Hu Jintao
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,726
- 3,359
HakujipangaNdio maana nikamuuliza hela ya S.Korea inalingana na Tanzania shillings,je kuna taifa lolote hapa Afrika linaifikia S.Korea kiuchumi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakujipangaNdio maana nikamuuliza hela ya S.Korea inalingana na Tanzania shillings,je kuna taifa lolote hapa Afrika linaifikia S.Korea kiuchumi!?
Mkuu una uhakika!?Tanzania na s. Korea tunalingana uchumi. Wao wanatuzidi nyuklia tu.
Ngoja tumtoe wenge😁Hujui kitu halaf bado unawenge
Nimemtolea mfano wa S.Korea anasema tunalingana nao kiuchumi.Kosugi Unabishana na viaz hapa! ww mwambie tu pesa ya kenya imeizid ile ya Japan lakin japan ni nchi ya 4 duniani kiuchumi.
Ndiyo. Nenda NBS (national bureau of statistics) utajua hiloMkuu una uhakika!?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
*South Korea ni ya 14 kiuchumi duniani.Ndiyo. Nenda NBS (national bureau of statistics) utajua hilo
Ndiyo. Nenda NBS (national bureau of statistics) utajua hilo
www.worlddata.info
Jitu zima na akili zake linaamini Mungu kazaliwa. Huyo agtakuwa ni Kimungu mtu, siyo Mwenyeezi Mungu, asiyezaa wala kuzaliwa.ndsiyo waliwaWajingao.Pale Kibeho nchini Rwanda Bikira maria aliwatokea watu na mpka leo huwa mamia ya maelfu wanaenda kuhiji pale. Ikumbukwe Bikra maria ni mama wa bwana hata Elizabeth alikiri hilo baada ya kujazwa roho mtakatifu kwa kutembelewa na Maria kitoto kichanga kikaruka tumboni kwa furaha.
Nawasihi hawa uchwara wasiomjua mungu na bado wanajiita walokole wamuheshimu mama wa mungu ili wapate ondoleo la dhambi kupitia mwanae kama alivyotueleza kuwa yeye ndiye njia ya kweli na uzima.
Huwezi kimheshimu mwana ukamuacha mwsna.
Mama maria ni mama yetu kwa kuwa ameunganika na mwanae yesu katika kutokomboa (mathayo)
Mazungu ndio Yana furahiJitu zima na akili zake linaamini Mungu kazaliwa. Huyo agtakuwa ni Kimungu mtu, siyo Mwenyeezi Mungu, asiyezaa wala kuzaliwa.ndsiyo waliwaWajingao.
Wajinga ndiyo waliwao.
Acha bangeeeee, mnafundisha kinyume na biblia, tunapaswa kumuomba kupitia kona la Yesu ni si jina la mama yake .Yule mama ni mwanadamu aliyekuwa anamucha MunguPale Kibeho nchini Rwanda Bikira maria aliwatokea watu na mpka leo huwa mamia ya maelfu wanaenda kuhiji pale. Ikumbukwe Bikra maria ni mama wa bwana hata Elizabeth alikiri hilo baada ya kujazwa roho mtakatifu kwa kutembelewa na Maria kitoto kichanga kikaruka tumboni kwa furaha.
Nawasihi hawa uchwara wasiomjua mungu na bado wanajiita walokole wamuheshimu mama wa mungu ili wapate ondoleo la dhambi kupitia mwanae kama alivyotueleza kuwa yeye ndiye njia ya kweli na uzima.
Huwezi kimheshimu mwana ukamuacha mwsna.
Mama maria ni mama yetu kwa kuwa ameunganika na mwanae yesu katika kutokomboa (mathayo)
Kwa hiyo humuamini mama wa mungu. Umelaaniwa wewe na kizazi chako. Kuanzia leo utubuMazungu ndio Yana furahi
Hata Yesu alikuwa Binadamu kweli na Mungu kweliAcha bangeeeee, mnafundisha kinyume na biblia, tunapaswa kumuomba kupitia kona la Yesu ni si jina la mama yake .Yule mama ni mwanadamu aliyekuwa anamucha Mungu
Bangi hazikufaiPale Kibeho nchini Rwanda Bikira maria aliwatokea watu na mpka leo huwa mamia ya maelfu wanaenda kuhiji pale. Ikumbukwe Bikra maria ni mama wa bwana hata Elizabeth alikiri hilo baada ya kujazwa roho mtakatifu kwa kutembelewa na Maria kitoto kichanga kikaruka tumboni kwa furaha.
Nawasihi hawa uchwara wasiomjua mungu na bado wanajiita walokole wamuheshimu mama wa mungu ili wapate ondoleo la dhambi kupitia mwanae kama alivyotueleza kuwa yeye ndiye njia ya kweli na uzima.
Huwezi kimheshimu mwana ukamuacha mwsna.
Mama maria ni mama yetu kwa kuwa ameunganika na mwanae yesu katika kutokomboa (mathayo)
😁😁 Wewe na Mimi nani ana laana Sasa. Ulaaniwe wewe uliyesahau mababu zako waliokutangulia.Kwa hiyo humuamini mama wa mungu. Umelaaniwa wewe na kizazi chako. Kuanzia leo utubu
Hapo ndio umetaja 3?Rwanda, kenya
Hivi mkuu nimekosea wapi unavyodhani weweBangi hazikufai
Linganisha pesa ya kenya na japan tuoneLaki moja ya tz ni sawa na elfu 30 ya pesa ya Rwanda
Huu ni upumbavu kiwango cha PhD!Pale Kibeho nchini Rwanda Bikira maria aliwatokea watu na mpka leo huwa mamia ya maelfu wanaenda kuhiji pale. Ikumbukwe Bikra maria ni mama wa bwana hata Elizabeth alikiri hilo baada ya kujazwa roho mtakatifu kwa kutembelewa na Maria kitoto kichanga kikaruka tumboni kwa furaha.
Nawasihi hawa uchwara wasiomjua mungu na bado wanajiita walokole wamuheshimu mama wa mungu ili wapate ondoleo la dhambi kupitia mwanae kama alivyotueleza kuwa yeye ndiye njia ya kweli na uzima.
Huwezi kimheshimu mwana ukamuacha mwsna.
Mama maria ni mama yetu kwa kuwa ameunganika na mwanae yesu katika kutokomboa (mathayo)
Huko mbali ya Tanzania na Korea Kusini zimepishana point tu.Linganisha pesa ya kenya na japan tuone