Kumbe Mke wangu ana mume wake wa kazini!

Kumbe Mke wangu ana mume wake wa kazini!

I'm sorry but Mwanamke au Mwanaume aliye kwenye ndoa hawezi kufanya utani wa kuitana mume/mke na mtu asiye mwenza wake,
Mimi hata waume wa dada zangu marufuku kuniita 'mke', mimi nawaita 'kaka' na wamezoea hivyo, wake wa kaka zangu marufuku kuniita 'mume' mimi huwaita dada na wote wamezoea, heshima inatawala.
 
Maisha ya Ndoa ni sawa na Cross multiplication...

Hayawezi kunyooka mkuu,

huyu hapa kwangu ni mke wa mtu lakini kajikuta mikononi mwangu na yuko tayari kubeba mimba...
Screenshot_20241215-105950.jpg
 
Ukioa mfanyakazi tegemea hayo! Mkuu huku maofsini yanafanyika mambo mengi! Utani mwisho wa siku ni uhalisia! Kuwa mpole maisha yaendelee! Unakumbuka shuka kulishakucha! Mimi namfurahia mke wangu wa nyumbani nikifika home ni full kubembelezwa! Kuoa wanawake wa nyumbani raha sanaaa
Nipo shamba boy hapa nakusaidia kazi ndogondogo..... Simkunjagi sana....
 
Moja ya ajenda za kikao kijacho ni kuondoa ukomo ili mwanzilishi na mwenyekiti wa chama Ndg. @LiverpoolVPN aendele kuongoza hadi 2044. Chama kina maendeleo mazuri.
🤣🤣🤣🤣
 
Nikikumbuka nilivyomla mke wa mtu kazini nasema kweli shetan yupo.Anajiheshimu balaa lakini ndo hivyo tukajikuta kwenye wingu zito la mahaba kwa muda wa mwezi mmoja.Saiv ni salamu tu
 
Maofisi yana uchafu mwingi.
Kuhusu hili uamuzi ni wako
 
Uhalisia wa Maisha uko hivi..wafanyakazi wa maofisini sehemu kubwa sana ya Maisha yao wanatumia maofisini kuliko nyumbani..kwa hiyo swala la kuliwa haliepukiki na hii inatokana nq yale mazoea ya kuishi pamoja wakiwa kazini.Mwanamke hawezi kuvumilia miaka yote hiyo bila kuliwa na kama haitoshi makazini wanakuja staff wapya na wengine kuondoka kwa hiyo lazima atampatq wa kuvutiwa nae.Pia ogopa sana kitu kinaitwa safari au semina..asilimia za kuliwa ni 99.99%.
Huu ukweli unaumiza sana,ila hauepukiki otherwise umfungulie biashara ya duka la vyakula tena nyumbani hapo utapunguza madhara.
 
Nyie watu mnaojitungia stori zenu na kuja kuziandika humu JF kuhusu ndoa mnasababisha watu kuamini ndo ziko hivyo.
Alafu mnajionesha kama ma bwege flani hivi ambao msiokuwa na msimamo.

Mwingine anakiri kabisa eti mke wake kamfuma amatembea na kijaa wa mtaa tena nyumbani kwake alafu bado amawaza chakumfanya mkewe anaomba ushauri.

Acheni kujifananisha na Wamaume halisi(Alo owa) na Akili za kiume. Huwezi ukaowa ukaja na vi hoja kama hivi JF.
Sema katika maisha Jambo lolote lile tunatofaitiana namna yakulichukua au yalikulitizama,Mleta mada humfahamu hata kidogo,Aliyoyaongea sifahamu kama ni kwl au uwongo ila sote tunajua binadamu tunafautiana unapojichanganya na watu unaona meng inawezekana mtu mwingine angeachana na mkewe hapo hapo ,Mwingine angeshauwa,Mwingine anaona kawaida,utani (Mfano tu make wa Mwijaku) kwahio hapa tunapotoa mawazo Kuna watu watajifunza na kuelimika zaidi


Kuna msemo unasema "What doesn't kill you makes you strong",Yanayoongelewa yanaweza yasiwe kwl kwakuwa hayajakukuta ,yakikukuta usililie msimamo
 
I'm sorry but Mwanamke au Mwanaume aliye kwenye ndoa hawezi kufanya utani wa kuitana mume/mke na mtu asiye mwenza wake,
Mimi hata waume wa dada zangu marufuku kuniita 'mke', mimi nawaita 'kaka' na wamezoea hivyo, wake wa kaka zangu marufuku kuniita 'mume' mimi huwaita dada na wote wamezoea, heshima inatawala.
Kuna story ya leadermoe...Anaeleza kabisa mke wa kakake alikuwa anamwita mke na bro wake anafahamu na wanaheshimiana ,my point ni kuwa usitoe hukumu kwa mazingira na experience ya maisha yako
 
Kwa kazini utani ni kitu cha kawaida! Mke wako anaweza kutaniwa kabisa hata kushikwa bega.
 
Kwa kazini utani ni kitu cha kawaida! Mke wako anaweza kutaniwa kabisa hata kushikwa bega.
Tumeyaona haya tangu 1980s huko,walimu wakiitana mke-mume,kisha ile saa sita kurudi nyumbani kisha rudi tena shule kama ilivyokua zamani,wao hawarudi,wanawekana ofisini
 
Kuna story ya leadermoe...Anaeleza kabisa mke wa kakake alikuwa anamwita mke na bro wake anafahamu na wanaheshimiana ,my point ni kuwa usitoe hukumu kwa mazingira na experience ya maisha yako
Huyo ni shemeji,mi shemeji zangu huwaita bebi,mke nk na haina shida, tofauti na mtu baki
 
Ukioa mfanyakazi tegemea hayo! Mkuu huku maofsini yanafanyika mambo mengi! Utani mwisho wa siku ni uhalisia! Kuwa mpole maisha yaendelee! Unakumbuka shuka kulishakucha! Mimi namfurahia mke wangu wa nyumbani nikifika home ni full kubembelezwa! Kuoa wanawake wa nyumbani raha sanaaa
Hata hao wa nyumbani tunawapiga kwa hela za vikoba na kausha damu.
 
Back
Top Bottom