Kumbe ndio maana nchi ya Rwanda inakua sana kiuchumi

😁😁 Wewe na Mimi nani ana laana Sasa. Ulaaniwe wewe uliyesahau mababu zako waliokutangulia.
Yesu hafsnanishwi na babu. Yule ni alitoka kwa mungu mwanga kwa mwanga. Aliyezaliwa kwa uwezo wa bikira maria. Nadadiki kwa kanisa moja takatifu katoliki na la mitume.
 
Yesu hafsnanishwi na babu. Yule ni alitoka kwa mungu mwanga kwa mwanga. Aliyezaliwa kwa uwezo wa bikira maria. Nadadiki kwa kanisa moja takatifu katoliki na la mitume.
Yesu alikua dini gani
 
Hivi baada ya kumzaa Yesu,bikra ilirudi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…