi ya marudiano timu hizo zikatoka sare bila kufungana.
Kwenye nusu fainali Simba ikakutana na Mehala Al Kubra ya Misri.Mechi ya kwanza Simba akashinda kwa goli 1 ililofungwa na Saad Ali.Mechi ya marudiano Mehalla akashinda kwa goli 1.Simba akatolewa kwa penalti.
Historia haifutiki upende usipende.Na kama huijui basi umeanza kupenda mpira mwaka 2015.
Nieleweshwe nini? Kwa mujibu ya hiyo twitter "kilo fc ukilikuwa unaitafuta rekodi ya kufika nusu fainali kwa mara ya kwanza, ambayo hukuwa kufikia ".Na kweli kiingereza kinakupa tabu.Kwenye hiyo tweet umeelewa nini?Ukishindwa kuelewa omba ueleweshwe tafsiri ya hiyo tweet.
B/STaratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
Ngoja ueleweshwe kwani kiingereza kinakupa tabu.Mwandishi wa tweet anakusudia tokea Total Energies waanze ku sponsor mashindano ya CAF Champions League ndio maana haikuandikwa a first ever CAF Champions League semifinals.
TotalEnergies walianza ku sponsor mashindano ya CAF mwaka 2016.
Kwa ufahamu wako yalikuwa yanaitwa nini hayo mashindano kabla?Ndio madhara ya kukurupuka kwa uelewa mdogo wa kiingereza. Mazao ya shule za UPE.
Ni kweli [emoji736][emoji736][emoji736]Kwa kutumia common sense tu utagundua huyu jamaa hana kazi inawezekana ni mama wa nyumbani tu
Kuwa Unadinywa / Unawekwa na Masela mitaani?Ni kweli [emoji736][emoji736][emoji736]
malengo ya kwenda makundi tayari yashapangwa,kinachoendelea ni mikakati ya kila game tutayokutana mbele...Taratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
Cha katiMbona hushangai Wazazi wako na Basha wako Wananishabikia tu Kutwa hapa Jamvini?