Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Ahaaahaaahaa...hii chai ni ya moto imeunguza hadi koo

Nyuzi zimekuwa nyingi hizi sijui sababu ni nini[emoji848]
Vijana wanalia na mapenzi.πŸ˜‚πŸ˜‚
Sema hii kitu inaitwa usaliti acha kabisa mkuu, kuna mademu wanajua kutunyoosha.
 
WENGI WANAHISI NIMEKOPY SEHEMU, NAPENDA NINGEKUWA NAFAHAMIANA NA MEMBER MMOJA UMU TUNAYEISHI KARIBU NIMUITE IYO IJUMAA ASHUHUDIE KINACHOTOKEA...
Nipe location mkuu, kesho nitakuwa hapo
 
NAMPENDA SANA UYU DEMU NA YEYE ANANIPENDA SANA NA YUPO FREE ATA KUJIACHIA NAMIM ATA SEHEMU ZA WATU BILA KUJIFICHA, NIKIMUHITAJI MUDA WOWOTE ANATOKEA, PENZI NIJIPIMIE MIM TU NA NGEZI ZANGU, NUNDU ANALO TENA LAIN SANA, KWAO AMENIPELEKA, NAMIM KWETU NIMEMPELEKA,,, NI MTU MWAMINIFU SANA,

NI KWAMBA SIJAJUA NI PEPO GANI LA TAMAA LIMEMVAA UYU BINTI MREMBO WA NDOA TARAJIWA.
 
KILA lakheri mkuu....tunasubiri mrejesho
 
Ila hii ofisi ni ngumu sana kuielewa, ipo kiupole mstaarabu mno. Sipati picha iyo kesho anavyonidanganya MASSETO original maana namim pia nitamuomba papuchi,,
Duh kila la kher mkuu
 
Wameweka tamaa mbele, iyo Samsung sio kwamba siwez mnunulia, nimemnunulia simu kali ila bado anaenda kumvulia boy mwingine sabab ya kitu. Aibu sana hii
Kwa tabia hiyo ndugu yangu ukikamilisha mission yako huyo mpotezee atakutesa sana sabb tabia nikama ngoz na hata akiomba msamah asili ya mtu itabak hivyohivy.
Halafu wanawake wengi wa dar hawaridhik na wapenz wao kwao kudanga kawaida duh maajabu
 
Tupe link ya huo uzi mkuu
 
Ni ushauri mzuri sana mkuu,, lakin ningependa ainhie adi room, nimle kisha baada ya apo ajidharau kwanza kwa kujitahisisha kisha nitamwambia nimekusamehe mpnzi najua uliteleza, Tuendelee na maisha yetu kama kawaida.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani ww jamaa una moyo kweli mm siwez endelea nae huyo.
 
Sasa najiuliza yote hayo ya nn mpk ukazime umeme sijui nini umle kabisa sijui romance mbona kuna options nying tu wewe hapo huamin nn hata ku screenshots tu nakumuonesha mkiwa nae au kumuonesha live chart zake akajua ninwewe inatosha kbx fanya maamuz ila amekosea sana huyo mchumba wako hajatulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…