Kumbe kuoa ni kwa ajili ya wanaume wadhaifu tu!

Kumbe kuoa ni kwa ajili ya wanaume wadhaifu tu!

Love is for the wiki people
Marriage is for the Fool
 
Wewe ambae ni mtoto wa halali unatushinda nini sisi watoto wa zinaa?
ndo wanavyokalilishwa huko kwenye vibanda vyao vya ibada na wakati anasahau babu wa babu yake kabla mkoloni ajaja alikuwa anawake tu anavuta
 
ndo wanavyokalilishwa huko kwenye vibanda vyao vya ibada na wakati anasahau babu wa babu yake kabla mkoloni ajaja alikuwa anawake tu anavuta
Mkuu unaongelea ndoa au kuoa au vyote kwa pamoja? Kwa sababu japo vyote vina uhusiano ila vinaweza kutengana🤔🤔
 
Picha inashabihiana vipi na hoja yako? Au ndio umetoka Mafunzo Kwa mujibu wa Sheria (JKT) ndio unajiona umeshakuwa Van Damme, kama si Commando John au uko ndani ya The expandables?
 
Picha inashabihiana vipi na hoja yako? Au ndio umetoka Mafunzo Kwa mujibu wa Sheria (JKT) ndio unajiona umeshakuwa Van Damme, kama si Commando John au uko ndani ya The expandables?
picha nimevutiwa nayo tu halafu JKT usii mention humu coz naiogopa serikali kama ukoma🤣
 
Back
Top Bottom