kajamaa kadogo JF-Expert Member Joined Nov 2, 2018 Posts 2,707 Reaction score 6,437 Jan 14, 2025 Thread starter #161
C Chasaga JF-Expert Member Joined Sep 13, 2024 Posts 279 Reaction score 275 Jan 14, 2025 #162 kajamaa kadogo said: kwahiyo nyinyi wenye akili ndo mmeoa 🤣🤣🤣🤣 huruma kweli Click to expand... Kweli ujihurumie! Tafakari!! Pengine ni kutokana na matatizo ya familia uliyotokea yakuathiri!
kajamaa kadogo said: kwahiyo nyinyi wenye akili ndo mmeoa 🤣🤣🤣🤣 huruma kweli Click to expand... Kweli ujihurumie! Tafakari!! Pengine ni kutokana na matatizo ya familia uliyotokea yakuathiri!
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 31,913 Reaction score 65,514 Jan 14, 2025 #163 min -me said: Mkuu mimi nilishaoa kipindi cha nyuma tena nikiwa na miaka 19 kwa sasa acha nitulie kwanza niwape wanangu kila ninachoona ni bora kuwafaa. Click to expand... Aisee kama wajomba zangu wanavyo taka niingiza kwenye mtego. Japo wao wali oa wakiwa age Kama yako, ila Mimi nope. Na naendelea kukata miaka😂
min -me said: Mkuu mimi nilishaoa kipindi cha nyuma tena nikiwa na miaka 19 kwa sasa acha nitulie kwanza niwape wanangu kila ninachoona ni bora kuwafaa. Click to expand... Aisee kama wajomba zangu wanavyo taka niingiza kwenye mtego. Japo wao wali oa wakiwa age Kama yako, ila Mimi nope. Na naendelea kukata miaka😂