kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mc pilipili ndio nan huyo?Mc pili pili na orodha inakuja
sahihi, ndo maana huwezi kuwa mgombea iraisi kama hujaoa maana yake kama umeshindwa kuwa na familia ukaiongoza utawezaje kuiongoza nchi!Japo mimi sijaoa na sitaoa ila kuoa na kumiliki mke na familia sio jambo dogo, ni watu wenye upeo wa juu wa kujua namna ya kuweka hali yoyote katika msawazo / balance , na mara nyingi wanafaa hata kuwa viongozi wanchi.
hapo kuna ubaya gani ( in baba levo sound )Baba yako hajaou kwa hiyo wewe ni mtoto wa zinaa
kitanda hakizai haramuBaba yako hajaou kwa hiyo wewe ni mtoto wa zinaa
nani kakwambia ukiona na unakuwa na sifa ya kuwa raisi someni hata vitabu muwe mnaelewasahihi, ndo maana huwezi kuwa mgombea iraisi kama hujaoa maana yake kama umeshindwa kuwa na familia ukaiongoza utawezaje kuiongoza nchi!
Kama baba hajaoa kwa hiyo hapa tunapata vizazi vya zinaaBinafsi najivunia sana baba yangu, mzee wangu ni mwanaume halisi kabisa kwanza hajawahi kuniambia hata siku moja eti ooh mwanangu mbona bado ujaoa never na nahisi atoniambia kwa sababu hata yeye mwenyewe hajawai kuoa
Na kuna utofauti mkubwa sana nikimuona baba na ndugu zake yeye ana mafanikio makubwa kuliko ndugu yake yoyote na kwa point hiyo nikaona kuona ni kwa ajili ya wanaume dhaifu View attachment 3198595
Kwani zina nini mkuu ?Kama baba hajaoa kwa hiyo hapa tunapata vizazi vya zinaa
Ndoa sio kwa ajili ya malast born expert au watoto namba za mwisho mwisho kama wewe expert, mtu ni mtoto wa tisa huko utajua wapi umuhimu wa ndoaJapo mimi sijaoa na sitaoa ila kuoa na kumiliki mke na familia sio jambo dogo, ni watu wenye upeo wa juu wa kujua namna ya kuweka hali yoyote katika msawazo / balance , na mara nyingi wanafaa hata kuwa viongozi wanchi.
mifano ipo shee hayati Mkapa aliachana na mke wake lakini alipokuwa anagombea uraisi alitakiwa arudiane na mke wake unajua kwanini?nani kakwambia ukiona na unakuwa na sifa ya kuwa raisi someni hata vitabu muwe mnaelewa
Mkuu mimi nilishaoa kipindi cha nyuma tena nikiwa na miaka 19 kwa sasa acha nitulie kwanza niwape wanangu kila ninachoona ni bora kuwafaa.Ndio sio kwa ajili ya malast born expert au watoto namba za mwisho mwisho kama wewe expert, mtu ni mtoto wa tisa huko utajua wapi umuhimu wa ndoa
unamjua bill clinton alingia ikulu bila kuoa mfano pia ipo 😂😂mifano ipo shee hayati Mkapa aliachana na mke wake lakini alipokuwa anagombea uraisi alitakiwa arudiane na mke wake unajua kwanini?
Uliwahi sana ndio maana ukapigwa za uso,mafirst born wenyewe tumeoa kwenye 30's halafu wewe last born umejipendekeza kwenye 19's ulifikir mpira wa miguu uleMkuu mimi nilishaoa kipindi cha nyuma tena nikiwa na miaka 19 kwa sasa acha nitulie kwanza niwape wanangu kila ninachoona ni bora kuwafaa.
Us inampka viongozi ambao wanandoa za ajabu ajabu hilo la kutoa kwa Bill ni kawaida tu.unamjua bill clinton alingia ikulu bila kuoa mfano pia ipo 😂😂
Mkuu kwa jinsi huwa nachukulia mambo sioni kama nimepigwa za uso ,ila kwa mwingine ingekua ni zaidi ya kupigwa😁😁Uliwahi sana ndio maana ukapigwa za uso,mafirst born wenyewe tumeoa kwenye 30's halafu wewe last born umejipendekeza kwenye 19's ulifikir mpira wa miguu ule
Mimi ukiniambia kuwa aliwahi kuoa nataka labda uniambie. jamaa alikwa dhaifu wakati huo full stopUliwahi sana ndio maana ukapigwa za uso,mafirst born wenyewe tumeoa kwenye 30's halafu wewe last born umejipendekeza kwenye 19's ulifikir mpira wa miguu ule
kaleta mfano na mimi nimelata mfano 🤣🤣Us inampka viongozi ambao wanandoa za ajabu ajabu hilo la kutoa kwa Bill ni kawaida tu.
min -me huyu expert umemsikia lakiniMimi ukiniambia kuwa aliwahi kuoa nataka labda uniambie. jamaa alikwa dhaifu wakati huo full stop