witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na wenzio mnunue bima za kuteguka kiuno wakati wa kugegedana.!Sisi ambao hatuna magari huu uzi hautuhusu kabisa
😂 😂 😂Wewe na wenzio mnunue bima za kuteguka kiuno wakati wa kugegedana.!
Kwahiyo tubandike karatasi lile la A4 au? Mi huniandikii hiyo faini, tutaenda polisiMkuu mimi nlikata mtandaoni, ipo sheria inasema unatakiwa kubandika stika.
Kwani bima ni kwa ajili ya traffic? Au mi sielewi maana ya insurance?Mimi gari yangu sijalipia bima na daily huwa natembelea hapo mjini dar unawaogopa traffic?
Sheria iko listed kwenye machine, unakataajeSasa makampuni yamebadili utaratibu kwann yeye alazimishe kutumia kanuni za zamani za kubandika stika na stika hazipo....
Ungemuuliza wakuu wako wa kazi hawajakwambia kuhusu utaratibu mpya au umeamua kuwa tapeli kwa kutumia vazi la uaskari....??!
Wewe na askari wako hampo updated, kila kitu cha gari siku hizi kina digital copy, hata yeye askari akiamua kukagua bima ya gari lako , anahitaki namba tu kujua validity ya bima , ile ya kubandika kwenye kioo imepitwa na wakati hata askari wenyewe wanajuaWana JF
Leo nlisimamishwa na traffic, akakagua kioo na kukuta sina stika ya BIMA, alivyoniuliza nikamwambia BIMA nshakataa mtandaoni, na kwenye system ya TIRA MIMS inaonyesha gari tayari nina BIMA.
Ila kilichonishangaza zaidi ni kuwa huyu jamaa aliniandikia faini, kosa langu ni KUTOKUBANDIKA STIKA YA BIMA kwa kioo cha gari. Kwa kweli hili limenishangza sana kwamba sasa tuna uwezo wa kukata bima kwa simu, na kupata bima yako instantly .! Ila sheria za traffic bado zinatubana kwamba ni lazima ubandike stika ya bima kwenye kioo. !
Sijajua ni nani mwenye jukumu la kubadilisha hii sheria ila ni moja ya sheria ya kijinga sana kuendelea kuwepo, maana kunakua hakuna maana ya vifaa vya traffic kuunganishwa moja kwa moja na mfumo wa TIRA kama bado sheria inataka nibandike stika
Waziri husika tunaomba uliangalie hili.
Kwani soft copy ina tatizo gani?Unatakiwa uprint, na uwe copy yake ndani ya gari kama kadi ya gari.
Utapelekwa polisi na faini utalipa .Kwahiyo tubandike karatasi lile la A4 au? Mi huniandikii hiyo faini, tutaenda polisi
Ni sheria kubandika stika, kuwa na copy bila kubandika kwenye kioo ni kosa kisheriaUnatakiwa uprint, na uwe copy yake ndani ya gari kama kadi ya gari.
Wewe na askari wako hampo updated, kila kitu vha gari siku hizi kina digital copy, hata yeye askari akiamua kukagua bima ya gari lako , anahitaki namba tu kujua validity ya bima , ile ya kubandika kwenye kioo imepitwa na wakati hata askari wenyewe wanajua
Kuna sheria zinabadilika automaticaly zamani kweli ilikuwa lazima akague sticker , na watu walikuwa wana foji sana hizi sticker , siku hizi stiker haina maana na haisadii chochote zaidi ya kuweka uchafu pale kwenye kioo,Mkuu askari alikagua BIMA kwa machine na kukuta gari kweli ilikua na bima
Tatizo ni kutokuibandika stika kwenye kioo, ni KOSA kisheria na lipo katika moja ya faini za magari kwenye zile machine walizonazo Traffic .!
Sheria haijabadilika, Askari akiamua kukuandikia atakuandikia na utalipa.Kuna sheria zinabadilika automaticaly zamani kweli ilikuwa lazima akague sticker , na watu walikuwa wana foji sana hizi sticker , siku hizi stiker haina maana na haisadii chochote zaidi ya kuweka uchafu pale kwenye kioo,
Vitu vipo online
Mbona Bina wenyewe ndo wanatueleza utaratibu umebadilika?Sheria haijabadilika, Askari akiamua kukuandikia atakuandikia na utalipa.
Msilotoshe watu, Sheria bado ipo palepale.
Kinachopaswa kufanywa ni kubadili hiyo sheria
Utaratibu haufuti Sheria, Bali Sheria ndio hufuta utaratibu.Mbona Bina wenyewe ndo wanatueleza utaratibu umebadilika?
Na stika hatupewi kwa kweli