Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Ahaaahaaahaa...hii chai ni ya moto imeunguza hadi koo

Nyuzi zimekuwa nyingi hizi sijui sababu ni nini[emoji848]
Vijana wanalia na mapenzi.😂😂
Sema hii kitu inaitwa usaliti acha kabisa mkuu, kuna mademu wanajua kutunyoosha.
 
WENGI WANAHISI NIMEKOPY SEHEMU, NAPENDA NINGEKUWA NAFAHAMIANA NA MEMBER MMOJA UMU TUNAYEISHI KARIBU NIMUITE IYO IJUMAA ASHUHUDIE KINACHOTOKEA...
Nipe location mkuu, kesho nitakuwa hapo
 
Story tamu hii, ila nikukumbushe tu huo mtego ni mzito sana kwa wanawake wengi takribani 95% hawawezi kuuruka lazima watajinasa. Nimeshafanya hivyo mara kibao na hakuna mwanamke aliyetoboa.

My take:. Usimwache, wengi tunaanguka sana siku ya majaribu yetu. Pia muweke wazi kuwa huyo mtu uliyechat naye ni wewe, hivyo utazidi kumwongezea umakini na pia atajifunza.
NAMPENDA SANA UYU DEMU NA YEYE ANANIPENDA SANA NA YUPO FREE ATA KUJIACHIA NAMIM ATA SEHEMU ZA WATU BILA KUJIFICHA, NIKIMUHITAJI MUDA WOWOTE ANATOKEA, PENZI NIJIPIMIE MIM TU NA NGEZI ZANGU, NUNDU ANALO TENA LAIN SANA, KWAO AMENIPELEKA, NAMIM KWETU NIMEMPELEKA,,, NI MTU MWAMINIFU SANA,

NI KWAMBA SIJAJUA NI PEPO GANI LA TAMAA LIMEMVAA UYU BINTI MREMBO WA NDOA TARAJIWA.
 
Salaam wanaJF.

Ninademu wangu tupo kwenye mahusiano ni mwaka sasa, tunapendana sana na ananipenda kinoma, hakuna ishara yoyote ya usaliti kwangu,

Pisi kali, shepu kali ni mtulivu anajiheshimu na tumepanga kuoana mwakani na adi kwao natambulika na mipango iyo ni mwakani.

Sasa wiki iliyopita nikaona hapana kwa huu utulivu ivi ndivyo alivyo au anauasi nyuma ya pazia maana hana ishara ya kuchepuka japo simu yake uwa anaiweka password ngumu kinoma, nikatengeneza account ya Facebook nikachukua picha za jamaa angu wa mkoani ni handsome na mtu wa viwanja vikali, mtu wa kubadirisha magari tu, nikaziweka picha zake kadhaa nikamfriend request mchumbaangu akaAccept, tukachart kama siku mbili kisha nikamtongoza hajachomoa demu akakubari safi tu, nikatafuta laini mpya kisha nikaDownload app ya kubadirisha sauti nikawa naongea nae adi usiku tunachart whatsapp kisha nikamdanganya mim naishi mtaa wa nne kutoka kwao ila nikamwambia nimesafiri mara moja ila ijumaa narudi,

Nikampromise namletea zawadi ya simu ya Samsung brand new na viatu, nikachukua clip fupi ya samsung unboxing yan akapagawa , akafurahi sana na mabusu mengi mengi, nikamuomba picha zake za uchi akapiga akanitumia zakutosha, kiufupi ni kwamba mahaba yakawa yamekolea nazi haswaa tena kwa mtu ambaye hamjui wala hajawai ata kuonana nae ila anamtumia picha za uchi adi K yote kaipiga picha kanitumia. “inaniumiza kichwa lakin nataka niuone mwisho wake huo kesho"

Tumepanga mengi ya maisha adi tupelekane kwao ndani ya wiki na nusu tu kaingia kingi mazima uyu mpenz wangu wa moyo tena kwa mtu hasiyemjua,

