Kumbe kuna muda huyu Mchambuzi wa Michezo mwana Yanga SC 'lia lia' Privaldinho wa Clouds FM huwa anakuwa na akili Kubwa hivi? Heko Kwake!

Kumbe kuna muda huyu Mchambuzi wa Michezo mwana Yanga SC 'lia lia' Privaldinho wa Clouds FM huwa anakuwa na akili Kubwa hivi? Heko Kwake!

Nimeona kuna wanajiita wachambuzi au wanamichezo wanapotosha makusudi ama hawajui haya mambo.
Wanadai azam media wakiipa pesa Simba kupitia mkataba wa haki za matangazo basi mudi atakata 49% kinachobaki ndo kinaenda Simba SC Tanzania. Huo ni uongo na upotoshaji.
Hesabu za kupata gawio zinakokotoa mapato yote yatakayopatikana kwa mwaka husika kisha toa gharama zote za biashara na utawala, na halafu kodi ya serikali kulipwa so baada ya hapo ndo unapata net profit/loss. Na hiyo net profit/loss kama ipo inagawanwa sasa kwa izo percent. Kwa nini mnajisahaulisha kuwa hata ikipatikana hasara nayo inabidi igawanwe.
Je mnayajua matumizi ya Simba? Mishahara, usajili, Kambi, safari, bonus, nk! Mmkumbuke Simba anapanda mwewe mwaka mzima, Azam kwa mwaka kwa yanga katoa 2.4 billion je hiyo inatosha mpaka mo agawiwe!?
Tuwatendee haki wawekezaji wetu na tuwache kuwabagaza tu.

Mo endelea kuijenga Simba ili ifikie sehemu na wewe update faida ya pesa zako.
 
Hoja ya msingi daini hizo hela kwa mkupuo muone km mtazipata, njaa zitawaua level yenu ni kula mihogo, mpaka sasa timu hata ikienda mwanza inapanda allyz alafu mnawaza 41b
 
Nimeona kuna wanajiita wachambuzi au wanamichezo wanapotosha makusudi ama hawajui haya mambo.
Wanadai azam media wakiipa pesa Simba kupitia mkataba wa haki za matangazo basi mudi atakata 49% kinachobaki ndo kinaenda Simba SC Tanzania. Huo ni uongo na upotoshaji.
Hesabu za kupata gawio zinakokotoa mapato yote yatakayopatikana kwa mwaka husika kisha toa gharama zote za biashara na utawala, na halafu kodi ya serikali kulipwa so baada ya hapo ndo unapata net profit/loss. Na hiyo net profit/loss kama ipo inagawanwa sasa kwa izo percent. Kwa nini mnajisahaulisha kuwa hata ikipatikana hasara nayo inabidi igawanwe.
Je mnayajua matumizi ya Simba? Mishahara, usajili, Kambi, safari, bonus, nk! Mmkumbuke Simba anapanda mwewe mwaka mzima, Azam kwa mwaka kwa yanga katoa 2.4 billion je hiyo inatosha mpaka mo agawiwe!?
Tuwatendee haki wawekezaji wetu na tuwache kuwabagaza tu.

Mo endelea kuijenga Simba ili ifikie sehemu na wewe update faida ya pesa zako.
Hapa hawawezi kukuelewa akili za mayai viza zinawaza 41B
 
" TV Sponsorship ni tofauti kidogo na uwekezaji ambayo unaweka 20bil mara moja sio kwa mgawanyiko. Kama watu wanafikiri ni rahisi basi atokee mdhamini atoe hata nusu Tsh 20bn kwa mkupuo. Wadhamini wenyewe wanategemea kupata humo humo ili waweze kulipa tena "

Chanzo: @privaldinho

Haya sasa wana Yanga SC ambao Kutwa mnamdhihaki Mohammed Dewji 'Mo' wa Simba SC kuwa hana Hela hizo B20 za kuweka Simba SC hebu mwambieni basi Bakhressa awape hizo B41 kwa mkupuo au waambieni hao Matajiri wenu mnaowategemea akina Gharib, Rostam na Manji nao waweke hayo 'Mabilioni' yao waliyowaahidi kwa mkupuo ( mara moja ) ili tuone Jeuri yao ya Pesa.

Na uzuri ni kwamba huyu Mchambuzi Privaldinho wa Clouds FM ( CMG ) ni mwana Yanga SC 'Kindakindaki' kabisa ila kwa hapa katika Uchambuzi wake ameonyesha ni jinsi gani huenda akawa na Akili sana kuliko wana Yanga SC wengi Oya Oya ( Wapuuzi ) na wenye Umbwiga ( Ushamba ) mwingi na uwezo mdogo wa Kufikiri.

