Hili suala linahitaji elimu sana maana kwa utaratibu huo watu watapigwa sana hela zao bila kujua , mimi nijuavyo ni kwamba hakuna tena stika sikuhizi ndiomaana hata vodacom wanatuma kwa wateja wao SMS kama hii "Je wajua? Hauhitaji kubandika stika ya bima kwenye chombo cha usafiri.Tumia VodaBima upate stika kwa SMS inayotambulika na mamlaka zote. Kununua piga *150*00# Huduma za kifedha-VodaBima" sasa sijui which is which , wanaojua waingilie kati suala hili.
Walikuona mlugaluga wakaamua kukupiga. Bima zote sasa hivi hazina stika.Wana JF,
Leo nlisimamishwa na traffic, akakagua kioo na kukuta sina stika ya BIMA, alivyoniuliza nikamwambia BIMA nshakataa mtandaoni, na kwenye system ya TIRA MIMS inaonyesha gari tayari nina BIMA.
Ila kilichonishangaza zaidi ni kuwa huyu jamaa aliniandikia faini, kosa langu ni KUTOKUBANDIKA STIKA YA BIMA kwa kioo cha gari. Kwa kweli hili limenishangza sana kwamba sasa tuna uwezo wa kukata bima kwa simu, na kupata bima yako instantly .! Ila sheria za traffic bado zinatubana kwamba ni lazima ubandike stika ya bima kwenye kioo!
Sijajua ni nani mwenye jukumu la kubadilisha hii sheria ila ni moja ya sheria ya kijinga sana kuendelea kuwepo, maana kunakuwa hakuna maana ya vifaa vya traffic kuunganishwa moja kwa moja na mfumo wa TIRA kama bado sheria inataka nibandike stika.
Waziri husika tunaomba uliangalie hili.
Sheria ipo mkuu.! Usiongee usilolijuahakuna hyo sheria kwamba ni lazima ubandike bro! ametumia maamuzi yake ya kila siku ..😱
TIRA na Polisi vitu viwili tofauti, usijitoe ufahamu kama hujui uko nchi ganiIna maana wewe hukuona tangazo la TIRA kuhusu kusitishwa utoaji wa stika za bima? Au unataka kutetea Uzenge wa uyo askari?
Usikubali kuchafua gari yako na stika zao kikubwa umekata basi then tembea na DataWana JF,
Leo nlisimamishwa na traffic, akakagua kioo na kukuta sina stika ya BIMA, alivyoniuliza nikamwambia BIMA nshakataa mtandaoni, na kwenye system ya TIRA MIMS inaonyesha gari tayari nina BIMA.
Ila kilichonishangaza zaidi ni kuwa huyu jamaa aliniandikia faini, kosa langu ni KUTOKUBANDIKA STIKA YA BIMA kwa kioo cha gari. Kwa kweli hili limenishangza sana kwamba sasa tuna uwezo wa kukata bima kwa simu, na kupata bima yako instantly .! Ila sheria za traffic bado zinatubana kwamba ni lazima ubandike stika ya bima kwenye kioo!
Sijajua ni nani mwenye jukumu la kubadilisha hii sheria ila ni moja ya sheria ya kijinga sana kuendelea kuwepo, maana kunakuwa hakuna maana ya vifaa vya traffic kuunganishwa moja kwa moja na mfumo wa TIRA kama bado sheria inataka nibandike stika.
Waziri husika tunaomba uliangalie hili.
Mkuu soma uzi tenaHukubandika kwakua ulikua unajua inakupasa unandike au hukubandika kwakua ulipewa utaratibu mpya?
These days hatuna ujanja kwa kuwa wana zile mashine zao.Na wewe ukakubali kuandikiwa? Unaandikiwa na umeshakata bima?! Umeshindwa kumpigia hata mtoa huduma wako wa Bima ili amuelekeze huyo askari kilaza?
Nishapigwa fine mkuuUsikubali kuchafua gari yako na stika zao kikubwa umekata basi then tembea na Data
Zako mkuu
Hahahaaaa acha utani mkuu,mi naamini sheriaNishapigwa fine mkuu
Kwa taarifa yako police wanasimamia sheria na kanuni zilizotungwa na mamlaka nyingine. Usipende kukariri kila kituTIRA na Polisi vitu viwili tofauti, usijitoe ufahamu kama hujui uko nchi gani
Ameshindwa kumuelezea. Mimi kwa miezi miwili nimesafiri na gari halina karatasi yoyote kwenye kioo. Na navuka mikoa zaidi ya Mitatu.Mkuu, kivipi. Siku hizi ukienda kukata Bima haupewi kile cha kubandika ila unapewa tu katarasi kubwa ya A4 inayoonesha umelipia Bima. Sasa utabandikaje?
Atembee na policy cover note Wala haihitaji stika maana kila kitu kipo kwenye mtandao.Ameshindwa kumuelezea. Mimi kwa miezi miwili nimesafiri na gari halina karatasi yoyote kwenye kioo. Na navuka mikoa zaidi ya Mitatu.
Hapo umepigwa,Wana JF,
Leo nlisimamishwa na traffic, akakagua kioo na kukuta sina stika ya BIMA, alivyoniuliza nikamwambia BIMA nshakataa mtandaoni, na kwenye system ya TIRA MIMS inaonyesha gari tayari nina BIMA.
Ila kilichonishangaza zaidi ni kuwa huyu jamaa aliniandikia faini, kosa langu ni KUTOKUBANDIKA STIKA YA BIMA kwa kioo cha gari. Kwa kweli hili limenishangza sana kwamba sasa tuna uwezo wa kukata bima kwa simu, na kupata bima yako instantly .! Ila sheria za traffic bado zinatubana kwamba ni lazima ubandike stika ya bima kwenye kioo!
Sijajua ni nani mwenye jukumu la kubadilisha hii sheria ila ni moja ya sheria ya kijinga sana kuendelea kuwepo, maana kunakuwa hakuna maana ya vifaa vya traffic kuunganishwa moja kwa moja na mfumo wa TIRA kama bado sheria inataka nibandike stika.
Waziri husika tunaomba uliangalie hili.
Kwani Bima ni kwa ajili ya Trafiki?....ukigonga Mtu au mali ya Mtu atafidiwa na nani?.Mimi gari yangu sijalipia bima na daily huwa natembelea hapo mjini Dar, unawaogopa traffic?