Tumepanga tukutane kwenye Guest house fulani ivi iyo ijumaa tuikule mbususu ameniambia fresh na anahamu ya kulionja dushe langu na amenipa ahad nyingi sana za kunipa penz tamu. Sasa nataka nimchezee mchezo japo inaumiza moyo,

nimeshaenda kumpanga na jamaa wa kwenye iyo gest kwamba tucheze mchezo demu nitampigia simu anapokuja nitamwambia aje chumba namba fulani mlango upo wazi, yan anapoingia tu jamaa azime umeme kwenye main switch kuwe giza totoro alaf baada ya dakika maybe 15 awashe ,

Kabla ya yote tumepanga mim na uyu demu kwamba akifika tu tuanze na romance moja kwa moja kabla ya salamu, sasa mim nitamuanza na romance adi nimle kabisa adi umeme unapowaka akute kumbe yule mpenz wake mpya wa Facebook sio kumbe ni mim mpenz wake ninayetarajia kumuoa na kwao nimetambulishwa na huduma zote namfanyia, .

Wakuu hii situation inaniumiza moyo na sijui kama Dushe litasimama lakin nitaliinua na K-vant mojamoto..

WAKUU ILO TUKIO NALIFANYA KESHOKUTWA NIOMBEENI WAKUU..

[emoji24][emoji24][emoji24]
KILA lakheri mkuu....tunasubiri mrejesho
 
Ila hii ofisi ni ngumu sana kuielewa, ipo kiupole mstaarabu mno. Sipati picha iyo kesho anavyonidanganya MASSETO original maana namim pia nitamuomba papuchi,,
Duh kila la kher mkuu
 
Wameweka tamaa mbele, iyo Samsung sio kwamba siwez mnunulia, nimemnunulia simu kali ila bado anaenda kumvulia boy mwingine sabab ya kitu. Aibu sana hii
Kwa tabia hiyo ndugu yangu ukikamilisha mission yako huyo mpotezee atakutesa sana sabb tabia nikama ngoz na hata akiomba msamah asili ya mtu itabak hivyohivy.
Halafu wanawake wengi wa dar hawaridhik na wapenz wao kwao kudanga kawaida duh maajabu
 
Umenikumbusha mwana mmoja alileta mada kama hiyo baada ya kuambiwa na rafiki yake kwamba mchumba wake anajiuza badoo, jamaa itabidi nae awepo badoo baada ya cku kadhaa akafanikiwa kumpata mchumba wake,kwa kuwa alijiunga kwa jina lingine jamaa akaomba urafiki mwisho akamtongoza mwanamke akajaa mipicha ya utupu kibao huku akimpondea sana jamaa yake aliekuwa nawe mpaka kufikia hapo mwanamke hakujua kama anachati na mchumba ambae ndio mumewe wa kesho na taratibu ndogondogo za ndoa kifamilia zilishaanza, sasa jamaa akaomba akutane na mwanamke gest, mwanamke akaja, jamaa alitangulia akajificha pembeni kabisaaaa alipomuona itabidi atoe udhuru kwamba hatafika mwanamke akaondoka ,jamaa akabaki kulia tu, na alikuja hapa jf kulalamika,
Tupe link ya huo uzi mkuu
 
Ni ushauri mzuri sana mkuu,, lakin ningependa ainhie adi room, nimle kisha baada ya apo ajidharau kwanza kwa kujitahisisha kisha nitamwambia nimekusamehe mpnzi najua uliteleza, Tuendelee na maisha yetu kama kawaida.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani ww jamaa una moyo kweli mm siwez endelea nae huyo.
 
Sasa najiuliza yote hayo ya nn mpk ukazime umeme sijui nini umle kabisa sijui romance mbona kuna options nying tu wewe hapo huamin nn hata ku screenshots tu nakumuonesha mkiwa nae au kumuonesha live chart zake akajua ninwewe inatosha kbx fanya maamuz ila amekosea sana huyo mchumba wako hajatulia
 
Back
Top Bottom