Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesema askari na mtoa mada hawapo updated , sijasema kwamba sheria hiyo haipo. Kuna vitu vinakufa automatically kwa sababu ya technology, ni swala la kutumia tu common sense.Sheria haijabadilika, Askari akiamua kukuandikia atakuandikia na utalipa.
Msilotoshe watu, Sheria bado ipo palepale.
Kinachopaswa kufanywa ni kubadili hiyo sheria
MkuuUtaratibu haufuti Sheria, Bali Sheria ndio hufuta utaratibu.
Sheria ndio zinaongoza nchi
Trafiki kwa hali ya sasa ilitakiwa recruitment yao at least wachukuliwe watu wenye elimu kiwango cha kuridhisha Wanasumbua sana .trafic kakupiga chief. kama ameangalia kwenye sistm ikaonekana imeshakatiwa kakupiga. mimi nina ofisi ya uwakala ya bima. nenda peleka malalamiko yako ngaz ya juu. huyo trafik atalipishwa.
Sheria haibadiliki automatic mkuu. Sheria inafanyiwa mabadilikoKuna sheria zinabadilika automaticaly zamani kweli ilikuwa lazima akague sticker , na watu walikuwa wana foji sana hizi sticker , siku hizi stiker haina maana na haisadii chochote zaidi ya kuweka uchafu pale kwenye kioo,
Vitu vipo online
Sheria haujuiSiku hizi stika za kubandika kwenye kioo za Bima hazitolewi manake waliona mastika Mengi ni feki.
Wewe na huyo traffic wote mtakuwa vilaza
Insurance siku hizi inaangaliwa kidigitali
Mkuu askari aliverify uhai wa BIMA kupitia machine na kukuta kweli BIMA ni halali, Sheria aliyotumia yeye kunipiga fine ni kuwa sijabandika stika kioo cha mbele upande wa kushoto.Nimesema askari na mtoa mada hawapo updated , sijasema kwamba sheria hiyo haipo. Kuna vitu vinakufa automatically kwa sababu ya technology, ni swala la kutumia tu common sense.
Ni kama vile vocha za kukwangua, haijakatazwa na ipo, lakini kwa wanaojielewa, hakuna sababu ya kununua vocha ilhali kuna uwezekano wa kununua muda wa maongezi na vifurushi kupitia m pesa and the likes
Kada ya Askari kwa wengi ni option ya failures, na ndio sababu tunasumbuana barabarani kwa vitu ambavyo hata havina maana.
Hapo zamani kabla ya mambo ya technology, njia pekee ya kujua uhai wa bima ilikuwa ni kupitia hiyo sticker, na ndio iliwekwa hiyo sheria, siku hizi hata wewe mwenyewe unaweza kulifanya hilo kupitia simu ya mkononi.
Bandika A4 hivyo hivyo , kwa mujibu wa sheria🤣🤸♂️🐒Mkuu, kivipi. Siku hizi ukienda kukata Bima haupewi kile cha kubandika ila unapewa tu katarasi kubwa ya A4 inayoonesha umelipia Bima. Sasa utabandikaje?
Wana JF
Leo nlisimamishwa na traffic, akakagua kioo na kukuta sina stika ya BIMA, alivyoniuliza nikamwambia BIMA nshakataa mtandaoni, na kwenye system ya TIRA MIMS inaonyesha gari tayari nina BIMA.
Ila kilichonishangaza zaidi ni kuwa huyu jamaa aliniandikia faini, kosa langu ni KUTOKUBANDIKA STIKA YA BIMA kwa kioo cha gari. Kwa kweli hili limenishangza sana kwamba sasa tuna uwezo wa kukata bima kwa simu, na kupata bima yako instantly .! Ila sheria za traffic bado zinatubana kwamba ni lazima ubandike stika ya bima kwenye kioo. !
Sijajua ni nani mwenye jukumu la kubadilisha hii sheria ila ni moja ya sheria ya kijinga sana kuendelea kuwepo, maana kunakua hakuna maana ya vifaa vya traffic kuunganishwa moja kwa moja na mfumo wa TIRA kama bado sheria inataka nibandike stika
Waziri husika tunaomba uliangalie hili.
Kiherehere chako tu cha kufungua uzi [emoji23][emoji23]Sisi ambao hatuna magari huu uzi hautuhusu kabisa
Wana JF
Leo nlisimamishwa na traffic, akakagua kioo na kukuta sina stika ya BIMA, alivyoniuliza nikamwambia BIMA nshakataa mtandaoni, na kwenye system ya TIRA MIMS inaonyesha gari tayari nina BIMA.
Ila kilichonishangaza zaidi ni kuwa huyu jamaa aliniandikia faini, kosa langu ni KUTOKUBANDIKA STIKA YA BIMA kwa kioo cha gari. Kwa kweli hili limenishangza sana kwamba sasa tuna uwezo wa kukata bima kwa simu, na kupata bima yako instantly .! Ila sheria za traffic bado zinatubana kwamba ni lazima ubandike stika ya bima kwenye kioo. !
Sijajua ni nani mwenye jukumu la kubadilisha hii sheria ila ni moja ya sheria ya kijinga sana kuendelea kuwepo, maana kunakua hakuna maana ya vifaa vya traffic kuunganishwa moja kwa moja na mfumo wa TIRA kama bado sheria inataka nibandike stika
Waziri husika tunaomba uliangalie hili.
Mkuu Maxence Melo na Mods,tunaomba mtutafutie watu wa TIRA na Jeshi la Polisi - Usalama Barabarani ili waje kutolea ufafanuzi swala hili pamoja na kutoa elimu ya usalama barabarani na sheria zake (kwa jeshi la polisi).
Madereva wengi Tanzania hatujui sheria wala alama za usalama barabarani kwani wengi wetu hatujaenda shule za udereva,hivyo ni vyema elimu hii ikatolewa humu jukwaani na penye mijumuiko ya watu ikiwezekana.
Sasa si tuende shule kwanza ama?[emoji1787]
Mkuu upo sahihi,lakini tatizo ni kuwa wengine hawana muda huo,wanaletewa leseni nyumbani. Suluhisho rahisi ni kutoa elimu hii ya usalama barabarani nnje ya mfumo rasmi wa vyuo vya udereva.Sasa si tuende shule kwanza ama?[emoji1787]