Na ndiyo maana hata GSM na Injinia Hersi Said wametengeneza Jezi 250,000 Wanauza sana tu, ila wamewaambia Yanga SC kuwa mpaka sasa wametengeneza Jezi 80,000 na Mwenyekiti wenu Mshindo Mbwete Msolla kaamini na wao ( GSM ) wanajitajirisha zaidi.
Gentamycine:

Tusichokijua na tusichopenda au kutaka kusikia masikioni mwetu. Hivi vilabu vikubwa viwili na vyenye historia kubwa Tanzania na A. Mashariki na miongoni mwa debi 5 bora barani Afrika.

Sasa kwenye hili nitakuomba unipe muongozo thamani yake ni kubwa saana kuliko tatizo vinaendeshwa "kijadi" sana kama si kienyeji mkuu.

Na ndiyo chanzo chakupelekea mpira wetu kusuasua.
 
Gentamycine:

Tusichokijua na tusichopenda au kutaka kusikia masikioni mwetu. Hivi vilabu vikubwa viwili na vyenye historia kubwa Tanzania na A. Mashariki na miongoni mwa debi 5 bora barani Afrika.

Sasa kwenye hili nitakuomba unipe muongozo thamani yake ni kubwa saana kuliko tatizo vinaendeshwa "kijadi" sana kama si kienyeji mkuu.

Na ndiyo chanzo chakupelekea mpira wetu kusuasua.
Tafadhali nina Hasira ya Kufungwa na Yanga SC usinipandishe Jazba zaidi kwa Maswali yako nikakuporomoshea Makombora ambayo najua hutoweza Kuyahimili sawa?

Tafadhali nitafute tarehe 25 July 2021 Jioni nikiwa na Furaha ya Kumfunga Yanga SC na Kubeba Kombe la TFF ASFC.
 
Kwahiyo usajili wa kina Chama, Miquisson, Mugalu, Bwalya, Lwanga na mishahara ya Wachezaji, Basi la Wachezaji, Ujenzi wa MO Arena, n.k. Pesa anatoa Babu yako kijijini kwenu Mwanduigembe au?
Kwahiyo kusajili wachezaji ndo tayari amepewa umiliki wa timu, kweli mbumbumbu FC
 
Na yeye MO dewji aache uswahili kwanini asiweke hiyo Bilion 20, tuachane na hizi kelele.
 
Kwahiyo kusajili wachezaji ndo tayari amepewa umiliki wa timu, kweli mbumbumbu FC

Sasa Kutokana na maneno ya Loic Eymael wewe ni Nyani, Kima na Mbwa uliyetukuka utaweza kukifahamu nilichokiandika?

Mimi nimejibu hoja ya aliyesema MO hajawahi kutoa hata Centi Moja Simba, wewe unaniletea habari za Umiliki??
Yaani heri mulipokuwa Vyura mulikuwa waelewa kuliko sasahivi mulivyokuwa Nyani-Kima-Mbwa.
 
Sasa Kutokana na maneno ya Loic Eymael wewe ni Nyani, Kima na Mbwa uliyetukuka utaweza kukifahamu nilichokiandika?

Mimi nimejibu hoja ya aliyesema MO hajawahi kutoa hata Centi Moja Simba, wewe unaniletea habari za Umiliki??
Yaani heri mulipokuwa Vyura mulikuwa waelewa kuliko sasahivi mulivyokuwa Nyani-Kima-Mbwa.
Kuna tofauti kati ya umiliki na ufadhili, anachokifanya mo dewji anafanya kama mfadhili na hafanyi kama mmoja wa wamiliki wa timu, jambo la kwanza inabidi atelekeze ahadi yake ya kudeposit Bilion 20 kama thamani ya klabu yenu mlivyo I tathimini ninyi wenyewe. Jibu hoja, acha mihemko na kuanza kutukana. Unatoka kwenye misingi ya Great thinkers
 
Mwaka huu Yanga SC itazungumziwa sana!~

Moto kila kona, hata shamra shamra za Ubingwa zimekuwa za chini sana.

Wameshangaza zaidi kuona tatizo la mishahara ya klabu zinapoenda kutatuliwa na pesa za kila mwezi...

Walitaka yanga SC apewe zote kwa mkupuo ili wapigaji wa ndani ya vilabu wazimalize mapema.

Umeona wapi pesa za ufadhili zinatoka kwa mkupuo?

Enos Stanley Kroenke alivyonunua hisa za Arsenal aliweka mpunga wote. Cha kushangaza Mo Dewji ananunua hisa kama vile mama ntilie anayeenda kukopa maharagwe kwa Mangi ili aje kumlipa jioni atakapo gunga hesabu mgahawani.
 
Kuna tofauti kati ya umiliki na ufadhili, anachokifanya mo dewji anafanya kama mfadhili na hafanyi kama mmoja wa wamiliki wa timu, jambo la kwanza inabidi atelekeze ahadi yake ya kudeposit Bilion 20 kama thamani ya klabu yenu mlivyo I tathimini ninyi wenyewe. Jibu hoja, acha mihemko na kuanza kutukana. Unatoka kwenye misingi ya Great thinkers
Ni yeye hataki kutoa?
Au watu wanakwamisha?
 
