LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
HakunagaHivi kuna mtu mwenye akili timamu amemfollow huyu jamaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakunagaHivi kuna mtu mwenye akili timamu amemfollow huyu jamaa?
Wewe uliekuja kukoment kwangu na yeye nani mpuuzi zaidiUnamshabikia huyo mpuuzi?
Bila shaka utakuwa weweWewe uliekuja kukoment kwangu na yeye nani mpuuzi zaidi
Simba hakuweka kipaombele Hilo suala la mashabiki ndo maana wakaweka mabasi mawili,walipoona yamejaa basi inatoshaNiliwashauri hapa laki mbili nauli tu ya kwenda Zambia ni wizi wa mchana hamkunielewa, haya tueleze mabasi ya Simba kwenda Zambia mpaka sasa hali ikoje?
unaweza kuota utakavyo rafikiTaratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
Anayekukaza Kutwa Yeye analipwa Shilingi ngapi?Kuwa na followers wengi tena wenye akili ndogo kama zako unalipwa tshs ngapi?
Mama na Baba yako.Hivi kuna mtu mwenye akili timamu amemfollow huyu jamaa?
Hebu tutafsirie kwa Kiswahili ina maana gani ili tujue kama Kweli unajua Kiingereza ambacho nina uhakika wa 100% kuwa hukijui.Eti game changer
Mbona hushangai Wazazi wako na Basha wako Wananishabikia tu Kutwa hapa Jamvini?Unamshabikia huyo mpuuzi?
Huwezi Kunifolo kwakuwa hujui Kiingereza.Hakunaga
Anzisha Uzi wa kiingereza uni tag tuone nani anajua nani hajui.Hebu tutafsirie kwa Kiswahili ina maana gani ili tujue kama Kweli unajua Kiingereza ambacho nina uhakika wa 100% kuwa hukijui.
Kwa kutumia common sense tu utagundua huyu jamaa hana kazi inawezekana ni mama wa nyumbani tuKuna vitu vya msingi nahitaji kujua kutoka kwako,
1.Umri wako sahihi
2.Elimu yako.
3.Kazi yako.
Hivi vitu vitatu hutoa taswira ya mtu alivyo.ujobless, utimamu na busara
Maandishi/uandishi wako usiozingatia staha ,wenye majivuno na overconfidence,siyo bure lazima umeme wako haujatimia.
Kwa kiingilioa cha afu tatu?Uwanja wa Benjamin mkapa tuu mnashindwa kujaza itakua kujaza hayo mabasi 800...
Eee imajiniKwa kiingilioa cha afu tatu?
Ili Umkodi Mtu anayejua Kiingereza ambacho hukijui na awe anajibizana na Wordsmith Mimi GENTAMYCINE?Anzisha Uzi wa kiingereza uni tag tuone nani anajua nani hajui.
Kwa kifupi wewe ni GASHOMama na Baba yako.
Nikiongozwa na Babaako...!!Kwa kifupi wewe ni GASHO
Baba ako pia ni GASHONikiongozwa na Babaako...!!
Kama alivyo / alivyokuwa Babu yako Mzaa Baba yako.Baba ako pia ni GASHO