Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

Hii nimeshaizungumzia Sana Mpaka humu Huwa wananiita conspiracist..
Kuhusu Energy possitive,Negative ,lowest na Highet nilishapiga Kelele sana..

kwa Kuongeza Jinsi Unavyoweza Kucontrol Frequency ndo Jinsi Unavyoweza Kuwa Na Hali ya Utambuzi wa Juu kuliko wengine..
councious Level Inahusisha Utambuzi wa Frequencies na Energy unajua Wakati gani U resonate na Energy ipi na Mahali gani....

Hii chart Hapa Chini Inaelezea Level Nyingu sana na Elimu nyingi kwenye Chart moja
View attachment 3164641
Dr kama hutojari tunaomba utushushie uzi juu ya hizi frequency 🙏
 
If witchcraft and magic really existed people would have weaponized them long time ago.

We would have magic missiles, Enchanted bullets invisible rockets and arcane nukes.

Hakuna uchawi, Hakuna majini, Hakuna mapepo, Hakuna Shetani, Hakuna Mungu.
ila kuna nini?
 
Katika muktadha wa kiroho, masafa ya chini (low frequency) na masafa ya juu (high frequency) mara nyingi yanahusishwa na hali tofauti za kiroho, nishati, au mtetemo wa mwili na nafsi. Hii inatokana na imani kwamba kila kitu ulimwenguni kina nishati na hutetemeka katika masafa fulani.

Masafa ya Chini (Low Frequency) Kiroho

Sifa: Masafa ya chini mara nyingi yanahusishwa na hisia au hali hasi kama vile:

Woga

Hasira

Chuki

Uchovu wa kiroho


Athari:

Hutengeneza uzito wa kiroho au kutojihisi huru.

Inaweza kuzuia ukuaji wa kiroho au kuleta hali ya kutengwa na chanzo cha nishati chanya (Mungu, ulimwengu, au nafsi yako ya juu).


Mfano:

Mtu anayepitia huzuni kali au anaelemea hali za hofu mara kwa mara mara nyingi huonekana "kuvutia" matukio ya kiroho hasi.



Masafa ya Juu (High Frequency) Kiroho

Sifa: Masafa ya juu yanahusishwa na hali chanya kama:

Upendo

Furaha

Amani

Shukrani


Athari:

Husaidia mtu kuunganishwa na nishati za juu za kiroho (Mungu, malaika, au ulimwengu wa kiroho).

Huongeza ufahamu wa kiroho, uvuvio, na hali ya amani ya ndani.


Mfano:

Sala, tafakari, au matendo ya huruma huongeza masafa ya mtu kiroho, na hivyo kumwezesha kujihisi karibu na nishati ya kimungu.



Mambo Yanayoshawishi Masafa Kiroho

Kuongeza Masafa (Kuhamia High Frequency):

Meditate (kutafakari).

Kufanya sala au maombi.

Kuonyesha shukrani na huruma.

Kuishi maisha ya maadili na kupunguza mzigo wa hasira au chuki.


Kupunguza Masafa (Kuhamia Low Frequency):

Kuzingatia mambo hasi kama wivu, chuki, au tamaa mbaya.

Kutojitunza kimwili na kiakili.

Kuwa mbali na mazoea ya kiroho au chanzo cha imani yako.



Kwa Nini Masafa ni Muhimu Kiroho?

Masafa yanaaminika kuvuta nishati zinazofanana. Masafa ya juu huvuta nishati na hali za juu kama amani na upendo, ilhali masafa ya chini huvuta hali hasi.

Watu wanaoishi katika masafa ya juu wanajulikana kuwa na nuru ya kiroho, kuvutia furaha, na kupitisha nishati nzuri kwa wengine.


Ikiwa unatafuta njia za kuinua masafa yako ya kiroho, tafakari zaidi au fanya mazoea yanayokuletea furaha na amani.
By robot
🙏
 
Sina uhakika saana kama majini yana vibrate katika low frequency kuliko binadamu.

Ila uko sahihi kua binadamu tuna uwezo mkubwa/kama Mungu like father like son.

Ukijua kwanini amri kuu ni upendo pia ukibaini kwanini uliambiwa usamee saba mara sabini, ni ili kua positive na kuvunja negative energy zote. Hakika utakua salama.