Ni yeye hataki kutoa?
Au watu wanakwamisha?
Kila kitu kipo vizuri, now pale hakuna kipingamizi ila ndo ukimuuliza kwann hajadeposit anaanza kueleza maswala ya kutoa pesa nyingi kwenye uendeshaji, sasa kwann anaanza kuleta uswahili
 
Now hii issue simba hawawezi kuifatilia, ila subiri itokee crisis yeyote pale Msimbazi, watakavyo mfanya huyo mo
 
watu wa aina hiyo wanataka wanacho amini wao ndio uwe mwongozo,haamini Kuna watu wanaweza kufikiri hata zaidi yake.
Bora yako wewe unatumia avatar halisi ya utopolo aka manyani aka ngoda fc,yanga africa wazee wa gongo wazi kandambili fc.
 
20B hewa. Jamaa kawadanganya kuwa atatoa mpunga lakini mpaka leo KIMYAAA.
 
" TV Sponsorship ni tofauti kidogo na uwekezaji ambayo unaweka 20bil mara moja sio kwa mgawanyiko. Kama watu wanafikiri ni rahisi basi atokee mdhamini atoe hata nusu Tsh 20bn kwa mkupuo. Wadhamini wenyewe wanategemea kupata humo humo ili waweze kulipa tena "

Chanzo: @privaldinho

Haya sasa wana Yanga SC ambao Kutwa mnamdhihaki Mohammed Dewji 'Mo' wa Simba SC kuwa hana Hela hizo B20 za kuweka Simba SC hebu mwambieni basi Bakhressa awape hizo B41 kwa mkupuo au waambieni hao Matajiri wenu mnaowategemea akina Gharib, Rostam na Manji nao waweke hayo 'Mabilioni' yao waliyowaahidi kwa mkupuo ( mara moja ) ili tuone Jeuri yao ya Pesa.

Na uzuri ni kwamba huyu Mchambuzi Privaldinho wa Clouds FM ( CMG ) ni mwana Yanga SC 'Kindakindaki' kabisa ila kwa hapa katika Uchambuzi wake ameonyesha ni jinsi gani huenda akawa na Akili sana kuliko wana Yanga SC wengi Oya Oya ( Wapuuzi ) na wenye Umbwiga ( Ushamba ) mwingi na uwezo mdogo wa Kufikiri.

Na ndiyo maana hata GSM na Injinia Hersi Said wametengeneza Jezi 250,000 Wanauza sana tu, ila wamewaambia Yanga SC kuwa mpaka sasa wametengeneza Jezi 80,000 na Mwenyekiti wenu Mshindo Mbwete Msolla kaamini na wao ( GSM ) wanajitajirisha zaidi.
Mkuu huyo dogo priva ni utopolo lialia kweli kweli,
Ila hua anang'ata alaf anapuliza..
 
Ile ban imeishaje jamani
tulikubaliana ukae siku 30 banned!
" TV Sponsorship ni tofauti kidogo na uwekezaji ambayo unaweka 20bil mara moja sio kwa mgawanyiko. Kama watu wanafikiri ni rahisi basi atokee mdhamini atoe hata nusu Tsh 20bn kwa mkupuo. Wadhamini wenyewe wanategemea kupata humo humo ili waweze kulipa tena "

Chanzo: @privaldinho

Haya sasa wana Yanga SC ambao Kutwa mnamdhihaki Mohammed Dewji 'Mo' wa Simba SC kuwa hana Hela hizo B20 za kuweka Simba SC hebu mwambieni basi Bakhressa awape hizo B41 kwa mkupuo au waambieni hao Matajiri wenu mnaowategemea akina Gharib, Rostam na Manji nao waweke hayo 'Mabilioni' yao waliyowaahidi kwa mkupuo ( mara moja ) ili tuone Jeuri yao ya Pesa.

Na uzuri ni kwamba huyu Mchambuzi Privaldinho wa Clouds FM ( CMG ) ni mwana Yanga SC 'Kindakindaki' kabisa ila kwa hapa katika Uchambuzi wake ameonyesha ni jinsi gani huenda akawa na Akili sana kuliko wana Yanga SC wengi Oya Oya ( Wapuuzi ) na wenye Umbwiga ( Ushamba ) mwingi na uwezo mdogo wa Kufikiri.

Na ndiyo maana hata GSM na Injinia Hersi Said wametengeneza Jezi 250,000 Wanauza sana tu, ila wamewaambia Yanga SC kuwa mpaka sasa wametengeneza Jezi 80,000 na Mwenyekiti wenu Mshindo Mbwete Msolla kaamini na wao ( GSM ) wanajitajirisha zaidi.
 
Ile ban imeishaje jamani
tulikubaliana ukae siku 30 banned!
GENTAMYCINE nikipigwa hiyo BAN ndiyo Umasikini wako mkubwa ulionao hadi katika Kope zako za Macho yako hayo makubwa kama Pumbu za Kifaru pamoja na Upumbavu wako wa Kurithishwa ndiyo unapungua au kumalizika rasmi?
 
Back
Top Bottom