Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
Okay nkirudi kwenye mada kumwaga nje, nyeto .. uzazi wa mpango siyo dhambi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ethics and morals..Kujiamria nako siyo poa,ndo maana sikuhizi watu hujiamria kuua watoto wa watu eti kisa wamewatolea mahari
Dah! Wakati tupo watu wa kukupiga picha kabisa 😒😒Kwa kweli....mi nilijiself night....nikaamka asubuhi neno likanikumbusha🤦
Okay zile za safe days huwa zaenda wapi...Ulizomwaga umemwaga na hiyo Moja sasa
Nasema kweli sisemi, uongo.. 😒😒 nikupige picha vizuri kabisaWee,sema kweli
Yaan ndio umejua leo baada ya kupiga selfie mda mrefu, roho iradhi lakini mwili ni dhaifu yaan roho inakukataka usijichue ila mwili unataka ujichue mwisho wako unapiga PUNYETO unaiua ROHO sio MWILI, MWILI utaishi ila ROHO ishakufa
Biblia inazungumzia maisha ya ROHO sio MWILI
Umenielewa?
Sasa umeamini kwa nini mzabzab nasemaga kila leo hapa kuwa kumgegeda demu na condom ni ufalaaaNi kitabu cha Mwanzo 38:6-10 neno linasema hivi, "Yuda akamwoza mke Eric, mzaliwa wake wa kwanza, na jina lake huyo mke ni Tamari. Naye Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mbaya machoni pa Bwana; na Bwana akamwua. Yuda akamwambia Onani, mzaliwa wake wa pili, uingie kwa mke wa nduguyo ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao."
"Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao. Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa BBwana, basi akamwua yeye naye."
😳Kumwagia nje hizo mbegu kumbe ni chukizo mbele ya Mwenyezi Mungu wajameni?🤦
Eeeh 🙄🙄Asante Kwa offer...
🤣🤣🤣nimeisubiri comment Yako balaaHakika,tusivae hata condom maana hapo ni Sawa na kumwaga nje
Asubuhi njema,kazi njema wapendwa katika bwana
So upo sahihi Kabisa🤣Sasa umeamini kwa nini mzabzab nasemaga kila leo hapa kuwa kumgegeda demu na condom ni ufalaaa