Kumbe ukiwa na hekima utakundua kitabu cha biblia ni moja ya vitabu adimu, ni hazina (kwani kina code muhimu kama ukizijua unakua hauna haja ya kuhangaika kusoma maelfu ya vitabu).

Mfano ukisoma vitabu vya injili. Unakua ume-master masuala yote ya spiritual awakening, consciousnesss enlightenment, higher dimension, manifestation etc. Terminology kibao ila kitu ni kile kile.

Kua positive ni sawa sawa na kua mtakatifu (kuto kutendaa dhambi).

Mja ya watu waliokua katika viwango vya juu vya kiroho ni YESU alikua na mind yenye positivity ya hali ya juu
Madini tupu.
 
Mkuu ivi hii kitu unakuta unamfikiria mtu labda hamjawasiliana muda mrefu, gafla unashangaa anakutafuta kwa kukutumia sms au kukupigia , sana sana kwa sms, hii.imenikuta mara nyingi, yani ni kma nahis mtu fulani atanitafuta na kweli inatokea.
It is true - ndo maana ni rahisi Sana kupoteza vitu vingi na kupata mikosi endapo ukaruhusu hasira ,huzuni ,chuki, wivu .

Frequency unazotuma katika ulimwengu zikiwa juu ndo pale unamsikia MTU anasema nimemfikiria mama akanipigia au nimemfikiria kaka akanioigia simu.

But a lot of people hawaelewi ndo maana unawakuta hawapati matokeo chanya in everything they do .
 
Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.

Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.

PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Hiyo ni kweli.

Inaanza na kujitambua. Ukishatambua SISI, WEWE, MIMI ni nani, unajua tayari ulichokisema kwa kichwa cha uzi ni kweli tupu.

Anza sasa kujitambua na kujua wewe ni nani, hao viumbe watakuona kituo cha polisi. Lakini ukitetema katika kiwango cha chini, cha mwili wanakuvagaa.
 
Hiyo ni kweli.

Inaanza na kujitambua. Ukishatambua SISI, WEWE, MIMI ni nani, unajua tayari ulichokisema kwa kichwa cha uzi ni kweli tupu.

Anza sasa kujitambua na kujua wewe ni nani, hao viumbe watakuona kituo cha polisi. Lakini ukitetema katika kiwango cha chini, cha mwili wanakuvagaa.
Njia pekee ya kukuepusha na mitetemo ya chini ni upendo, upendo ndo ukamilifu wetu, unaotuwezesha kua ktk mitetemo ya juu zaidi.
 
Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.

Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.

PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Frequency ni nini?
 
Najua sana, ila huwa nakua makini kuzungumza ovyo ovyo kwani si kila mtu anaweza kuelewa hasa hizi zama ambazo kila mtu anajifanya mjuaji. Kumbuka usemi wa Mastermind mkuu Yesu Kristo kuwa,"Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua".
Mkuu, wanga hawana maajabu, ikiwa utaishinda hiyo hofu inayokufanya uwe ktk mtetemo wa chini.
Naona mmekomaa tu kulishana upepo, kuna mtu ameshawahi kumuona mchawi au jini?

Au ndio abrakabra za mapopobawa?
 
Sote tumepita huko, bt tulipokubali kujifunza, tulianza kuyaona mambo ktk mitizamo tofauti.
Mlijifunza nini?

Ni wapi ulishawahi kumuona mchawi anapaa kwny ungo?

Wazungu nao zamani walikuwa wanaamini ushirikina kama wewe, lakini walikuja kuelimika na hadi leo huwezi kukuta mganga wa kienyeji Ulaya.

Niambie best, ni wapi umekutana na popobawa, au jini Maimuna?
 
Mlijifunza nini?

Ni wapi ulishawahi kumuona mchawi anapaa kwny ungo?

Wazungu nao zamani walikuwa wanaamini ushirikina kama wewe, lakini walikuja kuelimika na hadi leo huwezi kukuta mganga wa kienyeji Ulaya.

Niambie best, ni wapi umekutana na popobawa, au jini Maimuna?
Ushirikina upo dunia nzima, ni vile hauna madhara kwa wenye maarifa, na wazungu wametutangulia ktk kujitambua.
 
Back
Top Bottom