Ndiyo ukweli wenyewe, yaani unamtizama mwanaume unajiuliza hivi naishi na mtu au dubwasha gani! Hana msimamo anapelekeshwa na ndugu unajiuliza wewe shule ulienda tafuta nini wakati hawa wadogo zako wakike wanakufanyia haya? Unatamani uchome vyeti vyake ili ijulikane naye ni mbulula!Ukiwa huna akili usioe, imeandikwa ishini nao kwa akili.