Kumbe kuoa ni kwa ajili ya wanaume wadhaifu tu!

Mkuu mimi nilishaoa kipindi cha nyuma tena nikiwa na miaka 19 kwa sasa acha nitulie kwanza niwape wanangu kila ninachoona ni bora kuwafaa.
Aisee kama wajomba zangu wanavyo taka niingiza kwenye mtego.

Japo wao wali oa wakiwa age Kama yako, ila Mimi nope.
Na naendelea kukata miaka😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…