Kwa
Kwani yeye tuliooa tumemkosea nini hadi atuite dhaifu?Hàya matusi makubwa Hivyo kwa mleta mada ya nini? Kakukosea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yeye tuliooa tumemkosea nini hadi atuite dhaifu?Hàya matusi makubwa Hivyo kwa mleta mada ya nini? Kakukosea nini?
Kama baba Yako ni huyo wa kwenye picha hawezi kukwambia uoe namana wamezoea alama za kuzuia mvua kama ni huyo lakinBinafsi najivunia sana baba yangu, mzee wangu ni mwanaume halisi kabisa kwanza hajawahi kuniambia hata siku moja eti ooh mwanangu mbona bado ujaoa never na nahisi atoniambia kwa sababu hata yeye mwenyewe hajawai kuoa
Na kuna utofauti mkubwa sana nikimuona baba na ndugu zake yeye ana mafanikio makubwa kuliko ndugu yake yoyote na kwa point hiyo nikaona kuona ni kwa ajili ya wanaume dhaifu View attachment 3198595
mwanaume dhaifuKwa
Kwani yeye tuliooa tumemkosea nini hadi atuite dhaifu?
Familia bwabwa.mwanaume dhaifu
Udhaifu unautafsirije?Sio kweli na ukweli upo hivi asilimia 80 ya wanaume wote walio oa ni dhaifu
where we came from, it's not usual, for a guy to boast that he is an umaginable bastardBinafsi najivunia sana baba yangu, mzee wangu ni mwanaume halisi kabisa kwanza hajawahi kuniambia hata siku moja eti ooh mwanangu mbona bado ujaoa never na nahisi atoniambia kwa sababu hata yeye mwenyewe hajawai kuoa
Na kuna utofauti mkubwa sana nikimuona baba na ndugu zake yeye ana mafanikio makubwa kuliko ndugu yake yoyote na kwa point hiyo nikaona kuona ni kwa ajili ya wanaume dhaifu View attachment 3198595
🤔where we came from, it's not usual, for a guy to boast that he is an umaginable bastard
SawaBinafsi najivunia sana baba yangu, mzee wangu ni mwanaume halisi kabisa kwanza hajawahi kuniambia hata siku moja eti ooh mwanangu mbona bado ujaoa never na nahisi atoniambia kwa sababu hata yeye mwenyewe hajawai kuoa
Na kuna utofauti mkubwa sana nikimuona baba na ndugu zake yeye ana mafanikio makubwa kuliko ndugu yake yoyote na kwa point hiyo nikaona kuona ni kwa ajili ya wanaume dhaifu View attachment 3198595
Kwahiyo unaona raha mama yako kuwa single mother, sasa ukipata mwanamke si utamnyanyasa mpaka akome ? Kizazi cha tumbiliBinafsi najivunia sana baba yangu, mzee wangu ni mwanaume halisi kabisa kwanza hajawahi kuniambia hata siku moja eti ooh mwanangu mbona bado ujaoa never na nahisi atoniambia kwa sababu hata yeye mwenyewe hajawai kuoa
Na kuna utofauti mkubwa sana nikimuona baba na ndugu zake yeye ana mafanikio makubwa kuliko ndugu yake yoyote na kwa point hiyo nikaona kuona ni kwa ajili ya wanaume dhaifu View attachment 3198595
Sahihi Kbsa mkuuJapo mimi sijaoa na sitaoa ila kuoa na kumiliki mke na familia sio jambo dogo, ni watu wenye upeo wa juu wa kujua namna ya kuweka hali yoyote katika msawazo / balance , na mara nyingi wanafaa hata kuwa viongozi wanchi.
ujinga wa kuoa sitakuja kufanya kwenye maisha yangu🙁🙁🙁🙁Usithubutu kuoa Kama huna uwezo wa kutunza familia.
Utateseka bure
na baada ya miaka 15 mbele wanaume waelevu watazaliwa na hawatafanya ujinga wa kuoa😂😂😂Sawa
Huyu kwenye picha ndo baba au picha haina uhusiano?Binafsi najivunia sana baba yangu, mzee wangu ni mwanaume halisi kabisa kwanza hajawahi kuniambia hata siku moja eti ooh mwanangu mbona bado ujaoa never na nahisi atoniambia kwa sababu hata yeye mwenyewe hajawai kuoa
Na kuna utofauti mkubwa sana nikimuona baba na ndugu zake yeye ana mafanikio makubwa kuliko ndugu yake yoyote na kwa point hiyo nikaona kuona ni kwa ajili ya wanaume dhaifu View attachment 3198595
Kama huna akili huwezi kuoa!Ndoa sio kwa ajili ya malast born expert au watoto namba za mwisho mwisho kama wewe expert, mtu ni mtoto wa tisa huko utajua wapi umuhimu wa ndoa
Kaka mbona unatukimbia tena?Japo mimi sijaoa na sitaoa ila kuoa na kumiliki mke na familia sio jambo dogo, ni watu wenye upeo wa juu wa kujua namna ya kuweka hali yoyote katika msawazo / balance , na mara nyingi wanafaa hata kuwa viongozi wanchi.
kwahiyo nyinyi wenye akili ndo mmeoa 🤣🤣🤣🤣Kama huna akili huwezi kuoa!