Yesu hafsnanishwi na babu. Yule ni alitoka kwa mungu mwanga kwa mwanga. Aliyezaliwa kwa uwezo wa bikira maria. Nadadiki kwa kanisa moja takatifu katoliki na la mitume.ππ Wewe na Mimi nani ana laana Sasa. Ulaaniwe wewe uliyesahau mababu zako waliokutangulia.
Ki vipi. Unataka niongee uongo na kupindisha ukweliHuu ni upumbavu kiwango cha PhD!
Yesu alikua dini ganiYesu hafsnanishwi na babu. Yule ni alitoka kwa mungu mwanga kwa mwanga. Aliyezaliwa kwa uwezo wa bikira maria. Nadadiki kwa kanisa moja takatifu katoliki na la mitume.
Hivi baada ya kumzaa Yesu,bikra ilirudi?Pale Kibeho nchini Rwanda Bikira maria aliwatokea watu na mpka leo huwa mamia ya maelfu wanaenda kuhiji pale. Ikumbukwe Bikra maria ni mama wa bwana hata Elizabeth alikiri hilo baada ya kujazwa roho mtakatifu kwa kutembelewa na Maria kitoto kichanga kikaruka tumboni kwa furaha.
Nawasihi hawa uchwara wasiomjua mungu na bado wanajiita walokole wamuheshimu mama wa mungu ili wapate ondoleo la dhambi kupitia mwanae kama alivyotueleza kuwa yeye ndiye njia ya kweli na uzima.
Huwezi kimheshimu mwana ukamuacha mwsna.
Mama maria ni mama yetu kwa kuwa ameunganika na mwanae yesu katika kutokomboa (mathayo)
KatolikiYesu alikua dini gani
Alizaa kwa uwezo wa roho mtakatifu. Yesu alizaliwa bila kuumbwaHivi baada ya kumzaa Yesu,bikra ilirudi?
Wewe jamaa akili hauna halafu kibaya zaidi hautaki kuuliza ili uelekezweTanzania na s. Korea tunalingana uchumi. Wao wanatuzidi nyuklia tu.
Kwahyo naye alikua anamuabudu yesu na mariaKatoliki
Uchumi haupimwi hivi.Laki moja ya tz ni sawa na elfu 30 ya pesa ya Rwanda
No. Baba yakeKwahyo naye alikua anamuabudu yesu na maria
Mambo ya rohoni hayo dogoNi nani yao aliyemtambua na kuthibitisha huyo ndiye Bikira Maria?
Mambo ya rohoni wakati mtu humjui hata kwa sura?Mambo ya rohoni hayo dogo
Kwani wewe ukifa tunajus unaenda wapiMambo ya rohoni wakati mtu humjui hata kwa sura?
Una uwakika ndio yeye huyu?
Nani?Una uwakika ndio yeye huyu?
Mbona hueleweki! Tunazungumzia kutokewa na Bikira Maria au kufa?Kwani wewe ukifa tunajus unaenda wapi
Namashaka na uelewa wako juu ya hiyo dini yakoNo. Baba yake