Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Kumbe...
Fatilia hana kitoto kinachomuita mshangazi
Fatilia hana kitoto kinachomuita mshangazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hubby mwenyewe ni BaltazarJuzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Ila watu mlioko kwenye ndoa mnachekesha. Yaani kumuita tu hubby tayari ushapanic. Je, ungewakuta faragha si ungezimia?Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Lazima hapo kuna mahusiano ya kimapenzi ya moja kwa moja ama ya kimzunguko na huyo mtu.Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Mkuu hamtaki wanawake wawe na Ajira?🤔mkuu kitendo cha mwanamke kuajiriwa tyari hyo ajira ni mme tosha,wewe na huyo aloitwa habi ni viben ten tuu.
Huwa tunawatomber mkienda kazini.Ukioa mfanyakazi tegemea hayo! Mkuu huku maofsini yanafanyika mambo mengi! Utani mwisho wa siku ni uhalisia! Kuwa mpole maisha yaendelee! Unakumbuka shuka kulishakucha! Mimi namfurahia mke wangu wa nyumbani nikifika home ni full kubembelezwa! Kuoa wanawake wa nyumbani raha sanaaa
Fwatilia simu yake kimtindo,Muache awe free ila Jua nyenzo zakeJuzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Utani gani huo wakati mpaka Jumamosi walikuwa pamoja Msalato wanakula nyama choma?Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Kumbuka huko kwao ndo kuna yule kijana homeboy aliyemtoaga bikra kipindi wanasomahakuna sababu ya maana hata moja ya kuchukua hatua gentleman, ispokua tu ikiwa umechoka kuishi na mkeo.
hata hivyo,
unaweza kumpatia likizo akawasabahi kwao ikiwa ofisini kwake watamruhusu pia 🐒
Na wewe m wifey mdada wa kazi akiuliza sema ni utani.Ukioa mfanyakazi tegemea hayo! Mkuu huku maofsini yanafanyika mambo mengi! Utani mwisho wa siku ni uhalisia! Kuwa mpole maisha yaendelee! Unakumbuka shuka kulishakucha! Mimi namfurahia mke wangu wa nyumbani nikifika home ni full kubembelezwa! Kuoa wanawake wa nyumbani raha sanaaa
Tulia hivohivo ukijitikisa nakumwaga ubongoJuzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Tuanzie hapo kwanza 🤒wewe ulikuwa unawaza kuchukua hatua gani?