Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ambae ni mtoto wa halali unatushinda nini sisi watoto wa zinaa?Baba yako hajaou kwa hiyo wewe ni mtoto wa zinaa
shida ya wanaume dhaifu ndo hiyo wanapenda kusikia upendo upendo tu🤣Umeongea fact mkuu
ndo wanavyokalilishwa huko kwenye vibanda vyao vya ibada na wakati anasahau babu wa babu yake kabla mkoloni ajaja alikuwa anawake tu anavutaWewe ambae ni mtoto wa halali unatushinda nini sisi watoto wa zinaa?
Umri wako ni mdogo sana, Kuna vitu hatuwezi kukwambia, ila hudhuria vikao.mkuu asilimia 80 ya wanaume walio kwenye ndoa ni dhaifu
dokta john kwa huu uzi kafata nini😂Vp hata magufuli alikuwa dhaifu
Mkuu unaongelea ndoa au kuoa au vyote kwa pamoja? Kwa sababu japo vyote vina uhusiano ila vinaweza kutengana🤔🤔ndo wanavyokalilishwa huko kwenye vibanda vyao vya ibada na wakati anasahau babu wa babu yake kabla mkoloni ajaja alikuwa anawake tu anavuta
View attachment 3198662Yani hapa nakunywa ,huwa pombe inaleta mawazo mazuri 😁 ukiwa mzima unakua na makasiriko hata kwenye malengo ya mtu kuhusu maisha yake😁
nakaziaUsipo oa utaolewa, ni suala la muda tu.
point yangu ilikuwa ni kufuta ujinga kwa member kilazaMkuu unaongelea ndoa au kuoa au vyote kwa pamoja? Kwa sababu japo vyote vina uhusiano ila vinaweza kutengana🤔🤔
Kinyume cha kuoa ni kuoelewa. Usipooa unaolewa. Ipo hivyo.Wanaume walioa wengi sio kilelezo wengi wanalilia tu vijiweni
picha nimevutiwa nayo tu halafu JKT usii mention humu coz naiogopa serikali kama ukoma🤣Picha inashabihiana vipi na hoja yako? Au ndio umetoka Mafunzo Kwa mujibu wa Sheria (JKT) ndio unajiona umeshakuwa Van Damme, kama si Commando John au uko ndani ya The expandables?
ni kweli kabisa kinyume cha kuoa ni kuolewa na nyinyi wanaume dhaifu mnaolewa huko majumbani kwenu full stopKinyume cha kuoa ni kuoelewa. Usipooa unaolewa. Ipo hivyo.
nakazia
dokta john kwa huu uzi kafata nini
Mwanaume akishaoa hawezi kuolewa, wanaoweza kuolewa ni wasio na uwezo wa kuoani kweli kabisa kinyume cha kuoa ni kuolewa na nyinyi wanaume dhaifu mnaolewa huko majumbani kwenu full stop
Haijafunguka mkuu