Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Sina experience yoyote ila ni msimamo niliojiwekea na sijalazimisha mwingine afate.... lakini hao wa kazini kuitana hubby na wifey ni kichefu chefuKuna story ya leadermoe...Anaeleza kabisa mke wa kakake alikuwa anamwita mke na bro wake anafahamu na wanaheshimiana ,my point ni kuwa usitoe hukumu kwa mazingira na experience ya maisha yako
Inaumiza ila ndo ukweli.Hata kuliwa, analiwa kiutani utani ivo ivo
Kuna safari walisafiri ya kikazi walienda wao wawili tu....Jikazee baba.Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Siku hizi naona wanawake wengi ndiyo wanajitongozesha kwa wanaume wengi, sijui kwa nini!?Mkeo ana kaelement ka umalaya ,yeye ndo kamuanza jamaa.
Temeshawaambia mke wako akiwa kazini lazma awe na ndoa nyingi pia, utakataaje na ushahidi unauona? Wanakusaidia kama mnavyosaidiana maisha pia, eleweni hivyo hukubali subiri subiri utaona zaid.Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Umenena vyema. Mwanaume makini unapokuja hapa either unaomba ushauri kuhusu namna ya kuponyesha mali zako ili usigawane na mkeo na ushauri uwalenge wanasheria tu ama uje jf kutupa habari kuwa umemtimua wife wako simpleNyie watu mnaojitungia stori zenu na kuja kuziandika humu JF kuhusu ndoa mnasababisha watu kuamini ndo ziko hivyo.
Alafu mnajionesha kama ma bwege flani hivi ambao msiokuwa na msimamo.
Mwingine anakiri kabisa eti mke wake kamfuma amatembea na kijaa wa mtaa tena nyumbani kwake alafu bado amawaza chakumfanya mkewe anaomba ushauri.
Acheni kujifananisha na Wamaume halisi(Alo owa) na Akili za kiume. Huwezi ukaowa ukaja na vi hoja kama hivi JF.
Wanawake wa kiafrika huwa tukiwaoa tunawaambia kuwa wachague ndoa au kazi, yaani anakuwa mama wa nyumbani na kazi yake ni kufuga kukuJuzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Kuna mwana ana demu wake ofcn, juzi kati walienda South Afrika training pamoja namwonea huruma mumewe huyo mwanamke maana jamaa anammiliki full yaani!!Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Ni ujingaJuzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo huutbby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?