Acha kwenda ofisini kwa mkeo ni rahisi kukutana na mume mwenzaJuzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Usijidanganye.... Hao nao wanabomolewa vizuri tu..... Tena unaweza kuta hao ndio zaidi kwasababu wapo huru sana kwakukosa kazi. Nimeshuhudia hayo kwa macho yangu tena sio mmoja au wawili.... Tena anaweza liwa kwenye kitanda chako.... Relax omba Mungu usijue.... Hayo yapo sanaUkioa mfanyakazi tegemea hayo! Mkuu huku maofsini yanafanyika mambo mengi! Utani mwisho wa siku ni uhalisia! Kuwa mpole maisha yaendelee! Unakumbuka shuka kulishakucha! Mimi namfurahia mke wangu wa nyumbani nikifika home ni full kubembelezwa! Kuoa wanawake wa nyumbani raha sanaaa
Naam tunaenda kufanya amendmentMoja ya ajenda za kikao kijacho ni kuondoa ukomo ili mwanzilishi na mwenyekiti wa chama Ndg. @LiverpoolVPN aendele kuongoza hadi 2044. Chama kina maendeleo mazuri.
Timu kataa ndoa wanachukua ubingwa misimu yote, kubali ndoa tunafungwajeKwa hizi points timu kataa ndoa itachukua ubingwa na match 10 mkononi.
Ni zaidi ya hatari yenyewe sasa.Aliyeita ndoa "pingu za maisha" alimaanisha kitu. Huwezi fungwa pingu mikononi halafu ukaendelea kuwa na amani, furaha na utulivu wa maisha. Kila siku timu ndoa inalia na kuomba ushauri.
NI utani tu ondoa hofuJuzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Kweli kabisa huo ni utani tu kama ule wa Baltazar Engoga kuwagaia wake za watu HIV.Ni utani wa maofisini, mtakuja kufa bure
Kumbe kuna watu mpo silias na wanawake kiasi hiki?hakuna sababu ya maana hata moja ya kuchukua hatua gentleman, ispokua tu ikiwa umechoka kuishi na mkeo.
hata hivyo,
unaweza kumpatia likizo akawasabahi kwao ikiwa ofisini kwake watamruhusu pia 🐒
Hapo ni kumualika jamaa home mgonge 3some matataJuzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Ww mjinga,usingeuliza ndio ungepata majibu mengi zaidi,ungekaa kimya yeye angekuambia mwenyewe or unejua mengi zaidiJuzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Usimtimue kwanza akili mwako ujue analiwa lakini na nani usitake kujua , unavyoona wake za watu wanaliwa nje na wako ni Hivo hivo , hakuna jipya usijiumize bure lazima tuelezane ukweliKumtimua
Alafu ulete mwanamke mwengine 🤣🤣🤣🤣 viumbe hawa kugegedwa ndio jukumu lao kuu hapa duniani mzeyaKumtimua