Kumbe ndio maana nchi ya Rwanda inakua sana kiuchumi

Kumbe ndio maana nchi ya Rwanda inakua sana kiuchumi

Pale Kibeho nchini Rwanda Bikira maria aliwatokea watu na mpka leo huwa mamia ya maelfu wanaenda kuhiji pale. Ikumbukwe Bikra maria ni mama wa bwana hata Elizabeth alikiri hilo baada ya kujazwa roho mtakatifu kwa kutembelewa na Maria kitoto kichanga kikaruka tumboni kwa furaha.

Nawasihi hawa uchwara wasiomjua mungu na bado wanajiita walokole wamuheshimu mama wa mungu ili wapate ondoleo la dhambi kupitia mwanae kama alivyotueleza kuwa yeye ndiye njia ya kweli na uzima.

Huwezi kimheshimu mwana ukamuacha mwsna.

Mama maria ni mama yetu kwa kuwa ameunganika na mwanae yesu katika kutokomboa (mathayo)
fakeni afrikani dogi
 
Mbona hueleweki! Tunazungumzia kutokewa na Bikira Maria au kufa?
Ndo hivyo ujue imani ni bayana ya yanayo onekana na yasiyoonekana. Sisi wakatoliki tunaamini alitikea kibeho na tunafanya hija huko
 
Ni kweli upo sawa ila nakwambia hizo ni dalili za uchanga. Ukikua kiimani utaacha.
Nikue mara ngapi. Au walokole ndo siku wakijua ukweli watarudi wakijipiga vifua kuwTumekosa sisi tumekosa sana ndiyo masna tunakuomba maria mwrnye heli bikira wa daima.
 
Ndo hivyo ujue imani ni bayana ya yanayo onekana na yasiyoonekana. Sisi wakatoliki tunaamini alitikea kibeho na tunafanya hija huko
Sawa,mmejuwaje kama huyo ndiye Bikira Maria maana nina uhakika hakuna mtu wa zama hizi anayemfahamu kwa sura je kama shetani anawachezea mtajuwaje?
 
Sawa,mmejuwaje kama huyo ndiye Bikira Maria maana nina uhakika hakuna mtu wa zama hizi anayemfahamu kwa sura je kama shetani anawachezea mtajuwaje?
Hayo yote tuyaweke pembeni tuje hapo kwenye Rwanda kukua kiuchumi hapa Afrika mashariki.
 
Pale Kibeho nchini Rwanda Bikira maria aliwatokea watu na mpka leo huwa mamia ya maelfu wanaenda kuhiji pale. Ikumbukwe Bikra maria ni mama wa bwana hata Elizabeth alikiri hilo baada ya kujazwa roho mtakatifu kwa kutembelewa na Maria kitoto kichanga kikaruka tumboni kwa furaha.

Nawasihi hawa uchwara wasiomjua mungu na bado wanajiita walokole wamuheshimu mama wa mungu ili wapate ondoleo la dhambi kupitia mwanae kama alivyotueleza kuwa yeye ndiye njia ya kweli na uzima.

Huwezi kimheshimu mwana ukamuacha mwsna.

Mama maria ni mama yetu kwa kuwa ameunganika na mwanae yesu katika kutokomboa (mathayo)
Malaria 2
 
Sawa,mmejuwaje kama huyo ndiye Bikira Maria maana nina uhakika hakuna mtu wa zama hizi anayemfahamu kwa sura je kama shetani anawachezea mtajuwaje?
Tulimtsmbua kwa maombi na kufunga tukafunuliwa. Kama tunavyoomba na kufunga kutangazwa kwa mtakatifu. Mungu hajatuonesha ka Nyerere ni mtakatifu. Siki akituonesha basi tutamtangaza
 
Tulimtsmbua kwa maombi na kufunga tukafunuliwa. Kama tunavyoomba na kufunga kutangazwa kwa mtakatifu. Mungu hajatuonesha ka Nyerere ni mtakatifu. Siki akituonesha basi tutamtangaza
Basi sawa,nisikukere.
 
Back
Top Bottom