Unamwiga babako siyo. Ana mafanikio sawa. Kayapataje?Binafsi najivunia sana baba yangu, mzee wangu ni mwanaume halisi kabisa kwanza hajawahi kuniambia hata siku moja eti ooh mwanangu mbona bado ujaoa never na nahisi atoniambia kwa sababu hata yeye mwenyewe hajawai kuoa
Na kuna utofauti mkubwa sana nikimuona baba na ndugu zake yeye ana mafanikio makubwa kuliko ndugu yake yoyote na kwa point hiyo nikaona kuona ni kwa ajili ya wanaume dhaifu View attachment 3198595
Baba bwabwa na mwanawe unataka kuwa bwabwa. Baba na mwana wote bwabwa. Kuna siku mtamalizana wenyewe.
Kila la heri bwabwas.