Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Asikuchoshe...Mtangazaji amesema nini hapo?Kwa sababu ubishi wetu ulikuwa Simba kuingia nusu fainali ya CAF Champions League mwaka 1974.Kanusha hili.Lete michuano ya CAF Champions League ya nwaka 1974 ndio ilikuwa mada.Wacha kuhamisha magoli.Bado U UPE haujakutoka.