GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Mkuu mbona umekomalia kuwa kuna sheria yq kubandika stika ya bima? Sheria wanayoitumia trafiki ni ile ya kushindwa kuweka alama za utambulisho ndo wanakuchanganyia na bima hapo. Hakuna sheria inalazimisha kuweka stika ya bimaIssue sio kutokua na BIMA, issue ni sheria inayokutaka lazima ubandike stika ya BIMA hata kama unayo ndani ya gari traffic ana haki ya kukuandikia faini
Na kwa sasa stika hazitumiki tena. Huyo alikua na yake tu
Sema ndo hivyo trafiki akitaka kukuanfikia kuna sheria nyingi zimekaa kiuchochoro anapitisha makosa mengine kwenye vifungu vya jumla jumla
Ukweli hyo sheria ipo, inataka sticker ibandikwe mahala ambapo panaonekana. Lakini nadhani traffic nae ni kilaza regardless of sheria, kuna mabadiliko ambapo sasa hivi sticker hazitolewi ni kama zimekuwa digitalized kwa hyo inaonekana online.
Kutokua na sticker sio kosa lako ila la serikal kutobadilsha hyo sheria. Mtata kama mimi hiyo fine atalipa hiyo traffic mwenyewe.