Kumbe Mke wangu ana mume wake wa kazini!

Kumbe Mke wangu ana mume wake wa kazini!

Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Acha kwenda ofisini kwa mkeo ni rahisi kukutana na mume mwenza
 
Ukioa mfanyakazi tegemea hayo! Mkuu huku maofsini yanafanyika mambo mengi! Utani mwisho wa siku ni uhalisia! Kuwa mpole maisha yaendelee! Unakumbuka shuka kulishakucha! Mimi namfurahia mke wangu wa nyumbani nikifika home ni full kubembelezwa! Kuoa wanawake wa nyumbani raha sanaaa
Usijidanganye.... Hao nao wanabomolewa vizuri tu..... Tena unaweza kuta hao ndio zaidi kwasababu wapo huru sana kwakukosa kazi. Nimeshuhudia hayo kwa macho yangu tena sio mmoja au wawili.... Tena anaweza liwa kwenye kitanda chako.... Relax omba Mungu usijue.... Hayo yapo sana
 
Kwa hizi points timu kataa ndoa itachukua ubingwa na match 10 mkononi.
Timu kataa ndoa wanachukua ubingwa misimu yote, kubali ndoa tunafungwaje
Aliyeita ndoa "pingu za maisha" alimaanisha kitu. Huwezi fungwa pingu mikononi halafu ukaendelea kuwa na amani, furaha na utulivu wa maisha. Kila siku timu ndoa inalia na kuomba ushauri.
Ni zaidi ya hatari yenyewe sasa.
 
Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
NI utani tu ondoa hofu
 
Nyie watu mnaojitungia stori zenu na kuja kuziandika humu JF kuhusu ndoa mnasababisha watu kuamini ndo ziko hivyo.
Alafu mnajionesha kama ma bwege flani hivi ambao msiokuwa na msimamo.

Mwingine anakiri kabisa eti mke wake kamfuma amatembea na kijaa wa mtaa tena nyumbani kwake alafu bado amawaza chakumfanya mkewe anaomba ushauri.

Acheni kujifananisha na Wamaume halisi(Alo owa) na Akili za kiume. Huwezi ukaowa ukaja na vi hoja kama hivi JF.
 
Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Hapo ni kumualika jamaa home mgonge 3some matata
 
Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?

Ndoa ni scam japo hata mie nina mke miaka 15 sasa, hutakiwi kuzingatia sana jua tu upo na best mnasaidiana machache maisha yaende
 
Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Ww mjinga,usingeuliza ndio ungepata majibu mengi zaidi,ungekaa kimya yeye angekuambia mwenyewe or unejua mengi zaidi
 
Back
Top Bottom